Yahusu kundi la kwanza unit

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,453
20,712
wadau naomba 2kumbushane kidogo ktk hili.hivi kund la kwanza unit lilikuwa linaundwa na wasanii wangap?majina yao ikibidi.walliohai ni wangap na wanafanya nini hiv sasa?
? kwanza-unit.jpg
 

Attachments

  • kwanza-unit2.jpg
    kwanza-unit2.jpg
    32.9 KB · Views: 273
Picha unayo.Unataka majina tu? Namjua Mc Ramso na yule mshkaji alikuwaga anarap fasta [hapo kakaa katikati ya wenzake] aliingia kwenye drugs akalosti.Ila yuko fresh kwa sasa.Akili yake ndiyo haiminiki tena.
 
Dah K.U CREW ! Umenikumbusha mbali sana . Mimi sijui wako wapi hawa watu.
 
Chief Ramson, mwingine alikufa ahhh.... Long time sasa, nakumbuka walikuwa wanakuja Jangwani na kigari chao kuuza sura, nikawa nawaona kama vinyamkera
 
Chief Ramso yupo Bongo kwa sasa, alikuwa anaishi Canada kwa miaka kama 10 hivi, amerudi ana mke wa kizungu, ndio aliyekuwa akiendesha show za WAPI pale british council, sema sasa hivi anafahamika zaidi kwa jina la ZAVARA...alikuja na ujio wa hip hop battle freestyle ndipo walipotokea akina Nikki mbishi, Godzilla na wengineo pale tcc chang'ombe.
Robert Mwingira a.k.a D-ROB alifariki dunia mwanzoni mwa miaka ya 2000, ndo msanii ambaye GK alimuimbia wimbo wa tunakukumbuka daima milele feat TID.
Y THANG kwa sasa ni doctor na baada y akumaliza masomo yake uk, anerudi bongo na sasa ni daktari katika hospitali ya Muhimbili.
ADILI a.k.a NIGGER ONE pia alifariki dunia miaka ya 90 ndiye aliyekuwa kiongozi wa KWANZA UNIT wakati wa uhai wake.
KIBACHA a.k.a K SINGLE mara ya mwisho alikuwa anaishi South Africa ila kwa sasa sina uhakika, ila katika album ya FID Q -PROPAGANDA amefanya interlide kwa truck moja..

Hao ndo KWANZA UNIT A.K.A KWANZANIAN (D-ROB, K-SINGLE, CHIEF RAMSO, NIGGER ONE & Y THANG)
 
Chief Ramso yupo Bongo kwa sasa, alikuwa anaishi Canada kwa miaka kama 10 hivi, amerudi ana mke wa kizungu, ndio aliyekuwa akiendesha show za WAPI pale british council, sema sasa hivi anafahamika zaidi kwa jina la ZAVARA...alikuja na ujio wa hip hop battle freestyle ndipo walipotokea akina Nikki mbishi, Godzilla na wengineo pale tcc chang'ombe.
Robert Mwingira a.k.a D-ROB alifariki dunia mwanzoni mwa miaka ya 2000, ndo msanii ambaye GK alimuimbia wimbo wa tunakukumbuka daima milele feat TID.
Y THANG kwa sasa ni doctor na baada y akumaliza masomo yake uk, anerudi bongo na sasa ni daktari katika hospitali ya Muhimbili.
ADILI a.k.a NIGGER ONE pia alifariki dunia miaka ya 90 ndiye aliyekuwa kiongozi wa KWANZA UNIT wakati wa uhai wake.
KIBACHA a.k.a K SINGLE mara ya mwisho alikuwa anaishi South Africa ila kwa sasa sina uhakika, ila katika album ya FID Q -PROPAGANDA amefanya interlide kwa truck moja..

Hao ndo KWANZA UNIT A.K.A KWANZANIAN (D-ROB, K-SINGLE, CHIEF RAMSO, NIGGER ONE & Y THANG)

ubarikiwe.. Walikuwa washkaj zako hao?
 
Chief Ramso yupo Bongo kwa sasa, alikuwa anaishi Canada kwa miaka kama 10 hivi, amerudi ana mke wa kizungu, ndio aliyekuwa akiendesha show za WAPI pale british council, sema sasa hivi anafahamika zaidi kwa jina la ZAVARA...alikuja na ujio wa hip hop battle freestyle ndipo walipotokea akina Nikki mbishi, Godzilla na wengineo pale tcc chang'ombe.
Robert Mwingira a.k.a D-ROB alifariki dunia mwanzoni mwa miaka ya 2000, ndo msanii ambaye GK alimuimbia wimbo wa tunakukumbuka daima milele feat TID.
Y THANG kwa sasa ni doctor na baada y akumaliza masomo yake uk, anerudi bongo na sasa ni daktari katika hospitali ya Muhimbili.
ADILI a.k.a NIGGER ONE pia alifariki dunia miaka ya 90 ndiye aliyekuwa kiongozi wa KWANZA UNIT wakati wa uhai wake.
KIBACHA a.k.a K SINGLE mara ya mwisho alikuwa anaishi South Africa ila kwa sasa sina uhakika, ila katika album ya FID Q -PROPAGANDA amefanya interlide kwa truck moja..

