mtanzaniaasili
Member
- Aug 22, 2010
- 11
- 34
Huyu Noel Severe wa Arumeru Magharibi huku Arusha anatajwa kutumwa na wakuu na kamwaga mifwedha haswa kashika kata zote hata waliodhani watashinda wameshangaa kibao kilivyogeuka.. unalishwa Rushwa plus Yamini babaake huachi kupiga Kura ya ndiyo.
Huyo mkwe wa Lowasa unategemea nn