Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
Dah kiukweli zamani ilikuwa nikitaka nkujua mambo ya technolojia kwa undani wake naingiahumu napata vi2 vipya na napata kuelewa kwa undani kwa kifupinilikuwa cboreki nw yaani dah misaad imezidi huyu laptop imeharibika huyu cmu huyu camera imefanya hv yaani 2napitwa hata na jukwaa la mavuvuzela