Yachukueni na hayaa yafaa kwa kesho yenu

kalooo

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
270
154
BARUA KWA ROSE.

Yah;Mbali na nyumbani na Kudra za Wazee.

Naam, nakuomba Husika na kichwa Cha habari kilicho Hapo juu.

Mimi Rafiki na ndugu yako, Kaka yako Bathoromayos (mama) na Toma(baba+Kaijage mwalimu) na watu wote Katika Taifa moja la Kusadikika na dunia moja ya Mungu Baba mmoja.

Kama nikumbukavyo watu wote wa nyumbani kwetu kwa msaada wao ndivyo nikukumbukavyo na wewe.

Ama kama nikumbukavyo Mara kwa mara maneno yaliyotabiriwa juu ya watu na bibi kizee( mwana Patero).

Hii mimi ningali nasubili kwenda masomoni baada ya kidato cha nne 2011.

Ulinisindikiza Stendi kwa Upendo,Huku nikitoa machozi.

Na Leo Nitamwaga Maji kabla ya 2025.

Niilitaka ukumbuke Kama nilivyokuasa ungali wewe mdogo(6).

Fimbo uliyonibebea baada dkika chache ya kijamvi mama,wewe na Mimi nikiwa nimembaba foromina(month) na kifimbo changu kwenda stendi Nilifika nayo Buzuruga salama.

Ndani ya Gari Hilo nilikuta wimbo wa Bukuku-waraka,uliopigwa kutoka Ramadi to Mwanza Nyegezi.

Nikakumbuka maneno ya kijamvi Kama nikuasavyo wew kwenye safari yako na huko utakapokuwa. ''Tumepishana mda sasa lakini umeomba msamaha kwa safari yako Basi hata Mimi nalia kwa furaha Kama unavyoniona,"'''''''"" mate Yangu,Baba yako,Mungu Wetu na pande Zote njema zikuongoze katika kila hatua ya maisha yako".

Nilijiona Lipo Jambo kadiri Sauti Yake Ilivyokuwa Inaunguruma.

Najua unamjua tangu tungali wadogo

Ni mwasisi wa Nyimbo za utukufu wa Mungu hapa kwetu,

Haikuwa Mara ya kwanza kuvuta umakini wa huyu mbeba Mimba ya utang'ara tu, Tsunami wa Majaribu ili Atikise dunia,Bukuku wa Toleo lisilokoma kwa maana ya Nyimbo yake ya Nyakati za Mwisho.

Nami Nampenda Katika Mungu baba Mmoja,dini Ni moja nayo Ni Tanzania na yaliyomo Duniani.

Na leo akapokee Busu takatifu nililo nalo kama la Paulo mtakatifu ama Mungu aitavyo watu katika habari salama.

Nilifika kwa Nkwabisa vizuri,usiku nikawa natafakari nyimbo hiyo ya Waraka wa Amani(machozi yananitoka).

Maana si Mara ya kwanza kuitolea Machozi,Kwenye Msiba kwa James tulipokuwa Tunamzika Ndugu yetu upande Wa Babu Sayenge aliyekuja Kumzaa Kwilolela ulikuwa unanisumbua Sana ukiwa unarudiwa Mara kwa mara Katika usiku huo na masiku yaliyofuata baada ya kutoka hapo.


Dunia Ni mapito(yapo katika muda) leo nakumbuka kutengwa kwangu na watu kwa wingi wa madhaifu yangu hasa baada ya 2012.

Yaliyokuwa ya kweli,ambayo kwayo nikiitwa popote nitaweka wazi kuwa Ni kweli.

Mengi yalinitesa Sana,Lakini Leo Nakili Kuwa Mungu humpenda Mtu Yeyote haijalishi yukoje,Na huyo ndo huenda akaanza Naye(wakwanza) kwa lolote la ushindi.

Kumbuka ulivyonisindikiza,Na fimbo niliyokabidhiwa kwa alama ya utabiri na Bahaya Bibi yetu na akina Yusuph,kwa Mayala/Mtemi baada ya kutabiriwa na mwanapetro.

Nilipoishika Fimbo Yake Bahaya(basotola 90/95) alinichapa, Akaniambia haishikwi ovyo ovyo Kama Nataka Fimbo anafahamu ninakotokea Mimi na wazazi wangu nimfuate Jumapili akitoka kanisani nyumbani kwa Dotto Moma (R.I.P) anitengenezee.

Nilienda Jumatatu,nikamkuta anashona nguo Yake kwa mkono wake,akanitolea nguo zake kifurushi nikifue,nilifua.Judy na dada Yake mkubwa waliniona Hapo kwao nikiwa nafua.

Baada ya kufua,alinipongeza na akaleta Fimbo Fulani ambayo haijatengenezwa nijaribu kuichoma iwe nzuri Lakini mimi nilishindwa.

Nayeye Akaniambia huwezi, hii Ni Fimbo ya watemi(Nyerere hukumuona?,Mayala je,Sisi Ni Watemi),Hata Wenzio Wakina Yusuph wamejaribu kuitengeneza wameshindwa,Tulipokutana na Yusuph Dar akiwa anasoma Chuo sikumfurahisha Kama nilivyokuwa homu maana Nilikuwa Katika wito sasa na maagizo yake(1timo1;12-19)

Basi Bahaya Bibi aliitengeneza,Alipomaliza Aliniita sebuleni kwake akanipa kiti nikakaa,na Akaniambia nichukue nikae kifalme(Sikujua),akanikalisha pale na kuniombea,akashika viganja na kunitemea mate Huku anaomba,alitetemeka Sana na majasho yalimzidi na Badae akakaa kimia Kama kapoteza Fahamu,na alipozinduka aliniambia kawaona Malaika wameshuka wanashangilia Hivo akanitabiria kuja kufanya Mambo Makuu ya Mungu,niendelee Kuomba, itabidi niyafanye niingali bado naishi duniani.Na akaapa hivo.

Dada Yake na Judy(Doto moma Familia) aliniona kipindi naombewa.

Na Nasaha nikapewa,Akasema Ulokole umenifanya niwe Kama Kichaa kwa watu,wewe leo ni shahidi yangu kwa watakaokuwepo na kwa Mungu wako.Hiyi Fimbo usimpe Mtu ovyo Ni Fimbo ya wema.Kwa hiyo usiigawe hovyo kwa Mtu Yeyote Hata Vijana Wenzio mpaka hapo Mungu atakapokuongoza.

Nilitaka kuwa na Fimbo Sababu ya Yale maneno ya Bibi Mwanapetro ya kutabiri juu ya Watu wote na hatma ya mda,Alisema Watu wengi Wanaiona Biblia imepitwa na Wakati,sasa njoo uwanyoshee yote,kuna Fimbo inakuja mbele yako,utapewa, na kiti cha mkuu wa Wakuu,na huo Mti wa Enzi ni Wewe na urithi ni Wewe Sasa kuna Vita(Burugu kisukuma)Njoo uvipgane pasipo Kurudi nyuma ili Ukateme utawale.(Ukateme ukatawale ntemi obatemi huku Akilia kwa Sauti Sana).

Usirudi nyuma Hapa sisi ndo tunaojua Ukweli wote.

Hapo nikakumbuka fomu tatu nilipokuwa na Mazoea Kaka Yake na Samsoni Soni yeye katangulia mbele tulipokuwa tunaelekea kwa Shingwengwe(Muonaji) wale jogoo walionirukia na mmoja akanipanda kichwani na kuwika,Kwa maneno ya wapita njia Ghashila amakanza(Muda umekwisha) bwela bhungi(Kumekucha) oyo kimala Chalo na maboni( Sehemu zote na Watu wote).
Haya mama nilimwambia.

Hata Muonaji mwana Mwalu Huko Magusheshe mwalinachadulu naye alianza Nami vema (alinipenda Sana na yeye akasema Kuna maneno utakuja uambiwe na Wakuu na mazuri Sana Huko unakoenda kusoma,Ni Mazuri Sana,Nikamuuliza yapi,akasema Siwezi kusema, Mimi Hapa Ila Naona Ni Mazuri Sana,Hata sisi mwisho wa siku,Siku zaja tutakuwa tunakuuliza shida zetu Wewe,Ila utaanza Kuona Kama sisi utakapoambiwa hayo maneno(utashinda kid4) Lakini utaanza kuishi kinyume na watu utakapoona hayo maneno huko uendako kusoma,kinyaa mbele ya watu( usiogope Ni mafuta Naona/uzuri),Mungu/ welelo anakupenda).Wewe siyo Mtu wa mawazo na huzuni,acha mawazo na huzuni yajayo Mazuri,mafuta Akasema.

Kuhusu nitakuja kufanya Nini alikataa akasema haruhusiwi kusema nitaambiwa Huko niendako.


Utakuwa unatoka darasani unaenda kulala,Alisema.

Mama nilimficha na Baba kwa Wakati huo Kabla ya Bibi Mwanapetro.

Hapa nilitanguliza maombi kwa Mungu Kama tulivyokuwa Tunaomba Kwa Siri na usiku mdogo Wangu ili wewe uwe shahidi wa hayo,Imani Ni Watu na yaliyo Mazuri na Kinyume na Watu yahusuyo Mungu Ni Mazuri yafaa kwa Kufundisha.

Kuhusu dalili ya hayo ya Muonaji,,Ni Kweli naya Kweli,(Mistari mitatu upo wa pili) kwenye matokeo ya mtihani mkoa Kama Dalili alipatia.

Akawa Sehemu ya Kumbukumbu nilipokuja kuanza vita,Sababu Yake nilijiamini sikuhofu chochote kigeni.

Ni baada ya Mafunuo, mbele ya kiti Cha Enzi ya Dunia Cha Yesu kristo wa Nazareth.Kanisa Katoliki pamoja na ule mti mkubwa,mnene na Mrefu usio na ukomo( viumbe vyote ndani vilikaa na matawini ndege matunda) na Mwisho makabidhiano ya fimbo na kaki langu na shangwe la kusanyiko sehemu zote.

Nilifunuliwa na nmeyasimulia sehemu nyingi na watu wengi.

Nilikuja kurudi pale nikitaka kuthibitisha kile nilichoitwa kwenda Kusoma kwa hatua zaidi ya Ile ya Mwanzo.


Maana Niliona vema niende kusoma,My life my Purpose book Cha mkapa cover likabadilika mkapa mzee kuwa mimi Kijana.

Nikaimba wimbo wa Majaribu-Bukuku nkiona midomo ya mamba ndani ya maji nilipokuwa nayaendea na kingine mvuto mkubwa ukafunuliwa upande wa Kinyume jinsia yangu pa mahala pangu niendako na nikaona na nimeandika Sehemu kuwa nikakaa Vizuri Kwenye kiti na kiongozi wa nchi(mwanamke),Nchi ya wote na mvua ilikuwa Kama inanyesha na nikaingia ndani na tukarudi baada ya Mvua kukatika,Kingine kiongozi wa Upinzani nitakaa naye.


Kwa hiyo Ni hayo, nilipoenda nilimkuta Muonaji anapiga wimbo wa Bukuku wa Waraka wa Amani Huku anawaonea watu Mambo Yao Watu.


Ulikuwa huo huo ulipokuwa unajirudia na nilipokwenda ilikuwa laivu kwamba Mda umefika niondoke kibaruani,Wa kwanza elimu Ila sisi tunaakili ya Kuzaliwa tunaenda,Wapili elimu,Watatu elimu,wa Nne elimu na huko tuendako hatuna kikwazo tunashinda tu ila kakiti kadogo.

Nikamuuliza akasema Siyo udiwani hapana,Wenyewe akanionesha umeuacha Hapa pembeni Wewe unafuata huuu Hapa/bubunge Mwanangu Ni nzela yape duhu.Sisi hatupindishwi na Watu,Sisi Ni Watu wa kuinua mikono juu,Tunashinda kwa Kishindo,Akasema Hivyo na haikuwa Mara ya kwanza kusema Ushindi huo ila Mara nyingi aliusema Huku akisema Tunaweza,Tunaweza.

Dp Siyo world ila diploma,Nilisali Chuoni Tycs,Casfeta,Sabato na Mengine ya Kikristo ila maono niliyaona nikiwa Casfeta Chini ya Baraka Adofu Kama mwendeshaji wa ibada,Na Mungu Ni Siri na mja wake.Na Hili Lina Ushahidi wengine walifikiri napeleleza,hofu Yao tu.

Na Emmanuel nikodemo,MTYCS na MHGd aliniambia baada ya kushuhudia,nisijione Sana nitakuja kuwa Chini ya Mtu.(Kongo na Sudani ya Kusini kutimiza majuma70 ni maono),Ni Kweli Huyo Mkuu wenu ndo anisaidiaye kuyafahamu hayo na ya Kweli na Ni nguvu niliyoipata hapo Jibril aliponiponya kwenye Juma la 69.

Na Leo siyo Hao Tu,Hakuna Mkuu kuliko Serikali ya Nchi ndani ya Nchi.
Na sababu Siasa yetu na Desturi ndo Dini yetu hivyo itatuletea Uhuru wa wengi Duniani.

Sijui Kama yapo Mambo yanakosewa kwa Tz,Ila Mengi Mungu kayapangilia.

