mcbenfrank
Member
- Mar 9, 2006
- 11
- 4
Wadau naombeni msaada, eti leo server za yahoo kuanzia mda huo mbona hazirespond? kuna tetesi eti nimeskia kuna technical problem? Wadau naombeni kuuliza eti ni kweli? maana napata kigugumizi kuamini kama nao Yahoo wanaweza kuwa na technical fault....