FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,058
- 40,721
Nimesononeka sana baada ya kuona Tanzania inatapeliwa kwa kusanifiwa jengo la stesheni ya SGR ambalo binafsi naamini ni moja ya vituo ambavyo muonekano wake kwa nje ni wa ajabu sana. Hivi hakuna namna yeyote ya kubadilisha ile exterior view ya hii stesheni, maana itaharibu fabric ya mji.