mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
Ndugu wana cc poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.kichwa cha habari kimejitosheleza.lakini naomba kutoa muhtasar kuhusiana na ndoa kati yangu mimi mkiva na mchumba wangu preety.mimi na preety tumefikia maamuzi tunayoona ni stahki ya kuish kama mke na mume.na wote kati yetu hakuna ambaye ameshawah kutumikia ndoa humu ndani wala kupewa talaka.hivyo basi kwa mujibu wa sheria za jf na cc tunahsi tunavyo vigezo vyote vya kuifanya ndoa yetu kua halali.hivyo basi kufuatia sheria za utawala huu tunaomba kupata baraka za wadau wote wa jf hufanikisha zoezi hili.ila kwa yule mwenye pingamizi ni haki yake na hii ndio frusa yake.natangulisha shukran zetu.naomba kuwasilisha.
Cc baba v
cc ruttashobollwa
cc valentine
Cc baba v
cc ruttashobollwa
cc valentine