Kuhusu yule Mwana Petro,

Wote mtakuwa mashahidi na Majirani,maana Shemeji mama Kulwa na jirani aliniambia nisiyapuuzie nitakuwa nimetumiwa yule Mtu na Mungu.

Alirudia Mara kwa Mara na akanisisitiza nisome kwa bidii ili Nije nisaidie Kama Kaka Yake Ambaye alikuwa anapandishwa nyota Bwana Alex(wanapendana) Namna alivyowasaidia nyumbani kwao Huko Bunda.

Lakini pia mke wa ndakama kabadi,Mama Kangu Naye hakusita kuwa pamoja Nami kunitia moyo hasa alipokuja kuniambia Mimi nikipewa nichague waziri nakuchagua Wewe, kwa hiyo jitahidi uje ugombee Ubunge baada ya masomo, kipindi anachoma mikaa mashambani selya ili kuendesha maisha, nilipokuwa napita natoka kulima Shamba Langu la Miwa Huko karibu na Sungwa Mjomba na Anselemi(R.I.P) Mwalimu wangu.

Mwanapetro Bibi mpita njia aliyeweka kituo nyumbani baada ya masiku Mengi,niliporudi likizo diploma aliniona na kunitania Naona mwanampango umekuwa mkubwa Sasa unapanga na wazee Mambo,Ilikuwa Ni njisi gani tukachukue posa
Ya dada yetu Christina.

Maneno ya dada Kili nayakumbuka-Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna (baada ya utabiri Kesho yake) nadhani unakumbuka hata kununa Kwangu bado sura Yangu nzito Hadi Sasa.


Hata nilivyokuwa nanuna huku kwa Sasa Wapo wanaomwambia wifi yako mdogo wake na Kabilonzo kuwa sicheki.

Upendo wa Kimungu ni Uhuru wa Amani ya wote.


Ambaye hapendi ugomvi Ni Mpole, mrithi wa Mungu, mbele za Mungu.


Nilipokengeuka, Mungu alinirudisha kwa Mafunuo ya wimbo wa """Uongo Si Kitu chema""

Ndugu Sikia,utendayo hayo wamchukiza Mungu,Jitahidi ujipatie sifa njema,nakusihi uzidi Katika neno baba Mtumishi wa Mungu utende haki zote

Huzuni zangu na maneno juu ya mwonekano wangu yalinitesa sana tangu huko. hayo nayo nayakumbuka sana yalinihuzunisha sana ndugu yangu lakini nilijua nikitoka huko yatakwsha kumbe ndo kama yapo hayo tu maishani wangu.

Basi hawa nao diploma, kusoma Na akina Mbuyu twite,Kefa mdudu,Lumona na Yeremia waliponiambia na TWENDE NYUMBANI KWA BWANA,Tulienda wote.

Na Muslim Safi mnyama twifu baba I re.... Naye namkumbuka,

Nikaanza Kumfulia nguo Mchungaji Baraka Adolf na akina Joseph mbiyu na Manziro ni mashahidi hata John mchina,nilikuwa Kama nimelogwa,

Ila sababu hata kwa Muonaji nilikuwa najitolea Kazi ili anijali,ikawa sababu ya Kumfulia ili nijifunze habari za Mungu,Ilikuwa hivyo na haikuchukua mda Mbingu zikafunguka.

Nilimaliza salama ila yalitimia yale yaliyosemwa nymbani na huyo bibi kizee nikweli nilipewa fimbo na kukaa kwenye kiti cha kifalme kulia mwa yeye aliye mkuu zaidi mbele ya watu wa dunia yote Mahala pote Mwanga wake Dunia kote Wala halikuwepo just.


Na hapo nilitaka yafanane nayale ya kwenye biblia(nikakumbuka niliambiwa na Mzee kamambi-ukiona Jambo limekutokea likifanana na Biblia likubali, nikiwa naombewa mtihani wa kidato3 na rafiki Yangu Magadura aliponiita peke yangu kwamba chukua Hili lititakusaidia).

Ila yeye aliyempole aliniweka kifuani kwa kunikumbatia akanipa hivyo vyote na akaniambia niifungue timoth 1,12-19 niisome ni kweli yalitimia yaliyotabiriwa kipindi sijatoka nyumbani.


Lakini hata huyo dada yetu Tereza wa debera naye yalimtokea usiku wa 00;01 -01/01/2013 akaandika kwa mkaa ukutani wakiwa na baba Salome(mzazi mwenzie) ya kuhusu hatma yangu mbele ya majeneza matatu nilikuwepo wa nne ndani, nami mfu lakini rangi ya bluu ilifunikwa kwa juu na baada ya hayo matatu kuzikwa kwa kuvuka maji nilitafutiwa nyumba angu mahala pa ardhi ya bilauli ila niliwekwa na badae nikawa mzima ila mtoto mchanga niliinuliwa juu na watu wote wakashangilia.

Alinisimulia baada ya Mimi kumuomba Twende kwa Mzee Kirumba kwa Mzee Simba nikamusimulie Kama nilivyoapa kuwa Akikataa baba mzazi nayaacha,Lakini naye yalimtokea ila hakuwahi kunambia Mimi, maana Seko Ndo alipokuja DSM Maji akija kuniona Chuoni nilimsimulia na kuniambia Niende kwa Mzee Kuna Mambo aliyasema nitasikia,Alifurahi Sana na kwa upole akasema Niombe Sana na huenda nitakuja kusaidia(baada ya Mimi kuwa Rufiji alinipigia Sana simu niende kwake Tena kwa msisitizo japo niwaone lakini nikishindwa kwa Hali ya akili nilipokuwa nayo(kinyume na watu),Nilimweleza Feri alipokuja kwenye msiba wamdogo wetu shida kuwa sijatulia kiakili maana hata Yeye alisisitza kwa hali Sana Nipite kwake nikiwa narudi kazini(nilichokuja kubaini nikiwa mkubwa kama zipo hekima kwangu hata kidogo,Basi nyingi nilijifunza huko japo bado naomba Mungu Wetu niwe Kama wao).

Kwa Mzee Simba Nilisikiaga Baba akasema Mungu hashindwi uko Sawa endelea Kuomba ila Mimi nilijua siasa tu yeye akakataa akasema Ni Mambo ya Mungu hayo siyo siasa tu.

Basi Mwambie dada yetu asiogope maana kwa lugha ya nyumbani yalisemwa kuwa Iyenge nakumwila uilomboyo omwanza((mengine mwanza kwa dada utayakuta).

Ni jibu la swali la Alloni Kazinja Chuoni rafiki yake Oscar mbuzi aliponiuliza Muulize Mungu Ni Nini hatma yako ikiwezekana Mipaka na Muda wa Kuanza wito wako,

Japo mda huo dada hakuwepo mwanza mjini lakini yalitimia pale kaka yetu alipohama akarudi nyamatongo na tedi akatoka nyamikoma akaenda mjini mwanza na leo akiendelea na kujituma kupambana,Na maisha Ni kudra.

Narudia tena Niliposhuhudia,,waliniambia niombe nijue hatma yangu na Mipaka ya Kazi pamoja na Mda(Mate wa water supply Alloni kazinja rafiki yake osca mbuzi).

Yote yalijijibu kwa Wakati na Nikiwa naandika leo Tena Kazi inaendelea,Kazi yangu Ndo ndo Kazi ya Watu Kama ile ya kizimkazi ya Suluhu na kupatanisha walioteswa.

Neno vita liliniwazisha sana ndugu yangu na mdogo wangu,Sitalieleza kwa kina ila Mungu huyaruhusu yote kwa Makusudi yake, ni kweli niliviishi.

Niliomba Mwenyewe kwa Kusema anipitishe kwa watu waliochini nijifunze kwanza asinipeleke juu moja kwa moja.

Hii niliipenda Mijadala Mingi iliyokuwa inafanyika Udsm na Sehemu zingine Kuhusu Taifa na usomaji Sana wa magazeti ya Raia Mwema na Rai(critical writtings).

Hivo niliazimia hivo ili niwajue Watu kwa msaada wa ufumbuzi wa utatuzi wa migogoro na kero,Nilikuwa napatwa migogoro binafsi na nilikuja kukereka Sana nilipoanza vitendo,niliambiwa imani Ni Matendo.

Hata nilipoweka wazi vitendo niliambiwa eti anataka apendwe na Hakuna Mtu anayempenda anajipendekeza tu.

Kusini nilipokuwa Kuna Baridi na matufani Mengi ila Mungu wa No Woman No cry, Ayubu7;1-4 nikiwa dodoma nasubili ajira Alinipa miezi 6 tu kwa Marejeo hayo, niliweza kuhimili vizuri tu.

Maisha Ni Watu,Na haya Ni Mambo ya Watu,Yule Mtu wa Watu anatakiwa awe Mtu muungwana,Ajivikaye upole,abebwaye na kila jamii ili Mungu atukuzwe kila sehemu.Ni upole tu Ndo utastahimili cheo kikuu Hasa baada ya Kufa.

Nilkwandikia haya maana nilikuwa nakukumbuka sana hasa ulipokuwa unawahi kutoka shule ili unipikie kaka ako, japo ulikuwa unapika kitoto(kwizungeleja) viazi kwa lugha ya kwetu na pale ulipokuwa unafunua viazi unaniibia na kuniletea hata bado havijaiva na kuna siku ulipokoswa na gari ukiokota viazi barabarani nilikuona kwa mbali kipindi natoka shule, nilishindwa kusema hayo siku hiyo.

Nahayo yote ni sababu ya shida zetu maana mama yetu alitulea kwa shida sana(alipokuwa anauza nyasi kutoka kijijini kwetu mpaka huko buyolwa wakati wa kiangazi akienda kuzitafuta mchana na jioni huku akisaidiwa kukopeshwa na vijana wa maduka unga, na madeni yalipozidi hawakutuacha waliendelea kutusaidia,ikikupendeza Uwe mwema wewe kwake kwa kesho yako ambayo Kwangu Ni lazima.

Na Senzeka na Jame nawakumbuka juu ya msada wao na wengine wote na ile kalamu ya Polina muuza vitumbua nilipotaka niende kusoma diploma namkumbuka, sikumfurahisha nilipokuja kusalimia maana nilukuwepo katika wakati wa vita.Macho Yangu na yake + na ile hofu.


Yale yako,basi nilienda kulala kwanza niliamushwa na hodi zako uilipoivisha viazi vyako(asante mdogo wangu) uliniuliza kuwa kwa nini silimi napenda kusoma tu,nilikujibu kuwa tukiendaga eneo la kanisani (roma)usiku waga nakwambia uombeje kwa Mungu,ulinijibu kuwa Mungu akusaidie uje utusaidie.Basi haya haya nitayakumbuka kesho na mdawangu wote wa kuishi kwangu mbele ya Mungu.

2017 nilipokea Taarifa mbili nzito Kifo Cha mzee kupitia kwa Grace Kamambi na nilikuja kupigiwa Tena umeacha Shule na huonekani, kidato Cha kwanza tu Ukaona Inatosha,Ziliniumiza Sana Hasa hii ya Wewe kuacha Shule maana Kifo Ni Mipango ya Mungu na anayemtegemea Mungu Hafi ila huishi milele,Baba Yu Namna ya milele kwa kile alichokiamini.

Mbinguni huyu alikuwa Sawa hata NDIYE ya Saba ya new world order.

2011,Wakumfuata Eliza alizaliwa salama hatukuwepo nyumbani kichwa kiliniuma mama akaniruhusu nirudi kipindi hicho tulikuwa tunafanya vibarua ili tule basi mwambie mama yake kuwa Nayakumbuka hayo na ule wembe na vitu vingine ambavyo mama kulwa(shemeji na jirani)aliniambia nivilete baada ya kwenda kumuita.SINA WEMA ILA YEYE ALIYENIFANYA NIUMWE KICHWA SHAMBANI.

2021Basi niliishi maisha ya kunyume na watu yaani kwenda tofauti sana na macho yangu na uso wangu watu hawakuthubutu kuniangalia mojakwa moja na hata Pambalu nilipoenda kumsalimia Mbowe gerezani niliahidiwa hivyo katika mafunuo na badae nikaahidiwa nitazungumza na mama samia,Narudia haya sababu Serikali Ni msimamizi wa Mengi, mwaka mmoja baada ya masomo nitapata mazungumzo marefu sana na utulivu wa juu nikiwa naandika hapa nayasubilia hayo(mafunuo).

Kwa hyo mdogo wangu kama walikuwa kama wanaangalia pembeni na sikujulikana kwa wema bali ubaya.Nilikataliwa hasa huko Nilipoyaona hayo,Utete( Handaki langu na Yerusalem ya majuma 70) nakote nilipothubutu kuwepo.

Nakumbuka nilipokuja kwenye msiba na hapo ilikuwa hivyo.Nilihuzunika sana lakini sikuwaza hilo ila nilipoambiwa mama aliulizwa kuwa kama anayo hela wampeleke hospitali lakini akasema hana basi ikawa subira hvyo na gari halikuonekana.Ilikuwa hivyo siku sita kabla nilinuona mama akiimba wimbo wa tabu zangu sikiisha, basi tuyaache.

