Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
brother hakuna cha slaa wala slow ccm itatawala nchi hii mpaka kiyama mpaka pale waTZ watakapo amka kwenye usingizi mzito
Watanzania walishaamka siku nyingi ndugu yangu, walikuwa wanasubiri kuanza kutembea. Kwa uchaguzi huu watanzania wamepewa nguvu na moyo kwamba inawezekana pasiposhaka kuitoa CCM madarakani na Tanzania ikaendelea. Mshindi katika uchaguzi huu sio CCM wala CHADEMA, ni watanzania wenyewe. Kilichofurahisha zaidi katika uchaguzi huu ni kwamba wasomi na wakaazi wa mijini wamechukua jukumu lao la kuongoza mageuzi kikamilifu. I will write more on this in future.