Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Huyu dogo hana amani kabisa nikiwa around, hana cha zaidi kinachomsumbua zaidi ya uroho wa madaraka, ameshawahi organize njama za mapinduzi dhidi yangu zaidi ya mara sita amefeli, Ila hapo umenipa wazo, akiendelea nambebea mkewe... ili kama mbwai iwe mbwai kweli.