Ukumbuke pia ubishi wetu Mimi Na mama Kuhusu Yupi Ni Mwimbaji Bora wa nyimbo za injili Mda huo,Ambapo mama Alimpa Rose Mhando na Mimi nilimpa Bahati Bukuku mpaka Tulikuwa tunachukizana Lakini yote ilikuwa Kazi ya Mungu kwa Mda ,

Muda huo nilitakiwa nijue,Waraka wa Amani,Nani asimame aitikise dunia,Tsunami na album yote ya Bukuku ya Mda huo ili Nibebe vema kusudi na Nyakati za Mwisho Tanzania njooni tumuombe Mungu.

2021,Lakini baada ya Kurudi masomoni Wakati wa pili,Shahada ya kwanza(majuma70) ya Mambo ya Maji kabla ya matokeo ndipo nilipoambiwa kuu la kuwepo ni Hatumo-Rose Mhando nikakumbuka Majaribu-Bukuku niliyotoka nayo na hapo naogelea kutoka Kwenye Maji,nilimokuwemo nakimbizwa na mamba Mafunuo ya Kuja hapo mwanzo.

Na albamu yote ya Mteule uwe macho ikajijibu na kile kilichokuwa kinanitokea.

Lakini historia ya Mhando Ndo niliipenda Sana Hasa akiwa Kitoto kidogo Yesu anamponya na Kumuita,Nimekuponya amka nenda kanitumikie, Ila mkono Kama wa Mzungu,Ni Ushindi,Nani asiyemjua Rose Mhando Ni Nguli wa nyimbo za injili?

Wengi wanafanya vizuri ila kila nyimbo zipo kwa ajili ya kumsaidia Mtu kwa Wakati maalumu kama Mungu atakavyo.

AlipokuWa anakasirika Mama,Marium Lukasi Masota anamsema Mtu wa kwa Mda mrefu alafu anafunga kwa wimbo wa Katoliki.Usemao.

{Mwenyezi Mungu ameniumba,
kaniweka Kati Yenu,
Niwakumbushe Watu wote,
Thamani yenu duniani.

Chorus,

Acheni,Acheni kukata tamaa
Acheni,Acheni Kufa Moyo
Yeye aliyewaumba Ndo anayeijua Thamani yenu}

°°°°=Huo uliimbwa na Mama yetu Huku anasukutua Maji kamaliza Mda mrefu anamsema kwa nguvu Mtu aliyemkosea°°°°.

Kwa Mda huo Yeye kinywani alikaa Sana Mungu,ila Kwa Baba Yetu,Pastory Misoji Nkwabi Huko AlizungumZiwa Sana kinywani Yesu mnazareti Tena ile kujitolea kufia msalabani pekeyake

Na leo ipo (Getsabane-Tabata choir)

Kila Jambo na Wakati wake.


2022,Hata Kwaya ya Roma-Yesu Ni Mwema makuburi walikuja kunisaidia baada ya majuma 70 na ile safari ya Mbowe Uingeleza pamoja na Vikao vya CCM Taifa hasa kile kilichokuwa siku moja na Vyama hivi vikuu viwili.Tarehe8/07/23 kwa kile kiitwacho nikwa ajili ya Taifa na Amani ya Dunia.Ni Amani iliyo juu yetu.


Basi Rudi kimawazo nyumbani,Hayo ni ya nyumbani lakini yapo mengi ila niliutaja kwako mwaka 2025 na mwaka 2035.

Na tulipotembea tuliyakuta hayo nakumbuka kuwa nliambiwa mbele zako kuwa Mwaka wa ushindi unaujua watu wamepata mavuno umekuwa wa kukaa peke yako kwenye nyumba na ukitoka naiona mikono miwili inakupokea ni ushindi ila huu mdogo kwako kama unavyoweka mikono juu usiku na mchana basi yatatimia yote.nadhani ulisikia.

Na tupende jimbo letu,Mambo ya nchi yetu katika dunia ya Mungu,Mungu wetu wote.

Nimeyaandika ila nikuibie siri nimeambiwa nikuchukue nikae na wew pamoja na mama ila wewe uwe na upeo ya yote nyumbani kwangu.

Ila nmekumbushwa kuwa Aloyce ambaye ni kaka yetu tumuige kwa Mengi hakutubagua kabsa,Mimi namuomba Mungu tuwe kama yeye ikiwezekana tuzidi hapo(Kwa Mungu yote yanawezekana tukiomba)

Tutakaa Mwanza huenda Nyumba zenye vyumba juu na chini na Mama yetu(Omwanaluka),Hili ni Mungu akipenda.

Tutakuwa naye pamoja alituita tulipokuwa tunacheza akiivisha chakula,Haya ni mapenzi ya Mungu,Kwa maombi yote yatawezekana.

Shukrani sana kwake,(mimi kwa sasa nikiandka haya nilifungwa kama mtenda mabaya,ni kweli maana niliogopa watu sana na fadhaa yangu ya uso, kweli.

Mtu akitaja chakula moyo wangu unakurupuka kwa hofu,Haikutosha hata kuwaangalia usoni watu niliona aibu sana mdogo wangu hata mezani wakati wa Kula,Na kingine Kila neno nilitaka watu wamanishe siriazi Siyo matani au kupindisha.

Misoji(6) mtoto wa bro yetu ndo aliniambia nimjengee bibi yake nyumba/kiegemeo,Siku ya kwanza nafika 2020 aliamka asubuhi sana wakati wa mvua kubwa inanyesha mim nilikuwa nimelala bado akaniita baba mdogo ona, nikaangalia ule Msingi wa Nyumba yetu, ni kweli maji yalikuwa Mengi.

Sina wema(ila yeye anayetupa mawazo mema yapunguze mabaya tuliyonayo) ningekwambia mengi kuhusu madam Alo Mimi Kama mdogo wake alivyonivumilia na kunishka mkono japo sikustahili ama kupendeka ila hakusema nimsemee basi neno moja alipenda kulisema nalo siyo lake bali la Mungu yaani Roho mtakatifu atatuongoza tutafika.

Alinikumbusha 2025 nisimpige chenga, nilishikwa kigugumizi hofu ya kunenewa vibaya na wengi.

Na leo nakumbuka hivo(gharama ni kulipa),Niupendo,upendo pia hutia moyo katika Mungu si kwangu tu bali huyo roho mtakatifu kwa Kazi ya nyumba ile,Na wapenda kwa Ali na Mali.

Basi nami nasema Roho mtakatifu awe mbele yako yetu na yenu pia.

Nipumzike sasa kidogo (Jan 2022- dsm)matumizi ya mwamba akiwa tumboni Bado yahakuwa sawa nilichokwa kidogo,

Maana tuyaweke yote sawa si kwa kudharau mengine ila lililokuu ni kumkiri Mungu ndo mkuu.

Na Wapo waliotaka wanitengenezee Habari wazitakazo wao,niliwaruhusu Hivo ila mwisho wa siku Mungu ni Mkuu wasijue maana ya hayo kwa Bro wako Tom yakamfanya Ashinde.

Eti Muone sura yake,Mtu mzima ovyo kwa hofu yangu,Fadhaa ya Uso na Kupenda Uhuru,Kuongea stori na Kama Mtu haongei naendelea kwa uzuri wa maongezi wengi waliniacha ili kiwe kiboko Cha kunipigia.

Walinibutua Sana lakini nitawashinda kwa biblia na korani kwa Masada wa Mungu.

Mda huo nikakumbuka nilivyokumbatiwa na Mtu bara Mtu Mara Mtaa wa Survey nilikuwa nakuta wimbo wa Paul Mwai-Nitatangaza Wema wako,Huu ndo ulikuwa Nami hasa Kwenye Mazito na Magumu yaliyotoka vinywani na vifuani mwa Watu na Bukuku -Lazima usamehe ili Mungu aseme Nawe Katika Usambamba huo niliiamini vile Katika Gari ya Dodoma-Mpwapwa (iliyokuwa inapaki sabasaba nilipouzaga Karanga na Sigara/Embassy Ilikuwa inatoka haraka kuliko wiston na mbaya zaidi sigara nyota na picha ya kumbukumbu ipo) imeandikwa Wamtumainio Bwana Ni Kama mlima Sayuni,Hawataangamia milele,Nyemba(mate diploma) nikiwa dirishani nilimkimbia na Karanga zangu ila Juma Nkamia uwanja was mpira Dodoma aliniita,Akaniuliza vipi nambie,nilisema poa tu,Akasema Basi sawa, Ila nilifurahi kuniita vile si Yeye kuwa mbunge ila nilimkumbuka kupitia michezo na leo Niko na kiba Pamoja na Christian Bella nishamaliza ng'ombe mzima nimebakiza mkia maana yake si Mda ama tayari nianze kuiona Kesho iliyopangwa na baba ya Mwaipaja.(umepewa bure toa bure) hii ndo freedom.

2023,Vita vya kiroho Ni ngumu kuvishinda kwa akili ya Kawaida,

Lazima Mkono wa Mungu uingilie,na hapo unatoka kidogo kwa Watu na Marafiki(No woman No cry) hata ndugu yaani A.L.M mwenye kujua hayo maana yake Ni Mungu tu Na wale alowajalia Roho takatifu ila wengi watajikuta wanatoka nje na kukufuru kana kwamba kiumbe Cha Mungu.
Watakiita,Karogwa,Laana,kaua,Mwizi,Bhangi na majina Mengi mabaya Ambayo hata moja hutasikia linatajwa mbinguni,

Wao ndo Yao.Hayo Ni mapenzi ya Mungu Katika kristo Yesu Tanzania Assembly of God,Dodoma makao makuu,Na mpaka Sasa Bwana ametusaidia(1Samwel;7;12).

Na Kimaro na KKT fimbo ipo na James mbowe Ni mentorship kwanza Kama iliyopo Goba centre RGC.

Usisahau Binti mfalme/malkia wa kusini ya Majaliwa ama Nape alizawadiwa ng'ombe wa kike jina Marium/kwa waroma Maria aliyekuwa na mimba ya miezi 8 na Mda wa Mwezi wa Tisa tarehe Tajwa atajifungua(mwanacasfeta 2012-maji).

Nilikujaga onana na Asha Nyopa Maji rafiki yake na Osca mbuzi kipindi nakabidhi ripoti za mwezi ili kuithibitishia Serikali ya Mama kuwa Kazi inaendelea na Kauli mbiu ya mwenge 2023 Ilikuwa kwetu kuwa Tutunze vyanzo vya maji kwa Ustawi wetu,alinitambua Kama Mwana maji wakiwa na Mpili huku wakiongea polepole,eti waga Ana stress,Ni kweli ninazo,ona Simanzi Yangu ya Uso kulia kwao.

Mungu Nilikuwa Namuomba Sana na nikataka Nije nishinde kwa Wema pasipo kuleta Maasi ili Tuendelee kuwa na Amani Kama tulivyokuwa tunasimuliwa na Mama na Baba kuhusu Kambarage wa Butyama alivyojitoa ili Nchi ikae salama.

Tulikuwa wadogo sisi ila baada ya mkapa Kutangaza taarifa zilikuja na Nkwabiga kwa Mama, alikuwa anapika,kuwa Mwalimu Kambarage Kafariki,Mama Alilia Sana na hofu Yake akasema huenda tutapigana sisi kwa sisi Huku analia,Alisema Huyu alitabiriwa Kama Zagamba Nyeusi imemuondoa Muingeleza Watu wamefurahi sana kwa Wazee wa Jadi ya kisukuma wa zamani zile(ibamba Ngulu&Misenzo).

Kumbe Mwalimu alikuwa Bora kwa Mengi hasa kupika viongozi na leo Taifa Ni Moja na Kizimkazi Zanzibar Ni shwari na Mjukuu wake wa Jina Fimbo Yuko nayo,Sijui Kama Kuna Jambo litaharibika maana ipo Milango Saba na Nane kwa ukoo wa Mungu Ni rejea!

Msalimie mchele mchele mwambie nafuhwa Lwanga na Budagala umwambie Nasiminza mpaka mumaporu,Saida Karoli umwambie napambana kama MariaSalome wa baba,Kili dada mwambie namsalimia ng'waguku ila goti asinipigie atakapo Sema Toromayo ing'washi,Wasukuma kwa Masaligura ni MAMA SAMIA TU mojanne Ndo Hangaya na shokaga ko hange waambie banibyala(nimerudi yule yule) Katika Imani ya operation+255 Mbowe kasema waipende Chadema, Mimi Ni Nani,Niwapinge?

walimu wakuu na Wote nakumbuka a kwa Upendo wao,Maige na Mage na mtendaji Kulwa heshima Yao Mimi nilisoma kidato 4 vema kwa mpango ule Okoa Kaya maskini wa Mkuu Mrisho.

Ningekupa ya baba, kuhusu Rafiki yake kiroho(hawajawahi Kuongea) Kambarage wa Musoma Namna alivyompenda,hasa Maongezi yaliyojaa Hekima,heshima,Utu,Umoja Kama ndugu na Kumcha Mungu(Biblia+Koran) pasipo kuharibu uwepo wa imani zingine na Hata kuheshimu Fikra kinzani.

Baba alivutiwa Sana na Kambarage na tangu awasikilize wote ila bado wa Kumfikia Mwalimu aliapa Hivo,2015 nilipotoka Chuo nilipigiwa Simu na Manziro mbele ya baba nikiwa na Kapinga rafiki yangu kuhusu Kuwahi kutoka Chuo Kama Ni kuwania Ubunge,Lakini nilikataa.Lakini baba alipenda nilivyoulizwa kuhusu kugombea Nafasi hiyo,Ila nakumbuka mkoti wake na Fimbo yake na kiti alichonikalisha kwa Kaka yetu Aloyce Kabla sijaondoka Nyegezi-Dar kuanza masomo ya Elimu Kati.

