Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,202
- 42,061
Lakini ikumbukwe kwamba vijana wadogo wenye tamaa wanapenda kuona vilivyo pendezeshwa ndio wana jiweka lakini wana shindwa kujiuliza kwa nini wanao wataka wana pendeza?
Hawa ndio vyanzo vya kuvunjika kwa ndoa za watu!
Hawa ndio vyanzo vya kuvunjika kwa ndoa za watu!
Ndoa haijengwi kwa sheria za nchi,kama ingekuwa hivyo kila mwanandoa angekuwa na kitabu cha katiba na sheria ya nchi,ndoa inajengwa kwa upendo,msamaha,ndoa hautakiwi kujivuna,maneno matamu,matunzo bora sasa ukifikiri sheria za nchi ndio zinaongoza ndoa yako,endelea kusubiri kalagabaho