GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Ni wana ccm wachache sana ambao ni wasoma nyakati na wenye busara au wenye utashi wa kisiasa kama Mama Samia Suluhu Hasaan au Jakaya Kikwete
Kundi kubwa la wana ccm ni fuata upepo hawajui wanachokisimamia wala wasimame kwa msimamo upi?
Waliopinga katiba mpya na kuharibu makongamano ya Katiba ni wana ccm fuata upepo ambao hawaelewi hata maana ya katiba na utawala wa sheria
Wana ccm wanaojielewa kama akina Jaji Warioba waliposimama na kuwaambia wana ccm fuata upepo kuwa Katiba ni muhimu na lazima kuna siku nguvu ya uma itazidi nguvu ya chama, Warioba aliitwa kila aina ya majina ya msaliti lakini Leo ndio shujaa
Wana ccm fuata upepo ndio walitamka hadharani katiba sio chakula wala kipaumbele cha Taifa, Kipaumbe Chao kilikuwa tarumbeta kuwa na atawale daima na milele kumbe wakasahau mwanadamu ana lifespan ya kuishi na haizidi miaka 100.Wenye bahati zao hufika miaka 120 wakiwa hoi na taabani na Wengine wameanza kutambaa kama watoto
Wana ccm walipaswa kuwaomba msamaha Chadema hadharani , Baadhi ya viongozi wa dini na wana ccm wenye utashi wa kisiasa kama Jaji Warioba kwa kuwadhalilisha waliposimama kupigania katiba mpya
Leo ccm kwa utashi wa Mama Samia Suluhu Hassan na baadhi ya wazee wenye heshima imewakumbusha ccm fuata upepo kuwa mchakato wa katiba ni muhimu sana
Wana CCM fuata upepo wamejitengeneza ili kuweza kupata teuzi mbalimbali na kukumbukwa, wana ccm fuata upepo ni vigeugeu, wanafiki na hawana mishipa ya aibu hata kidogo
Rais Samia hatakumbukwa kwa lolote lile bali atakumbukwa na kusomwa kwenye vitabu vya Taifa hili kama atafanikisha mchakato wa nchi kuwa na Katiba Mpya safi na ya kisasa
Hakuna anayemkumbuka Nyerere kwa kujenga reli ya Tazara au kuanzisha University of Dar es Salaam bali anakumbukwa kwa kuliunganisha Taifa lililokuwa na tamaduni na mila tofauti kuwa Taifa moja
Kundi kubwa la wana ccm ni fuata upepo hawajui wanachokisimamia wala wasimame kwa msimamo upi?
Waliopinga katiba mpya na kuharibu makongamano ya Katiba ni wana ccm fuata upepo ambao hawaelewi hata maana ya katiba na utawala wa sheria
Wana ccm wanaojielewa kama akina Jaji Warioba waliposimama na kuwaambia wana ccm fuata upepo kuwa Katiba ni muhimu na lazima kuna siku nguvu ya uma itazidi nguvu ya chama, Warioba aliitwa kila aina ya majina ya msaliti lakini Leo ndio shujaa
Wana ccm fuata upepo ndio walitamka hadharani katiba sio chakula wala kipaumbele cha Taifa, Kipaumbe Chao kilikuwa tarumbeta kuwa na atawale daima na milele kumbe wakasahau mwanadamu ana lifespan ya kuishi na haizidi miaka 100.Wenye bahati zao hufika miaka 120 wakiwa hoi na taabani na Wengine wameanza kutambaa kama watoto
Wana ccm walipaswa kuwaomba msamaha Chadema hadharani , Baadhi ya viongozi wa dini na wana ccm wenye utashi wa kisiasa kama Jaji Warioba kwa kuwadhalilisha waliposimama kupigania katiba mpya
Leo ccm kwa utashi wa Mama Samia Suluhu Hassan na baadhi ya wazee wenye heshima imewakumbusha ccm fuata upepo kuwa mchakato wa katiba ni muhimu sana
Wana CCM fuata upepo wamejitengeneza ili kuweza kupata teuzi mbalimbali na kukumbukwa, wana ccm fuata upepo ni vigeugeu, wanafiki na hawana mishipa ya aibu hata kidogo
Rais Samia hatakumbukwa kwa lolote lile bali atakumbukwa na kusomwa kwenye vitabu vya Taifa hili kama atafanikisha mchakato wa nchi kuwa na Katiba Mpya safi na ya kisasa
Hakuna anayemkumbuka Nyerere kwa kujenga reli ya Tazara au kuanzisha University of Dar es Salaam bali anakumbukwa kwa kuliunganisha Taifa lililokuwa na tamaduni na mila tofauti kuwa Taifa moja