Nilifurahi kuvikwa hivo, sikuvua na niliondoka Hivo nikaenda kuwapa wakoma wa barabarani vijisenti kidogo kidogo mpaka nilipoishiwa,Nilienda kwa Machozi na nilirudi kwa Machozi na Kesho yake nilipakiwa bajaji ya bro Nkwabigu kwa machozi na nilisafiri nalia na Fimbo yangu ile ya Bahaya mpaka dar nikapokewa nayo na Mtoto wa Marehemu Fedi (James Fedriki) na sikumbuki vema Kama Mbagala kwa Mjomba Nilienda Nayo( ila Ishara Yake niwe nayo Muda wote Kama Kambarage Wa zanaki au Mtemi Mayala Huko NASA).Chuoni waiiona wengi na Mbiyu hakunishangaa na tuliposali pamoja na mchungaji aliomba kwa Wema na Moyo ulipohitaji niliitupa chooni na siku si nyingi nikaja Kufunuliwa Mambo yote, Kanisa Katoliki(kama mtikisiko hivi),Mti uliokua juu mpaka Mbinguni na Cha tatu Nilimuona mfano wa Mtu Ambaye hakuniruhusu nimuone Uso wake uliokuwa mwangaza ila rohoni Mpole naye alinionea huruma na mavazi Yake yalikuwa na unjano na weupe na kichwa chake Ndo Mwanga wa Sehemu zote Kuonekana kote duniani na akaniweka Kifuani kwa huruma na ukarimu na tukaenda kidogo ndipo viti viwili na meza ikawepo yeye akaniweka kiti Cha kulia na Fimbo Yake akanipa na nilionekana na nguo ya ukaki kombati niliyokuwa naipenda kuvaa enzi hizo za Jakaya na suruali ya jinsi(Kama nilivyo) ndipo Watu Wote wakashangilia Sana.

Nikatoka kiroho na kushudia mbele Ya Baraka Ado na Magesa Pati na waliponibishia,nilinyosha mikono juu Kama nilivyokuwa nafanya mazoezi ya kuwa na nguvu home, niliyofundishwa na braza uwekaji wa Mikono kwa Jimu,Hapo nilipokuwa la kuwa Mzee kamambi aliniambia a nikiwa na Magadula kipindi anaenda kutuombea kwa Ajili ya mitihani ya mwisho kidato4 alisema,Wewe,Mimi,ee ..rudi Kwanza.


Ndipo akasema Neno Lolote litakalonitokea kwa jinsi ya ajabu likifanana na Biblia na Leo na koran Niweze Kulikubali,Hapo nikauliza Hivo,Nikaambiwa nisome 1timotheo1;12-19.Nilijawa furaha kubwa Moyoni na Nikaambiwa niende Kesho yake nikashuhudie darasani HG wa Mwaka Wangu 2012 ,nikpewa msisitizo kuwa nisipofanya Hivo nitarudishiwa magonjwa yangu ya Tumbo kujaa gesi na Mengine mengi,Hivyo nilifanya Hivo,Na Baada ya hapo si Muda nikaanza kulitumikia neno Hilo Huku nikifunuliwa maono,na njozi si kwa mapenzi ya Mtu ila Mungu Hata nilipowaambia Watu hawakuweza kuelewa ila miaka Kadili ilivoenda maono na njozi zilikuwa wazi nahisi wote wengi Hata nyumbani wote nimewasimulia mambo Haya.

Kwa hiyo Mdogo wangu,Nakupa haya maana wengine hawapendi Mafanikio ya wengine hata ambao hawajawakosea,na ingali husema wanampenda Mungu.


Kama nilivyosema kuhusu 2025,2035 na 2085,Uwe Nami pamoja Kama Mama yetu alivyokuwa nasi Hata baada ya Baba kulala 2017,nilipokuja Huko 2020 nikiwa na mwendelezo mrefu nasikiliza Wimbo wa Rose mhando-Ee Mungu nitakushukru kwa Sauti ya juu Kama Sina akili nzuri, Emma Anselemi alikuwa kaondoa Lock Kidogo Akaniambia Toro Watu wote walikata Tamaa na Wewe waliochini Umeshakufa,Kwenye Msiba wa mzee kila Mtu hajui awe rafiki yako au ndugu yako,sikufichi nimekuona na Machozi nalia unaniona,Aise siku nyingi Sana,Sikumjibu Kwa kile kilichonyuma.

Sikuja baba kumuaga na kiroho alikuwa pamoja Nami Huko dodoma kwa Ufunuo wa Chumba chake Cha uzeeeni Kunikabidhi Funguo nisimpe Mtu Yeyote nikifunga na kufungua Mlango niendako na nirudiko.

Nikilinda porini nikiwa na Kirungu tu usiku wa njaa na reggae+Kwaya( Coco- Alpha Blond,Bukuku- Waraka,Ambwene-Misuli ya Imani) chini ya Sengo Security Co.Sababa Mariki akiwa In charge na Jose Meneja tuliyekuja Kashindwana na Tarehe 17 za Mshahara,Alinifukuza ila Alinipa Mshahara.Tena nakumbuka ( alikuja kunipanga ofisi ya sampuli madini iko Dodoma) na akanipa na Silaha ila sikudumu.

Hata kwa Marhemu Sitta Area C jirani na kwa Edward Ngoyayi Lowasa nililinda na Nikiwa Mpenda mijadara ya Siasa sana baada ya Kutoka lindoni.

Na Lugelanija Mayala(Gwabo) nilipochoka vibarua alinikuta Dodoma nauza Karanga za Mia kwa Mia mbili akaniiita head boy(kidogo nitupe) ila pembeni lilikuwepo gari bus lililoandikwa """"wamtumainiio bwana Ni Kama Mlima Sayuni hawataangamia"""" liendalo Safari Mpwapwa -Dodoma na kingine kidaladala kilichokuwa kinaenda sabasaba - Ihumwa kililichoandikwa kwanyuma ""Watashindana nasi Lakini hawataweza""", niliposomao hapo sikuweza kuwaza vibaya Tena,nilibeba ujasiri nikajua ni heri huyu kuniona na Mwisho akanambia anasomea Uchungaji na leo anahutubu mbele ya kanisa huko Lamadi.

Nikifika huko itabidi nichangie Kazi ya Mungu iendelee.

Ni hayo,Wengine hawapendi Hata haya kuyasema,Katika vijana ipo Imani na ipo dunia na dunia Ni Ushuhuda wa Njia unayoyapitia,Haijalishi hata wawili kwa bedi ama moja tu mbio usahau phone kwa changu afu dada poa aseme chukua simu yako sitaki dhambi Mimi napambana na Hali Yangu,Yote nayo utakumbushwa siku ya kisimamo/kiama/Mwisho was siku Kama ilikuwa Kweli au Uongo?,

Hapo baada ya siku tatu unusu tutashinda nao na hawatakaa wasahau mdogo Wangu.

Nilikuja kujizatiti yaliyopo kwa Mungu hasa Sehemu ambazo zimejaa changamoto na lugha na tamaduni za kutokuwa na hofu ya Mungu hasa,toka 2018 Mwezi wa Kumi na moja,yote hayo niliyajua
Baada ya kumaliziwa utafiti ili kuweza Kusaidia Nchi na dunia Katika kwenda kuitafta Amani Tuitakayo hasa nikasimame mpaka hapo dunia itakapohitaji Tena iwe njema na nzuri kwa mwendo ule ule wa kumshinda Shetani ajiinuaye kwa Kiburi hasa kwa watu na Mungu na Hata hao mawakala wake wasijue Kitu Cha Mungu kikikosea humsikiliza Mungu ili akirejeshe.Kiificho changu/Handaki langu.

Mwezi wa tatu Mwaka 2021 kwa Ushahidi wa kusema Mara kwa Mara Kuhusu Mwaka wetu wa Uchaguzi wa 2025,Tutashinda,na 2020 nikiwa Singida niliulizwa na Watu wa kitengo Cha Hg tukiwa tunakunywa juice pale eti Mimi nilikutana na Yesu,nilijibu Kama Mimi Mwongo Chadema itashindisha wabunge na Mbunge wa jimbo la ukombozi kwetu 2025 mbele Yao na 2035 nikaitaja,Lakini Sasa nikiwa najazia Ee Mungu nitakushukru ya Mhando inaishi na iko vema siku hizi siipigi Sana,Tulishinda na Tutashinda Mdogo Wangu.

Sasa nawewe sikiliza Tazama Ramani Utaiona Nchi Nzuri.Majira Ni yetu Mimi na Wewe Weusi,Bila sisi, no weusi Hakuna majira.

Tufurahi na weusi wetu,Black is gold Wahenga walisema.

Usihofu Kukuandikia barua,Nami Timothy nimepokea Kwa Paulo Kama Mwanaempendwa Katika Kristo na Mungu Baba,Kwa neno la Bibi Mwanandege, Alishindwa kutamka Jina Langu Akawa ananiita Timotheo,Nilipoitwa kwa wito niliitwa Timotheo na nyaraka ya Mlango wangu Ni 1timotheo1;12-19 nadhani unakumbuka Mwanandege alivyojipiga Kifua Mara kwa Mara na akiniita Timotheo.

Uhuru Mwenyekiti alifariki akiwa madarakani,ila alinijali Kama Kijana chachu ya Badae,alikuwa tayari kunilinda kwa vyovyote na nilipopendekezwa kuwa mgawa mahindi ya Jakaya kwa Kaya maskini Kwenye Chama/stoo ya Kijiji nilikuwa na Ujasiri kwa Kura ya Budindi maarufu CHIEF.

Kijiji nakitambua Sana kilivyonikuza,Na Mungu azidi kunisaidia Niweze Kuwatetea Matunda Mazuri si kwa watu wengine tu Hata Wao pia maana Mayowe ya wezi tuliitana pamoja na tulikwenda pamoja kuwatafta,tulipowakoswa tuliweka kikao Cha kuagana na mawaidha Mazuri,Mashauri Donati awamu yake alikuwa mkali Kuhusu Vijana na ukihisiwa unacharazwa na Badae Polisi,utapelekwa,Mwanamambu,Mchibo,John Masaga,Kaka Paulo Makeja na Wengine

Nawakumbuka,Hitila,Philipo helemani kwa utani kuku na Mayai Yake Japo kalala namkumbuka,Ndakama na ucheshi nawakumbuka,bila Wao kijiji hakina Taa imara.

Nililala,neno omnipresent liliniamsha na nikakumbuka msururu wa wagonjwa,vilema,vikongwe na wengine Kama vichaa walivyokuwa wanakuja nyumbani na kuomba msada wa japo maji ya kunywa ama chakula na kile mama alituelezaga tukiwaona wanakuja,haihitaji shule Sana kujua malaika Ni Nani.

2023,Nilikuwa Nyamwage-Km35 na Seregeni(rafiki yangu Kutambua divai) wa Majita Musoma kwa Mzee Mjee,Kwa mjee,Kwa mjee anawasalimia Sana Kanda ya Ziwa,Tumepamisi Sana.

MC Marundo kitika wa watika Yeye huku Ni wa mishughuli Kama Yote,Akiwaita mduara, Nimepinda 7 Kama hataki Basi Meja kunta Ana Madanga ya mjini,Alpha Blond Ana Coco the rasta na korani 90 na korani 100 hazipingani na na kuran2;57-60.

Yeye Asha Ni MC na Maher Ni mwanae,huwa anawaita kwa wakati na miduara Kama Yote kwa wakati wa 2wakorinto12 Ndipo fungu la Saba Lipo.

Nimeandika hivi kwa kuifunga ili kwa Roho Mtakatifu, hata mpangilio haujakosewa.Ningeandika Mengi madhaifu Yangu ila hekima in nguvu na hasa wachungaji ndo waifanyao dunia kuwa salama, kwa neno la Mchungaji maana Mchungaji hafanyi ibada ya pekee Bali familia.

Asichukie nisemapo nilitapeliwa Sh.50,000 hela ya mauzo ya Karanga kwa sabuni yenye button,ni kipande Kama simu ya Samsung Galaxy mpya na mtu aliyeonekana Kama mlevi baada ya kuniambia nipite hivi ili niwe salama zaidi kumbe ili Yeye awe salama zaidi,Sikuchukia kwa Hili Wala kujutia sababu nampenda atumiae akili.Hapa nilizidiwa kwa tamaa zangu.

Nilipokosea kuandika unisamehe mbele ya Mungu baba maana Ni neema tu kuliandikia na kulielewa neno la Mungu hata usikie kiburi Ni kibaya na watu ndo hushepu mtu leo 10 sep gospmedia2023 Nimesikia na nimefanya hivo na Fransisco ndo mkuu na mpana wa yote hata chini ya kanisa mbele za Mungu tupate kuungama kwa Mchungaji wa kanisa la Mungu baba.

