TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Wakuu, mwenye uzoefu naomba mwongozo namna ya kupata fremu maeneo ya Mwenge, Ubungo au Manzese...
Kuna jamaa yangu anataka kufungua duka la kuuza nafaka kwenye mojawapo ya maeneo hayo na analalamika kuwa madalali ni wasumbufu na hawako straight kumsaidia.
Naomba mnipatie na uzoefu wa bei zake pia.
Natanguliza shukrani.
Kuna jamaa yangu anataka kufungua duka la kuuza nafaka kwenye mojawapo ya maeneo hayo na analalamika kuwa madalali ni wasumbufu na hawako straight kumsaidia.
Naomba mnipatie na uzoefu wa bei zake pia.
Natanguliza shukrani.