Hao ndo KWANZA UNIT A.K.A KWANZANIAN (D-ROB, K-SINGLE, CHIEF RAMSO, NIGGER ONE & Y THANG)

Big Up mkuu,
But umemsahau Bagzy Mallone alie-rap katika wimbo wa "UTAONA".
Hii nyimbo ilikua na style ya kipekee yake kwa verse kuenda kwa kiengreza na kiitikio kiswahili.
Huyu jamaa alikua ni memba wa KU ingawa hakuishi sana Bongo kipindi cha uhai wa hili kundi.
Kiitikio cha UTAONA;
Kama hujui Unapotoka,
Hujui Unapokwenda,
Fikiri Kabla ya Kutenda,
Fanya Unavyopenda,
Iliandikwa Haikusemwa Fanya Mapema sasa Nasema,
Vitabu vishachomwa na Sintorudia tena,
Na kama wajua we Utaona!!
 
Ingekua vipi angekua hai D-Rob?
Na Chief Ramso angekua Bongo?
Y-Thang kwa kidato umrudishe K-Single?
"Kwanza" ingekua mfano,
Au tayari ingekua Chongo?
Kati yao nani angekua Mzigo?
Na nani angekua Widow?
>
>
Ingekua Vipi - Mwana FA
 
hapana hawakuwa washikaji zangi kiiivyo sema si unajua wabishi wa town enzi hizo, watu wa music tulikuwa twafahamiana tu...
na kwa kuwa nilikuwa na wakubali sana Kwanza Unit na The Diplomatiz...
pia Afro Reign, GWM,
 
sawa sawa mkuu tupo pamoja, ni kweli nilimsahau mchizi Bugz Marlone, ki ukweli mchiz ndo alikuwa msela wa kwanza kurudi toma mbele miaka ya 93, anajiachia kitaa kapiga misuko ya ajabu, bonge la bitoz wakati ule alikuwa anakimbiza sana mchizi..
kaka ndio hiyo nyimbo naikumbuka sana UTAONA, NJOO UPANGA na HATURAP ambayo badae Mwana Fa alikuja kuirudia
 
Big Up mkuu,
But umemsahau Bagzy Mallone alie-rap katika wimbo wa "UTAONA".
Hii nyimbo ilikua na style ya kipekee yake kwa verse kuenda kwa kiengreza na kiitikio kiswahili.
Huyu jamaa alikua ni memba wa KU ingawa hakuishi sana Bongo kipindi cha uhai wa hili kundi.
Kiitikio cha UTAONA;
Kama hujui Unapotoka,
Hujui Unapokwenda,
Fikiri Kabla ya Kutenda,
Fanya Unavyopenda,
Iliandikwa Haikusemwa Fanya Mapema sasa Nasema,
Vitabu vishachomwa na Sintorudia tena,
Na kama wajua we Utaona!!

Bugz alikuja baadae kama K.U foundation!
 
Chief Ramso yupo Bongo kwa sasa, alikuwa anaishi Canada kwa miaka kama 10 hivi, amerudi ana mke wa kizungu, ndio aliyekuwa akiendesha show za WAPI pale british council, sema sasa hivi anafahamika zaidi kwa jina la ZAVARA...alikuja na ujio wa hip hop battle freestyle ndipo walipotokea akina Nikki mbishi, Godzilla na wengineo pale tcc chang'ombe.
Robert Mwingira a.k.a D-ROB alifariki dunia mwanzoni mwa miaka ya 2000, ndo msanii ambaye GK alimuimbia wimbo wa tunakukumbuka daima milele feat TID.
Y THANG kwa sasa ni doctor na baada y akumaliza masomo yake uk, anerudi bongo na sasa ni daktari katika hospitali ya Muhimbili.
ADILI a.k.a NIGGER ONE pia alifariki dunia miaka ya 90 ndiye aliyekuwa kiongozi wa KWANZA UNIT wakati wa uhai wake.
KIBACHA a.k.a K SINGLE mara ya mwisho alikuwa anaishi South Africa ila kwa sasa sina uhakika, ila katika album ya FID Q -PROPAGANDA amefanya interlide kwa truck moja..

Hao ndo KWANZA UNIT A.K.A KWANZANIAN (D-ROB, K-SINGLE, CHIEF RAMSO, NIGGER ONE & Y THANG)

Mchizi alikua Alabama for while hadi kama 2-3 years ago..kisha akajiachia zake UK ambako alioa na kufanikiwa kupata mtoto...nafikiri hadi sasa yupo UK.
 
Big Up mkuu,
But umemsahau Bagzy Mallone alie-rap katika wimbo wa "UTAONA".
Hii nyimbo ilikua na style ya kipekee yake kwa verse kuenda kwa kiengreza na kiitikio kiswahili.
Huyu jamaa alikua ni memba wa KU ingawa hakuishi sana Bongo kipindi cha uhai wa hili kundi.
Kiitikio cha UTAONA;
Kama hujui Unapotoka,
Hujui Unapokwenda,
Fikiri Kabla ya Kutenda,
Fanya Unavyopenda,
Iliandikwa Haikusemwa Fanya Mapema sasa Nasema,
Vitabu vishachomwa na Sintorudia tena,
Na kama wajua we Utaona!!


NB.. msaada tutani kama unayo hiyo track nitupie link jombaaa
 
Picha unayo.Unataka majina tu? Namjua Mc Ramso na yule mshkaji alikuwaga anarap fasta [hapo kakaa katikati ya wenzake] aliingia kwenye drugs akalosti.Ila yuko fresh kwa sasa.Akili yake ndiyo haiminiki tena.

Aliyekuwa anarap fasta(tang twista style)anaitwa consumer a.k.a Fresh G kulikuwa na D rob,Chief Ramso,Eazy B,Y Thang na wengine
 
Back
Top Bottom