Msalimie Mama umwambie Ambwene Mwaisongo namkubali kwa Misuli ya Imani,Wote Bukuku wa Majaribu,Rose Mhando wa Hatumo hata Chris Martine wa Mama Jamaica wote Tuko naye Pamoja hata Baba Mtakatifu Fransisco wa Lisbon 2023 nawasalimia Katika Roho ya uwepo wa Mungu kwa watu wote.

Umwambie Rais wetu Mama la Mamama kazawadiwa ng'ombe aitwaye Marium na Yuko Mimba si Mda atajifungua Basi Kama yeye atarajiapo kupata,Samia kwa idhini ya Mungu anaye ndama mashuhuri kutoka mikono ya Kiroho ya Watumishi wa Mungu.

Muh Kuna mmoja sijamtaja na Kwa Mungu nimewiwa kukumbuka, wa Upanga na Kagera kuja Mwambie Dodoma Ina mdau wa wadau,Na sijui Kama anayajua ya hapa chini ya huyo mdau wake.

Yale ya kuwa kinyume na watu Wangu, asibebeshwe mtu nasitahili niubebe mzigo Wangu Mimi mwenyewe hata ukamilifu wa dahari, Mimi kidudu mtu,kinyamkera na miwani Yangu wananiita huku bondeni..

Chule mdogo wangu mtoto wa mama Kulwa alinipiga mimi7 jiwe kwa manati karibu na jicho, nilipolia Sana yeye alipoulizwa akasema kamtukana,hivyo niliendelea kupigwa na Wakina Juli Maselema mbele ya mama huku bado natoka Damu,nikawambia Mbona watu wanateseka na wanalia njaa,haikusaidia, Kila aliyepita alisema mchapeni kabisa.nilipokuja kutulia mama akanambia,wewe si uliwaambia ndege dindi(vitundule wawili) waende wakamwambie Mungu akuponye uvimbe wa utosini au hukupona?nilipona,ulitutesa hivyo na uvimbe wako Nani angekuponya au Tereza Dada ako aliyekucheka uliposema hivo kipindi anakukanda Kukutoa usaha (waliposhuka mbele yenu hao ndege),Hapana.Ehe mbona unamtukana,Sirudii,,,Nije nikusikie Tena,Kaone na sura yake kamekondeana utafikiri kananyimwa chakula,Haya Wengine walisikika huku mama anaendelea kusema babu zako walikuwa wafia imani na wasomi wa dini, tukakupa Jina la Bathoromayo kumbe tummempa mtu mjinga tu? Hapana.Sirudii na haki ya Mungu nitampenda namimi Mungu kuzidi hata walionipiga,Wakacheka na kukusanyika kwao Wala sita tukana tena.Zefa Lubimbi akasema huyu atakuja kumtumikia Mungu maishani Mwake huku anaenda kupanda daladala aliyokuwa anaiwahi.Haya nayo niliyakumbuka kipindi Niko kwenye ungwe ya mwisho(mafunuo ya Bella ft kiba-Nagharamia) ikabidi niyaandike maana ya Mungu Mengi ili watu wa dunia yote wakanione nilivyokuwa wa hovyo na Sasa naomba Mungu anisamehe na kanisa liniombee.

Ni Mengi mdogo wangu,Madam mwalmu Dada yake Anise ulipofanyika uchaguzi kumpata mwenyekiti wa TYCS nikiwa kidato Cha tatu na jina Langu lililetwa mbele na wanafunzi wenzangu,ila nikamfuata Ubaoni nikamunon'oneza kuwa hata nikishinda amtangaze Mwenzangu maana Mimi sijabatizwa, hivo siwezi kuwatumikia wenzangu,Lakini akaniuliza umejuaje utashinda,nikasema ikitokea hivo maana dalili za shangwe na kura nilizopata nikiwa Kaka mkuu ndani ya kidato hiko nilikuwa nyingi Sana,hivyo Sikushinda umwenyekiti wa TYCS,walimu wakaniita ofsini na akasema mbele ya walimu tutakubatiza tumefurahi kusema hivo,Yesu Ni Mwana wa Mungu na jina Lake ndilo lileLile liletalo ukombozi.

Usiogope,Hata Leo nimezaliwa Mara ya pili na sasa(1timoth1;12-2085)


Kongo na Sudani ya Kusini ya Fransisco February 2023 katika Hilo Juma moja iliniweka wazi katika habari ya kuwepo Kwangu pamoja na kanisa.

Fegi na hata kamba mdogo wangu si ngeni kwangu,Nikiwa Omega nilipiga kwa kupigishwa kiduara,kwa kuwabishia, mashahidi Wakina Mrefu ,Amani ,Athumani Kalolelo, nilikwisha kuapa kuwa sitakufa pasipo kumtumiakia Mungu hivyo hata nikipiga siwezi kuwa chizi milele,

Haya siku nyingine nilichelewa shule ya Msingi d6 nikafika darasani kumbe sijanawa magamba ya Samaki kichwani,mwalimu akaanza kusema Kuna watu wananuka Samaki wabichi humu,Akasingiziwa rafiki yetu Lugiko kumbe Mimi, Naye tulienda na masalu kuvua usiku kwa kokoro tukarudi na Mboga na hela ya kununua andazi sokoni Kipindi hiko andazi sh.50 tu matatu humalizi,Kuna siku uroho unakula mpaka unaanza kutapika Tena yaani yananizidi,

Siku moja tulipotea njia ya kurudi Sogesca bulalambeshi tukajikuta tupo mbali kweli na mtumbwi, kile chuma Cha Bulima mnarani chenye taa tulikuwepo hatukioni alafu mawimbi Makubwa na mtumbwi unavuja na ndugu Yangu Masalu (mate)ila tukajaga kurudi Salama usiku ule na kokoro likapata kidogo tu.

Utasikia eti Mungu anakupenda Sana,Hili Ni la mdogo katika fikra.La Ukweli Ni Hili, Mungu anawapenda Wote muwe Kama yeye na fadhila zake ziwapate katika majira na wakati sahihi.

Atampendaje mtu mmoja Mwenyewe wa hovyo ajitaabishaye kuitafta7/7 ya ubora wa siku zote?Hana baba/ mama Hana Taifa, Hana Dini? Nawauliza Hawa kina jibril ndani ya nchi si waponyaji wangu na wenu pale ampapo hamwezi kina mama Hawa wa daraja la ukuu wa juu salamu zao hawahimizi Umoja ?Nawauliza mnijibu kina Mikael Mimi sijawahi kuwakosea kwa mdomo wangu huko nyuma?

Alijua watakuja kwangu na kwetu kutualika juu ya ukomo wa mateso Yetu? Kwa Nini mniite mbora na mwenye akili Sasa, na ingali hadithi hii Ni kuwa nimezaliwa Sina lolote hata kwenye Moto nikienda napigiwa kelele wewe toka huko usitupe shida sisi, Kaone!!

Mpango wa Mungu ni juu ya Taifa lenu,Lugha yenu,Siasa yenu na Desturi yenu katika Dunia yenu.

Sasa mengine Ni ya Mungu ila la Ukweli na la wote toka vizazi na vizazi Ni hili,Mungu anatupenda sasa Kama Taifa kwa mataifa.

Uaminifu Ni kulipa,tena gharama hata uhai, Na ndo ubora wa wabora.

Wako Katika Imani
Kusadikika wa wasadikika.
Mungu baba ni Mmoja wa Wamoja.
 
Namwita rose haitoshi namuita Nguli rose napo haitoshi akili yanituma umwandikie haya Maana alikaa na wengi katika kuishi kwake basi yafaa wengi wayajue haya.

Naam Nakukumbuka kama nikumbukavyo watu wote wa nyumbani kwa msaada wao kama nikumbukavyo hayo maneno yaliyotabiriwa juu yangu nahuyo bibi kizee ningali nasubili kwenda masomoni baada ya kidato cha nne.
Nakumbuka kutengwa kwangu leo na watu hawajui namna ulivyonisindikiza umenibebea fimbo yangu niliyokabidhiwa kwa alama ya utabiri na niliyasema yote hayo darasani siku ya kesho yake yalipotimia HGD chini ya nassoro masudi kama CR,mawazo yangu ,huzuni zangu na maneno juu ya mwonekano wangu. hayo nayakumbuka sana yalinihuzunisha sana ndugu yangu lakini nilijua nikitoka huko yatakwsha kumbe ndo kama yapo hayo maishani wangu.

Basi nilikuja kusoma na nilimaliza salama ila yalitimia yale yaliyosemwa nymbani na huyo bibi kizee nikweli nilipewa fimbo na kukaa kwenye kiti cha kifalme kulia mwa yeye aliye mkuu zaidi mbele ya watu wa dunia yote

Na hapo nilitaka yafanane nayale ya kwenye biblia ila yeye aliyempole aliniweka kifuani kwa kunikumbatia akanipa hivyo vyote na akaniambia niifungue timoth 1,12-19 niisome ni kweli yalitimia yaliyotabiriwa kipindi sijatoka nyumbani Lakini hata huyo dada yetu naye yalimtokea ya kuhusu hatma yangu mbele ya majeneza matatu nilikuwepo nami mfu lakini rangi ya bluu ilifunikwa kwa juu na baada ya hayo matatu nilitafutiwa nyumba angu ila niliwekwa na badae nikawa mzima ila mtoto mchanga niliinuliwa juu na watu wote wakashangilia basi Mwambie dada yetu asiogope maana kwa lugha ya nyumbani yalisemwa kuwa Iyenge nakumwila uilomboyo owanza japo mda huo hakuwepo mwanza mjini lakini yalitimia pale kaka yetu alipohama akarudi nyamatongo na tedi akatoka nyamikoma akaenda mjini na leo akiendelea kukipiga kingi mwanza mjini maana ni kukipiga. maisha yanasafari sana.

Neno vita liliniwazisha sana ndugu yangu na mdogo wangu,Sitalieleza kwa kina ila Mungu huyaruhusu yote kwa Makusudi yake ni kweli niliviishi.

Nilkwandikia haya maana nilikuwa nakukumbuka sana hasa ulipokuwa unawahi kutoka shule ili unipikie kaka ako japo ulikuwa unapika kitoto(kwizungeleja) tuviazi kwa lugha ya kwetu na pale ulipokuwa unafunua viazi unaniibia na kuniletea hata bado havijaiva (nakupenda sana mdogo wangu)na kuna siku ulipokoswa na gari ukiokota viazi barabarani nilikuona kwa mbali kipindi natoka shule, nilishindwa kusema hyo siku.
Nahayo yote ni sababu ya shida zetu maana mama yetu alitulea kwa shida sana(alipokuwa anauza nyasi kutoka kijijini kwetu mpaka huko buyolwa wakati wa kiangazi akienda kuzitafuta mchana na jioni huku akisaidiwa kukopeshwa na vijana wa maduka unga, na madeni yalipozidi hawakutuacha waliendelea kutusaidia(ikikupendeza Mungu baba Uwe mwema wewe kwake na kesho yako.

Na Senzeka na Jame nawakumbuka juu ya msada wao na wengine wote na ile kalamu ya polina, sikumfurahisha nilipokuja kusalimia maana nilukuwepo katika wakati wa vita.

Yale yako,basi nilienda kulala kwanza niliamushwa na hodi zako uilipoivisha viazi vyako(sasa nasema asante mdogo wangu) uliniuliza kuwa kwa nini silimi napenda kusoma tu,nilikujibu kuwa tukiendaga eneo la kanisani (roma)usiku waga nakwambia uombeje kwa Mungu,ulinijibu kuwa Mungu akusaidie uje utusaidie.Basi haya haya nitayakumbuka kesho na mdawangu wote wa kuishi kwangu.

Wakumfuata Eliza alizaliwa salama hatukuwepo nyumbani kichwa kiliniuma mama akaniruhusu nirudi kipindi hicho tulikuwa tunafanya vibarua ili tule basi mwambie mama yake kuwa Nayakumbuka hayo na ule wembe na vitu vingine ambavyo mama kulwa(shemeji na jirani)aliniambia nivilete baada ya kwenda kumuita.SINA WEMA ILA YEYE ALIYENIFANYA NIUMWE KICHWA SHAMBANI.

Basi niliishi maisha ya kunyume na watu yaani kwenda tofauti sana na macho yangu na uso wangu watu hawakuthubutu kuniangalia mojakwa moja na hata Pambalu nilipoenda kumsalimia Mbowe gerezani niliahidiwa hivyo katika ndoto na badae nikaahidiwa nitazungumza na mama samia mwaka mmoja badae nitapata mazungumzo marefu sana na utulivu wa juu nikiwa naandika hapa nayasubilia hayo.

Kwa hyo mdogo wangu kama walikuwa kama wanaangalia pembeni na sikujulikana kwa wema bali ubaya.Nilikataliwa hasa huko Nilipoyaona hayo,Utete nakote nilipothubutu kuwepo nakumbuka nilipokuja kwenye msiba na hapo ilikuwa hivyo.Nilihuzunika sana lakini sikuwaza hilo ila nilipoambiwa mama aliulizwa kuwa kama anayo hela wampeleke hospitali lakini akasema hana basi ikawa subira hvyo na gari halikuonekana.Ilikuwa hivyo siku sita kabla nilinuona mama akiimba wimbo wa tabu zangu sikiisha, basi tuyaache.

