YAH:Utekelezaji wa maazimio dhidi ya madame b na chimbuvu

Huu ndio ukweli lazima usemwe hata kama utapingwa na wengi!

hahahahhaha! mamdogo yuko juu kama dege la obama lol!sasa huyu Loya namuamini rudi tu kwake manake chimbuvu zaid ya kukupeleka kunywa matap tap hana lolote lol!
 
Siwezi kuangalia sheria zinavunjwa tena mbele yangu, tena na mke wangu! Never..........

akae pembeni, afu alikuwa anakuwekea kiwingu ujue!!! yani alikufanya uonekane kikongwe wakati mamito bado binti mbichiiiii...........
 
Hawezi kushindana na sheria!

hahahahahahhh mamito hakuna kurudisha majeshi nyuma, anatuma waje wambembelezee, yani sijui kawalipa bei gani?? au kawahonga huruma zake bure, asepeeeeeeee
 
Hapa ndipo nitakushinda maana umesahau nilipo kukingia kifua ulipo taka kufungwa.

Namshangaa sana huyo shemeji yenu wa zamani.
Ciello,shem wako mpya anajua kuhandle mpaka nahs dunia yote yangu.
Sio yule Ruttashobolwa,
Mwanaume ajue kutetea tetea wake,
asa mpaka ahonge.
Anipishe.
 
Last edited by a moderator:
Ina shangaza sana kuona mwizi ana shangiliwa na kujisahau kuwa wezi hao hao wanaweza kukuibia wewe pia!

Unatakiwa umshauri afate utaratibu.

akupisheeeeeeeeeeeee, miye shem Chimbuvu namkubali na nawasapoti asilimia 100%, wawawacheeeeeeeeeeeeee miaka 800
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahah loya kaja na sheria zake, mke humfurahishi wala kumhandle kwa kutumia sheria, imekula kwako, kuwa mpole tu........we rudi kijijini kashozi kachukue kaisiki umlete tauni uishi naye na hizo sheria zako..............
Hawezi kushindana na sheria!
 
hahahahahahahah loya kaja na sheria zake, mke humfurahishi wala kumhandle kwa kutumia sheria, imekula kwako, kuwa mpole tu........we rudi kijijini kashozi kachukue kaisiki umlete tauni uishi naye na hizo sheria zako..............

Ciello,
umemuona Ruttashobolwa?
Anajifanya hajaliona swali langu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nafikiri mwanaume mwenye busara anakuwa ameshaelewa nini kinachoendelea sio mpaka utengewe kila kitu kuna umuhimu wa kujiongeza
 
Ndoa haijengwi kwa sheria za nchi,kama ingekuwa hivyo kila mwanandoa angekuwa na kitabu cha katiba na sheria ya nchi,ndoa inajengwa kwa upendo,msamaha,ndoa hautakiwi kujivuna,maneno matamu,matunzo bora sasa ukifikiri sheria za nchi ndio zinaongoza ndoa yako,endelea kusubiri


Hawezi kushindana na sheria!
 
Ndoa haijengwi kwa sheria za nchi,kama ingekuwa hivyo kila mwanandoa angekuwa na kitabu cha katiba na sheria ya nchi,ndoa inajengwa kwa upendo,msamaha,ndoa hautakiwi kujivuna,maneno matamu,matunzo bora sasa ukifikiri sheria za nchi ndio zinaongoza ndoa yako,endelea kusubiri kalagabaho


Hawezi kushindana na sheria!
 
Back
Top Bottom