Pengo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 579
- 10
Jana jumatatu 01/02/2010,Nilikuwa naangalia TV ya channel 10 kipindi cha nyota zenu na sheikh Yahaya, nilishtushwa na utabiri wake ambao kimsingi alisema "Mwaka huu kutatokea kifo cha kiongozi maarufu ambaye jina lake linaanzia na S ikifuatiwa na H, vilevile mwenye jina linaloanzia na K.
Baada ya kuongea jilo ndipo alipokoroga kabisa kwa kusema "Natabiri, uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu hautofanyika na utahairishwa kutokana na tatizo litakalojitokeza "Tena akaongeza "Hata kama tatizo hilo litatokea Zanzibar basi litasababisha uchaguzi mkuu wote kuhairishwa, na anayebisha asubiri aone"
Akanitisha zaidi pale aliposema "watu wanaogopa kifo wakati kifo ni lazima,watanzania msihofu kufa kwani hata Yesu alikufa ili kuwakomboa walimwengu"
Ndugu zangu,kama ya Yahaya yana ukweli inamaana tutegemee matatizo kutokea hasa kifo cha kiongozi anayeanzia kwa jina la K, sasa hapa TZ ni nani hao wenye majina yanayoanza na K kama si Kikwete, Karume.....?
Naomba tujadili!
Baada ya kuongea jilo ndipo alipokoroga kabisa kwa kusema "Natabiri, uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu hautofanyika na utahairishwa kutokana na tatizo litakalojitokeza "Tena akaongeza "Hata kama tatizo hilo litatokea Zanzibar basi litasababisha uchaguzi mkuu wote kuhairishwa, na anayebisha asubiri aone"
Akanitisha zaidi pale aliposema "watu wanaogopa kifo wakati kifo ni lazima,watanzania msihofu kufa kwani hata Yesu alikufa ili kuwakomboa walimwengu"
Ndugu zangu,kama ya Yahaya yana ukweli inamaana tutegemee matatizo kutokea hasa kifo cha kiongozi anayeanzia kwa jina la K, sasa hapa TZ ni nani hao wenye majina yanayoanza na K kama si Kikwete, Karume.....?
Naomba tujadili!