Hayo ni ya nymbani lakini yapo mengi ila niliutaja kwako mwaka 2025 na mwaka 2035 na tulipotembea tuliyakuta hayo nakumbuka kuwa nliambiwa mbele zako kuwa Mwaka wa ushindi unaujua watu wamepata mavuno umekuwa wa kukaa peke yako na ukitoka naiona mikono miwili inakupokea ni ushindi ila huu mdogo kwako kama unavyoweka mikono juu usiku na mchana basi yatatimia yote.nadhani ulisikia.
Na jimbo letu nchi yetu na dunia yote nimeyaandika ila nikuibie siri nimeambiwa nikuchukue nikae na wew pamoja na mama ila wewe uwe na amri ya wote nyumbani kwangu ila nmekumbushwa kuwa Aloyce ambaye ni kaka yetu tumuige hakutubagua kabsa tumuombe Mungu tuwe kama yeye ikiwezekana tuzidi hapo.

Tutakaa Mwanza Nyumba zenye vyumba juu na chini na Mama yetu(mwanaluka haha hah umaarufu kwa shida zake) tutakuwa naye pamoja alituita tulipokuwa tunacheza akiivisha chakula.

Shukrani sana kwake,(mimi kwa sasa nikiandka haya niliitwa mchoyo(mahuhu)ni kweli maana niliogopa watu sana na hasa kula mbele yao na nikibeba kitu nilihisi nitawanyimaje kweli hivyo nikiri sikupenda na hata niliwaza kuficha).Haikutosha hata kuwaangalia usoni niliona aibu sana mdogo wangu.

Misoji ndo aliniambia nimjengee bibi yake nyumba aliamka asubuhi sana wakati wa mvua kubwa inanyesha mim nilikuwa nimelala bado akaniita baba mdogo ona nikaangalia ule Msingi wa Nyumba yetu, ni kweli maji yalikuwa Mengi.

Sina wema(ila yeye anayetupa mawazo mema yazidi mabaya tuliyinayo) ningekwambia mengi kuhusu madam wa kazini alivyonivumilia na kunishka mkono ila hakusema nimsemee basi neno moja alipenda kulisema nalo siyo lake bali la Mungu yaani Roho mtakatifu atatuongoza.Nilipenda neno hili nilipokuwepo karibu naye.

Basi nami nasema Roho mtakatifu awe mbele yako yetu na yenu pia.

Nipumzike sasa kidogo matumizi ya mwamba akiwa tumboni Bado yahakuwa sawa nilichokwa kidogo kwa mda nguvu zikapungua,haya yanahitji nguvu,badae basi.Maana tuyaweke yote sawa si kwa kudharau mengine ila lililokuu ni kumkiri Mungu mkuu.
08/01/2023 Ruf/ute
 
Namwita rose haitoshi namuita Nguli rose napo haitoshi akili yanituma umwandikie haya Maana alikaa na wengi katika kuishi kwake basi yafaa wengi wayajue haya.

Naam Nakukumbuka kama nikumbukavyo watu wote wa nyumbani kwa msaada wao kama nikumbukavyo hayo maneno yaliyotabiriwa juu yangu nahuyo bibi kizee ningali nasubili kwenda masomoni baada ya kidato cha nne.
Nakumbuka kutengwa kwangu leo na watu hawajui namna ulivyonisindikiza umenibebea fimbo yangu niliyokabidhiwa kwa alama ya utabiri na niliyasema yote hayo darasani siku ya kesho yake yalipotimia HGD chini ya nassoro masudi kama CR,mawazo yangu ,huzuni zangu na maneno juu ya mwonekano wangu. hayo nayakumbuka sana yalinihuzunisha sana ndugu yangu lakini nilijua nikitoka huko yatakwsha kumbe ndo kama yapo hayo maishani wangu.

Basi nilikuja kusoma na nilimaliza salama ila yalitimia yale yaliyosemwa nymbani na huyo bibi kizee nikweli nilipewa fimbo na kukaa kwenye kiti cha kifalme kulia mwa yeye aliye mkuu zaidi mbele ya watu wa dunia yote

Na hapo nilitaka yafanane nayale ya kwenye biblia ila yeye aliyempole aliniweka kifuani kwa kunikumbatia akanipa hivyo vyote na akaniambia niifungue timoth 1,12-19 niisome ni kweli yalitimia yaliyotabiriwa kipindi sijatoka nyumbani Lakini hata huyo dada yetu naye yalimtokea ya kuhusu hatma yangu mbele ya majeneza matatu nilikuwepo nami mfu lakini rangi ya bluu ilifunikwa kwa juu na baada ya hayo matatu nilitafutiwa nyumba angu ila niliwekwa na badae nikawa mzima ila mtoto mchanga niliinuliwa juu na watu wote wakashangilia basi Mwambie dada yetu asiogope maana kwa lugha ya nyumbani yalisemwa kuwa Iyenge nakumwila uilomboyo owanza japo mda huo hakuwepo mwanza mjini lakini yalitimia pale kaka yetu alipohama akarudi nyamatongo na tedi akatoka nyamikoma akaenda mjini na leo akiendelea kukipiga kingi mwanza mjini maana ni kukipiga. maisha yanasafari sana.

Neno vita liliniwazisha sana ndugu yangu na mdogo wangu,Sitalieleza kwa kina ila Mungu huyaruhusu yote kwa Makusudi yake ni kweli niliviishi.

Nilkwandikia haya maana nilikuwa nakukumbuka sana hasa ulipokuwa unawahi kutoka shule ili unipikie kaka ako japo ulikuwa unapika kitoto(kwizungeleja) tuviazi kwa lugha ya kwetu na pale ulipokuwa unafunua viazi unaniibia na kuniletea hata bado havijaiva (nakupenda sana mdogo wangu)na kuna siku ulipokoswa na gari ukiokota viazi barabarani nilikuona kwa mbali kipindi natoka shule, nilishindwa kusema hyo siku.
Nahayo yote ni sababu ya shida zetu maana mama yetu alitulea kwa shida sana(alipokuwa anauza nyasi kutoka kijijini kwetu mpaka huko buyolwa wakati wa kiangazi akienda kuzitafuta mchana na jioni huku akisaidiwa kukopeshwa na vijana wa maduka unga, na madeni yalipozidi hawakutuacha waliendelea kutusaidia(ikikupendeza Mungu baba Uwe mwema wewe kwake na kesho yako.

Na Senzeka na Jame nawakumbuka juu ya msada wao na wengine wote na ile kalamu ya polina, sikumfurahisha nilipokuja kusalimia maana nilukuwepo katika wakati wa vita.

Yale yako,basi nilienda kulala kwanza niliamushwa na hodi zako uilipoivisha viazi vyako(sasa nasema asante mdogo wangu) uliniuliza kuwa kwa nini silimi napenda kusoma tu,nilikujibu kuwa tukiendaga eneo la kanisani (roma)usiku waga nakwambia uombeje kwa Mungu,ulinijibu kuwa Mungu akusaidie uje utusaidie.Basi haya haya nitayakumbuka kesho na mdawangu wote wa kuishi kwangu.

Wakumfuata Eliza alizaliwa salama hatukuwepo nyumbani kichwa kiliniuma mama akaniruhusu nirudi kipindi hicho tulikuwa tunafanya vibarua ili tule basi mwambie mama yake kuwa Nayakumbuka hayo na ule wembe na vitu vingine ambavyo mama kulwa(shemeji na jirani)aliniambia nivilete baada ya kwenda kumuita.SINA WEMA ILA YEYE ALIYENIFANYA NIUMWE KICHWA SHAMBANI.

Basi niliishi maisha ya kunyume na watu yaani kwenda tofauti sana na macho yangu na uso wangu watu hawakuthubutu kuniangalia mojakwa moja na hata Pambalu nilipoenda kumsalimia Mbowe gerezani niliahidiwa hivyo katika ndoto na badae nikaahidiwa nitazungumza na mama samia mwaka mmoja badae nitapata mazungumzo marefu sana na utulivu wa juu nikiwa naandika hapa nayasubilia hayo.

Kwa hyo mdogo wangu kama walikuwa kama wanaangalia pembeni na sikujulikana kwa wema bali ubaya.Nilikataliwa hasa huko Nilipoyaona hayo,Utete nakote nilipothubutu kuwepo nakumbuka nilipokuja kwenye msiba na hapo ilikuwa hivyo.Nilihuzunika sana lakini sikuwaza hilo ila nilipoambiwa mama aliulizwa kuwa kama anayo hela wampeleke hospitali lakini akasema hana basi ikawa subira hvyo na gari halikuonekana.Ilikuwa hivyo siku sita kabla nilinuona mama akiimba wimbo wa tabu zangu sikiisha, basi tuyaache.

Hayo ni ya nymbani lakini yapo mengi ila niliutaja kwako mwaka 2025 na mwaka 2035 na tulipotembea tuliyakuta hayo nakumbuka kuwa nliambiwa mbele zako kuwa Mwaka wa ushindi unaujua watu wamepata mavuno umekuwa wa kukaa peke yako na ukitoka naiona mikono miwili inakupokea ni ushindi ila huu mdogo kwako kama unavyoweka mikono juu usiku na mchana basi yatatimia yote.nadhani ulisikia.
Na jimbo letu nchi yetu na dunia ya Mungu,Mungu wetu wote. Nimeyaandika ila nikuibie siri nimeambiwa nikuchukue nikae na wew pamoja na mama ila wewe uwe na amri ya wote nyumbani kwangu ila nmekumbushwa kuwa Aloyce ambaye ni kaka yetu tumuige hakutubagua kabsa tumuombe Mungu tuwe kama yeye ikiwezekana tuzidi hapo.

Tutakaa Mwanza Nyumba zenye vyumba juu na chini na Mama yetu(mwanaluka haha hah umaarufu kwa shida zake) tutakuwa naye pamoja alituita tulipokuwa tunacheza akiivisha chakula.

Shukrani sana kwake,(mimi kwa sasa nikiandka haya niliitwa mchoyo(mahuhu)ni kweli maana niliogopa watu sana na hasa kula mbele yao na nikibeba kitu nilihisi nitawanyimaje kweli hivyo nikiri sikupenda na hata niliwaza kuficha).Haikutosha hata kuwaangalia usoni niliona aibu sana mdogo wangu.

Misoji(6) mtoto wa bro yetu ndo aliniambia nimjengee bibi yake nyumba aliamka asubuhi sana wakati wa mvua kubwa inanyesha mim nilikuwa nimelala bado akaniita baba mdogo ona nikaangalia ule Msingi wa Nyumba yetu, ni kweli maji yalikuwa Mengi.

Sina wema(ila yeye anayetupa mawazo mema yazidi mabaya tuliyinayo) ningekwambia mengi kuhusu madam wa kazini alivyonivumilia na kunishka mkono ila hakusema nimsemee basi neno moja alipenda kulisema nalo siyo lake bali la Mungu yaani Roho mtakatifu atatuongoza.Nilipenda neno hili nilipokuwepo karibu naye.

Basi nami nasema Roho mtakatifu awe mbele yako yetu na yenu pia.

Nipumzike sasa kidogo matumizi ya mwamba akiwa tumboni Bado yahakuwa sawa nilichokwa kidogo kwa mda nguvu zikapungua,haya yanahitji nguvu,badae basi.Maana tuyaweke yote sawa si kwa kudharau mengine ila lililokuu ni kumkiri Mungu mkuu.

Ulimwengu una Kitu husuda Hata Mapito hayo nilipoyaelezea Badae Wapo waliotaka nisiyaseme ili wayaseme Wao,Na Wapo waliotaka wanitengenezee Habari wazitakazo wao,niliwaruhusu Hivo ila mwisho wa siku Mungu ni Mkuu wasijue maana ya hayo kwa Bro wako Tom yakamfanya Ashinde.

Eti Muone sura yake,Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna,Mtu mzima ovyo kwa hofu yangu,Fadhaa ya Uso na Kupenda Uhuru wangu Wakati wa kula(uroho) ,Kuongea stori na Kama Mtu haongei naendelea kwa uzuri wa maongezi wengi waliniacha ili kiwe kiboko Cha kunipigia,yaani anaongea Sana.

Lakini yote tisa,Mungu Nilikuwa Namuomba Sana na nikataka Nije nishinde kwa Wema pasipo kuleta Maasi ili Tuendelee kuwa na Amani Kama tulivyokuwa tunasimuliwa na Mama na Baba kuhusu Kambarage wa Butyama alivyojitoa ili Nchi ikae salama,Tulikuwa wadogo sisi ila baada ya mkapa Kutangaza taarifa zilikuja na Nkwabi kwa Mama, alikuwa anapika,kuwa Mwalimu Kambarage Kafariki,Mama Alilia Sana na hofu Yake akasema huenda tutapigana sisi kea sisi Huku analia,Alisema Huyu alitabiriwa Kama Zagamba Nyeusi imemuondoa Muingeleza Watu wamefurahi kwa Wazee wa Jadi ya kisukuma wa zamani zile,Kumbe Mwalimu alikuwa Bora kwa Mengi hasa kupika viongozi na leo Taifa Ni Moja na Mjukuu wake wa Jina Fimbo Yuko nayo,Sijui Kama Kuna Jambo litaharibika!

Ningekupa ya baba, kuhusu Rafiki yake kiroho(hawajawahi Kuongea) Kambarage wa Musoma Namna alivyompenda,hasa Maongezi yaliyojaa Hekima,heshima,Utu,Umoja Kama ndugu na Kumcha Mungu(Biblia+Kuswali) pasipo kuharibu uwepo wa imani zingine na Hata kuheshimu Fikra kinzani.Baba alivutiwa Sana na Kambarage na tangu awasikilize wote ila bado wa Kumfikia Mwalimu aliapa Hivo,2015 nilipotoka Chuo nilipigiwa Simu na Manziro mbele ya baba nikiwa na Kapinga rafiki yangu kuhusu Kuwahi kutoka Chuo Kama Ni kuwania Ubunge,Lakini nilikataa.Lakini baba alipenda nilivyoulizwa kuhusu kugombea Nafasi hiyo,Ila nakumbuka mkoti wake na Fimbo yake na kiti alichonikalisha kwa Kaka yetu Aloyce Kabla sijaondoka Nyegezi-Dar.

Nilifurahi sikuvua na niliondoka Hivo nikaenda kuwapa wakoma wa barabarani vijisenti kidogo kidogo mpaka nilipoishiwa,Nilienda kwa Machozi na nilirudi kwa Machozi na Kesho take nilipakiwa bajaji ya bro Nkwabi kwa machoxi na nilisafiri nalia na Fimbo yangu ile ya Bahaya mpaka dar nikapokewa nayo na Mtoto wa Marehemu Fedi (James Fedriki) na sikumbuki vema Kama Mbagala kwa Mjomba Nilienda Nayo( ila Ishara Yake niwe nayo Muda wote Kama Kambarage Wa zanaki au Mtemi Mayala Huko NASA).Chuoni waiiona wengi na mbiyu hakunishanga na tuliposali pamoja na mchungaji aliomba kwa Wema na Moyo ulipohitaji niliitupa chooni na siku si nyingi nikaja Kufufuliwa Mambo yote Kanisa Katoliki(mtikisiko),Mti uliokua juu mpaka Mbinguni na Cha tatu Nilimuona mfano wa Mtu Ambaye hakuniruhusu nimuone Uso wake ila rohoni Mpole naye alinionea huruma na mavazi Yake yalikuwa na unjano na kichwa chake Ndo Mwanga wa Sehemu zote Kuonekana kote duniani na akaniweka Kifuani kwa huruma na ukarimu na tukaenda kidogo ndipo viti viwili na meza ikawepo yeye akaniweka kiti Cha kulia na Fimbo Yake akanipa na Watu Wote wakashangilia Sana.

Nikatoka kiroho na kushudia mbele Ya Baraka Ado na Magesa Pati na waliponibishia,nilinyosha mikono juu Kama nilivyokuwa nafanya mazoezi ya kuwa na nguvu home niliyofunfishwa na braza uwekaji wa Mikono kwa Jimu,Happ nilipokuwa la kuwa Mzee kamambi aliniambia a nikiwa na Magadula kipindi anaenda kutuombea kwa Ajili ya mitihani ya mwisho kidato4 alisema,Wewe,Mimi, nirudi Kwanza,Ndipo akasema Neno Lolote litakalonitokea kwa jinsi ya ajabu likifanana na Biblia Niweze Kulikubali,Happ nikauliza Hivo,Nikaambiwa nisome 1timotheo1;12-19.Nilijawa furaha kubwa Moyoni na Nikaambiwa niende Kesho take nikashuhudie darasaniHG wa Mwaka Wangu2012 ,nikpewa msisitizo kuwa nisipofanya Hivo nitarufishiwa magonjwa yangu ya Tumbo kujaa gesi na Mengine,Hivyo nilifanya Hivo,Na Baada ya hapo si Muda nikaanza kulitumikia neno Hilo Huku nikifunuliwa maono,na njozi si kwa mapenzi ya Mtu ila Mungu Hata nilipowaambia Watu hawakuweza kuelewa ila miaka Kadili ilivoenda maono na njozi zilikuwa wazi nahisi wote wengi Hata nyumbani wote nimewasimulia.

Kwa hiyo Mdogo wangu,Nakupa haya maana wengine hawapendi Mafanikio na ingali husema wanapenda Mungu,Amka utawakuta yako Kama nilivyosema kuhusu 2025,2035 na 2085,Uwe Nami pamoja Kama Mama yetu alivyokuwa nasi Hata baada ya Baba kulala2017,Kumbuka sikuwepo kumuaga Ila Moyo na kiroho alikuwa pamoja Nami Huko dodoma nikilinda porini nikiwa na Kirungu tu usiku wa njaa na reggae+Kwaya( Coco- Alpha Blond,Bukuku- Waraka,Ambwene-Misuli ya Imani) chini ya Sengo Security Co.Sababa Mariki akiwa In charge ( alikuja kunipanga ofisi ya sampuli madini) na akanipa na Silaha ila sikudumu Hata kwa Marhemu Sitta Area C jirani na Edward.NL nililinda na Nikiwa Mpenda mijadara ya Siasa sana baada ya Kutoka lindoni.
Ni hayo,Wengine hawapendi Hata haya kuyasema,Wasijue Mungu Ni Ushuhuda wa Njia unayoipita nayo utakumbushwa siku ya kisimamo Kama ilikuwa Kweli au Uongo?,Hapo baada ya siku tatu unusu tutajuana nao na hawatakaa wasahau mdogo Wangu.
2020-Nov ,Damasi- DDCA muheza, Korogwe kwa Lukongwe Tanga,Simu usiondoke uhame maana Hata yeye hatakaa Mda Sana,Mambo yetu ya Mikutano yatarudi tu.
 
BARUA KWA ROSE WA WASADIKIKA.

Yah;Safari na Kudra za Wazee.

Naam Nakukumbuka kama nikumbukavyo watu wote wa nyumbani kwa msaada wao,

Kama nikumbukavyo Mara kwa mara maneno yaliyotabiriwa juu yangu na huyo bibi kizee( mwana Patero) ningali nasubili kwenda masomoni baada ya kidato cha nne.Nasema hasa ya mwana Petro maana yalijikita Sana na maandiko ya Biblia na ingali Bibi yetu(hakufanana na Watu wa kawaida- kama Kichaa (kwa Watu) now si mbele za Mungu(Roho takatifu ilikaa ndani mwake).

Alikuwa sawa.

Ulinisindikiza Stendi kwa Upendo nilitaka ukumbuke Kama nilivyokuasa ningali mdogo walimu walipopita na kusema umechukua akili Zangu((si za darasani Bali zile za kuchukuliana na Watu wote).
Fimbo ulinibebea kwenda stendi na ndani ya Gari nilikuta wimbo wa Bukuku-waraka,ulipgwa kutoka Ramadi to Mwanza Nyegezi.

Nilifika kwa Nkwabi vizuri,usiku nikawa natafakari nyimbo hiyo maana si Mara ya kwanza kuitolea Machozi,Kwenye Msiba kwa James ulikuwa unanisumbua Sana ukiwa unarudiwa Mara kwa mara Katika usiku huo.

Mimi nilikuwa Mtu wa Kulia tu mpaka nafika Mwanza(Kilio Cha Kusaidia).

Nakumbuka kutengwa kwangu leo na watu. hawakujua namna ulivyonisindikiza umenibebea fimbo yangu niliyokabidhiwa kwa alama ya utabiri na Bahaya Bibi yetu na akina Yusuph,kwa Mayala/Mtemi.

Nilipoishiwa Fimbo Yake Bahaya alinichapa, Akaniambia haishikwi ovyo ovyo Kama Nataka Fimbo anafahamu ninakotokea Mimi na wazazi wangu nimfuate Jumapili nyumbani kwa Dotto Moma (R.I.P) anitengenezee.

Nilienda Jumatatu,nikamkuta anashona nguo Yake kwa mkono wake,akanitolea nguo zake kifurushi nikifue,nilikifua.Judy na dada Yake mkubwa waliniona Hapo kwao nikiwa nafua.

Baada ya kufua,alinipongeza na akaleta Fimbo Fulani ambayo haijatengenezwa nijaribu kuichoma iwe nzuri Lakini nilishindwa,nayeye Akaniambia huwezi hii Ni Fimbo ya watemi(Nyerere hukumuona?,Mayala je,Sisi Ni Watemi),Hata Wenzio Wakina Yusuph wamejaribu kuitengeneza wameshindwa.(Basotola).

Basi aliitengeneza,Alipomaliza Aliniita sebuleni kwake akanipa kiti nikakaa,na Akaniambia nichukue nikae kifalme(Sikujua),akanikalisha pale na kuniombea,akashika viganjabna kunitemea mate Huku anaomba,alitetemeka Sana na majasho yalimzidi na Badae akakaa kimia Kama kapoteza Fahamu,na alipozinduka aliniambia kawaona Malaika wameshuka wanashangilia Hivo akanitabiria huenda yatakuja Mambo Makuu ya Mungu itabidi niyafanye niingali naishi duniani.

Dada Yake na Judy(Doto moma Familia) aliniona kipindi naombewa.

Na Nasaha nikapewa,Akasema Ulokole umenifanya niwe Kama Kichaa kwa watu,wewe ukawe shahidi yangu kwa watakaokuwepo na kwa Mungu.Hiyi Fimbo usimpe Mtu ovyo Ni Fimbo ya wema.Kwa hiyo usiigawe hovyo kwa Mtu Yeyote Hata Vijana Wenzio.

Nilitaka kuwa na Fimbo Sababu ya Yale maneno ya Bibi Mwanapetro ya kutabiri juu ya Watu na hatma ya mda,Alisema Watu wengi Wanaiona Biblia imepitwa na Wakati njoo unyoshe,kuna Fimbo inakuja utapewa na kiti cha mkuu wa Wakuu,na huo Mti wa Enzi ni Wewe na urithi ni Wewe Sasa kuna Vita(Burugu kisukuma)Njoo uvipgane pasipo Kurudi nyuma ili Ukateme utawale.(Ukateme ukatawale ntemi obatemi Alilia kwa Sauti Sana).

Hapo nikakumbuka fomu tatu nilipokuwa na Mazoea Kaka Yake na Samsoni Soni yeye katangulia mbele tulipokuwa tunaelekea kwa Shingwengwe(Muonaji) wale jogoo walionirukia na mmoja akanipanda kichwani na kuwika,Kwa maneno ya wapita njia Ghashila amakanza(Muda umekwisha) bwela bhungi(Kumekucha) oyo kimala Chalo na maboni( Sehemu zote na Watu wote).
Haya mama nilimwambia.

Hata Muonaji mwana Mwalu Huko Magu mwalina naye alianza Nami vema (alinipenda Sana na yeye akasema Kuna maneno utakuja uambiwe na Wakuu Huko unakoenda kusoma,Ni Mazuri Sana Hata sisi tutakuuliza shida zetu Wewe,Na utaanza Kuona Kama sisi utakapoambiwa hayo maneno(utashinda kid4) Lakini utaanza kuishi kinyume na watu,kinyaa( usiogope Ni mafuta Naona/uzuri),Mungu/ welelo anakupenda).Wewe siyo Mtu wa mawazo na huzuni,acha mawazo na huzuni una maisha Mazuri,Akasema.Kuhusu nitakuja kufanya Nini alikataa akasema haruhusiwi kusema nitaambiwa Huko niendako,Utakuwa unatoka darasani unaenda kulala,Alisema.
Mama nilimficha na Baba kwa Wakati huo Kabla ya Bibi Mwanapetro.Hapa nilitanguliza maombi kwa Mungu Kama tulivyokuwa Tunaomba Kwa Siri mdogo Wangu ili were uwe shahidi wa hayo,Imani Ni Watu your yaliyo Mazuri na Kinyume na Watu yahusuyo Mungu Ni Mazuri yafaa kea Kufundisha.

Kuhusu dalili ya hayo ya Muonaji,,Ni Kweli za Kweli,(Mistari mitatu upo wa pili) kwenye matokeo ya mtihani mkoa Kama Dalili alipatia. Akawa Sehemu ya Kumbukumbu nilipokuja kuanza vita,Ni baada ya Mafunuo mbele ya kiti Cha Enzi ya Dunia Cha Yesu kristo wa Nazareth.

Nilisali Chuoni Tycs,Casfeta,Sabato na Mengine ya Kikristo ila maono niliyaona nikiwa Casfeta Chini ya Baraka Adofu Kama mwendeshaji wa ibada,Na Mungu Ni Siri na mja wake.Na Hili Lina Ushahidi wengine wslifikiri napeleleza,hofu Yao tu.

Na Emmanuel nikodemo,MTYCS na MHGd aliniambia baada ya kushuhudia,nisijione Sana nitakuja kuwa Chini ya Mtu.(Kongo na Sudani ya Kusini kutimiza majuma70 na maono),Ni Kweli Huyo Mkuu wenu ndo anisaidiaye kuyafahamu hayo na ya Kweli.
Na Leo siyo Huyo Tu,Hakuna Mkuu kuliko Serikali ya Nchi ndani ya Nchi.

Kuhusu yule Mwana Petro,


Wote mtakuwa mashahidi na Majirani,maana Shemeji mama Kulwa na jirani aliniambia nisiyapuuzie nitakuwa nimetumiwa yule Mtu na Mungu,alirudia Mara kwa Mara na akanisisitiza nisome kwa bidii ili Nije nisaidie Kama Kaka Yake Ambaye alikuwa anapandishwa nyota Bwana Alex(wanapendana) Namna alivyowasaidia nyumbani kwao Huko Bunda.

Lakini pia mke wa ndakama kabadi,Mama Kangu Naye hakusita kuwa pamoja Nami hasa alipokuja kuniambia Mimi nikipewa nichague waziri nakuchagua Wewe kwa hiyo jitahidi uje ugombee Ubunge baada ya masomo kipindi anachoma mikaa mashambani selya nilipokuwa napita natoka kulima Shamba Langu la Miwa Huko karibu na Sungwa Mjomba na Anselemi(R.I.P) Mwalimu wangu.

Mwanapetro Bibi mpita njia aliyeweka kituo nyumbani baada ya siku,nikasikia
Maneno ya dada Kili-Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna (baada ya utabiri Kesho yake) nadhani unakumbuka Hata nilivyokuwa nanuna Hata Sasa Wapo wanaomwambia wifi wako kwa Maha Mwanetu sijui Kama ndani nacheka eti,Kumbe Uhuru wa Kimungu ni Uhuru wa Amani ya wote,Nilikuwa simple mpaka kukohoa kwangu Kama Mtu Yuko karibu alifikri nimemuita kwa yule anayependa Uhuru wa ndani ya Nyumba,Mpole ni mrithi wa Mungu mbele za Mungu.Nilipokengeuka kwa kuhofia kumuumiza mke wa Mtu Mungu alinirudisha kwa Mafunuo ya wimbo wa Uongo Si Kitu chema ndugu Sikia,utendayo hayo wamchukiza Mungu,Jitahidi ujipatie sifa njema,nakusihi uzidi Katika kila neno baba Mtumishi wa Mungu utende haki zote ,Tangu hapo aliniona Chizi na Watu Akawa anawaaminisha Hivo eti Mimi Ni Chizi na jinsi alivyokuwa mrembo na Mwili anao Wanaume hawakujua kilichonyuma ila waliniona Mimi Chizi,Sheria ya utafiti kwa lile unaloona la Kawaida shiriki vitendo utaelewa kea Nini imeandikwa Usizini.

Huzuni zangu na maneno juu ya mwonekano wangu yalinitesa tangu huko. hayo nayakumbuka sana yalinihuzunisha sana ndugu yangu lakini nilijua nikitoka huko yatakwsha kumbe ndo kama yapo hayo maishani wangu.

Basi nilikuja kusoma na nilimaliza salama ila yalitimia yale yaliyosemwa nymbani na huyo bibi kizee nikweli nilipewa fimbo na kukaa kwenye kiti cha kifalme kulia mwa yeye aliye mkuu zaidi mbele ya watu wa dunia yote Mahala pa Mwanga wake.

Na hapo nilitaka yafanane nayale ya kwenye biblia(nikakumbuka niliambiwa na Mzee kamambi-ukiona Jambo limekutokea likifanana na Biblia kubali, nikiwa naombewa mtihani wa kidato3 aliponiita peke yangu). ila yeye aliyempole aliniweka kifuani kwa kunikumbatia akanipa hivyo vyote na akaniambia niifungue timoth 1,12-19 niisome ni kweli yalitimia yaliyotabiriwa kipindi sijatoka nyumbani Lakini hata huyo dada yetu Tereza wa debera naye yalimtokea usiku wa 00;01 1/1/2013 akaandika kwa mkaa ukutani wakiwa na baba Salome(mzazi mwenzie) ya kuhusu hatma yangu mbele ya majeneza matatu nilikuwepo wa nne ndani, nami mfu lakini rangi ya bluu ilifunikwa kwa juu na baada ya hayo matatu nilitafutiwa nyumba angu ila niliwekwa na badae nikawa mzima ila mtoto mchanga niliinuliwa juu na watu wote wakashangilia,Alinisimulia baada ya Mimi kumuomba Twende kwa Mzee Kirumba nikamusimulie Kama nilivyoapa kuwa Akikataa baba mzazi nayaacha,Lakini naye yalimtokea ila hakuwahi kunambia Mimi tu maana Seko Ndo alipokuja DSM akija kuniona Chuoni Alinisimulia na kuniambia Niende kwa Mzee Kuna Mambo aliyasema nikasikia,Nilisikia juu yangu na Hata habari za Muonaji alizikubali na akasema Mungu hashindwi uko Sawa endelea Kuomba ila Mimi nilijua siasa tu yeye akakataa akasema Ni Mambo ya Mungu hayo siyo siasa tu, basi Mwambie dada yetu asiogope maana kwa lugha ya nyumbani yalisemwa kuwa Iyenge nakumwila uilomboyo owanza,Ni jibu la swali la Alloni Kazinja Chuoni rafiki na Oscar mbuzi aliponiuliza Muulize Mungu Ni Nini hatma yako ikiwezekana Mipaka na Muda wa Kuanza wito wake, japo mda huo dada hakuwepo mwanza mjini lakini yalitimia pale kaka yetu alipohama akarudi nyamatongo na tedi akatoka nyamikoma akaenda mjini na leo akiendelea na kujituma kupambana,Na maisha Ni kudra.

Narudia tena Niliposhuhudia,,waliniambia niombe nijue hatma yangu na Mipaka ya Kazi pamoja na Mda(Mate wa water supply Alloni kazinja rafiki yake osca mbuzi.Yote yalijijibu kwa Wakati na Nikiwa naandika leo Tena Kazi inaendelea,Kazi yangu Ndo ndo Kazi ya Watu.

Neno vita liliniwazisha sana ndugu yangu na mdogo wangu,Sitalieleza kwa kina ila Mungu huyaruhusu yote kwa Makusudi yake ni kweli niliviishi.Niliomba Mwenyewe kwa Kusema anipitishe kwa watu waliochini nijifunze kwanza asinipeleke juu moja kwa moja,hii niliipenda Mijadala Mingi iliyokuwa inafanyika Udsm na Sehemu zingine Kuhusu Taifa na usomaji Sana wa magazeti ya Raia Mwema na Rai(critical writting) Hivo niliazimia hivo ili niwajue Watu kwa msaada wa ufumbuzi wa utatuzi was migogoro na kero,Nilikuwa patwa migogoro na nilikuja kukereka Sana nilipoanza vitendo,niliambiwa imani Ni Matendo,Mimi Matendo Sina,eti Nina Maneno tu.Hata nilipoanza vitendo niliambiwa eti anataka apendwe na Hakuna Mtu anayemoenda anajipendekeza tu,kusini nilipokuwa Kuna Baridi na matufani Mengi ila Mungu kwa No Woman No cry, Ayubu7;1-4 nikiwa dodoma nasubili ajira Alinipa miezi 6 tu kwa Marejeo hayo, niliweza kuhimili vizuri tu.

Maisha Ni Watu,Na haya Ni Mambo ya Watu,Yule Mtu wa Watu anatakiwa awe Mtu muungwana,Ajivikaye upole,abebwaye na kila jamii ili Mungu atukuzwe kila sehemu.Ni upole tu Ndo utastahimili cheo kikuu Hata baada ya Kufa.

Nilkwandikia haya maana nilikuwa nakukumbuka sana hasa ulipokuwa unawahi kutoka shule ili unipikie kaka ako, japo ulikuwa unapika kitoto(kwizungeleja) tuviazi kwa lugha ya kwetu na pale ulipokuwa unafunua viazi unaniibia na kuniletea hata bado havijaiva (nakupenda sana mdogo wangu)na kuna siku ulipokoswa na gari ukiokota viazi barabarani nilikuona kwa mbali kipindi natoka shule, nilishindwa kusema hyo siku.
Nahayo yote ni sababu ya shida zetu maana mama yetu alitulea kwa shida sana(alipokuwa anauza nyasi kutoka kijijini kwetu mpaka huko buyolwa wakati wa kiangazi akienda kuzitafuta mchana na jioni huku akisaidiwa kukopeshwa na vijana wa maduka unga, na madeni yalipozidi hawakutuacha waliendelea kutusaidia(ikikupendeza Mungu baba Uwe mwema wewe kwake na kesho yako.

Na Senzeka na Jame nawakumbuka juu ya msada wao na wengine wote na ile kalamu ya polina, sikumfurahisha nilipokuja kusalimia maana nilukuwepo katika wakati wa vita.

Yale yako,basi nilienda kulala kwanza niliamushwa na hodi zako uilipoivisha viazi vyako(sasa nasema asante mdogo wangu) uliniuliza kuwa kwa nini silimi napenda kusoma tu,nilikujibu kuwa tukiendaga eneo la kanisani (roma)usiku waga nakwambia uombeje kwa Mungu,ulinijibu kuwa Mungu akusaidie uje utusaidie.Basi haya haya nitayakumbuka kesho na mdawangu wote wa kuishi kwangu.

2017 nilipokea Taarifa mbili nzito Kifo Cha mzee kupitia kea Grace Kamambi na nilikuja kupigiwa Tena umeacha Shule na huonekani kidato Cha kwanza tu Ukaona Inatosha,Ziliniumiza Sana Hasa hi ya Wewe kuacha Shule maana Kifo Ni Mipango ya Mungu na anayemtegemea Mungu Hadi ila huishi milele,Baba Yu Namna ya milele kwa kile alichokiamini.

Kipindi naandika haya nilipata mfanyakazi wa kumlea Maha ze soja(12 miezi)Mwanangu alipokuja anaulizia Asbuh kwa Nini hasikii alikaa kimiya,ila alipoambiwa nitakupigia na wifi yako kwa mwanetu alijibu,ukinipiga unajichosha tu,Baba alinipinga nilipokuwa Shule la tatu angalia kidogo anivunje got,Maneno ya Salima Juma Rajabu(14-Nyamwela) kutoka Kibiti ya Lwaluke Nchukwi(Kwa bodaboda Nauli 16000 kwenda kurudi 2023) ndani Kama unaelekea Songa hospital,najazia tu hayo ndugu yangu,ili nikija kwa watu niwe na Mambo ya Watu.

Wakumfuata Eliza alizaliwa salama hatukuwepo nyumbani kichwa kiliniuma mama akaniruhusu nirudi kipindi hicho tulikuwa tunafanya vibarua ili tule basi mwambie mama yake kuwa Nayakumbuka hayo na ule wembe na vitu vingine ambavyo mama kulwa(shemeji na jirani)aliniambia nivilete baada ya kwenda kumuita.SINA WEMA ILA YEYE ALIYENIFANYA NIUMWE KICHWA SHAMBANI.

Basi niliishi maisha ya kunyume na watu yaani kwenda tofauti sana na macho yangu na uso wangu watu hawakuthubutu kuniangalia mojakwa moja na hata Pambalu nilipoenda kumsalimia Mbowe gerezani niliahidiwa hivyo katika ndoto na badae nikaahidiwa nitazungumza na mama samia mwaka mmoja badae nitapata mazungumzo marefu sana na utulivu wa juu nikiwa naandika hapa nayasubilia hayo.

Kwa hyo mdogo wangu kama walikuwa kama wanaangalia pembeni na sikujulikana kwa wema bali ubaya.Nilikataliwa hasa huko Nilipoyaona hayo,Utete nakote nilipothubutu kuwepo nakumbuka nilipokuja kwenye msiba na hapo ilikuwa hivyo.Nilihuzunika sana lakini sikuwaza hilo ila nilipoambiwa mama aliulizwa kuwa kama anayo hela wampeleke hospitali lakini akasema hana basi ikawa subira hvyo na gari halikuonekana.Ilikuwa hivyo siku sita kabla nilinuona mama akiimba wimbo wa tabu zangu sikiisha, basi tuyaache.

Ukumbuke pia ubishi wetu Mimi Na mama Kuhusu Yupi Ni Mwimbaji Bora wa nyimbo za injili Mda huo,Ambapo mama Alimpa Rose Mhando na Mimi nilimpa Bahati Bukuku mpaka Tulikuwa tunachukizana Lakini yote ilikuwa Kazi ya Mungu kwa Mda ,

Muda huo nilipakiwa nijue,Waraka wa Amani,Nani asimame aitikise dunia,Tsunami na album yote ya Bukuku ya Mda huo ili Nibebe vema kusudi.

Lakini baada ya Kurudi masomoni Wakati wa pili,Shahada ya kwanza ya Mambo ya Maji kabla ya matokeo ndipo nilipoambiwa kuu la kuwepo ni Hatumo-Rose Mhando.

Na albamu yote ya Mteule uwe macho ikajijibu na kile kilichokuwa kinanitokea.

Lakini historia ya Mhando Ndo niliipenda Sana Hasa akiwa Kitoto kidogo Yesu anamponya na Kumuita Ila mkono Kama wa Mzungu,Ni Ushindi,Nani asiyemjua Rose Mhando Ni Nguli wa nyimbo za injili?

Wengi wanafanya vizuri ila kila nyimbo zipo kwa ajili ya kumsaidia Mtu kwa Wakati maalumu kama Mungu atakavyo.

Hata Kwaya za Roma-Yesu Ni Mwema makuburi walikuja kunisaidia baada ya majuma 70 na ile safari ya Mbowe Uingeleza pamoja na Vikao vya CCM Taifa hasa kile kilichokuwa siku moja na Vyama hivi vikuu viwili.Tarehe8/07/23 kwa kile kiitwacho nikwa ajili ya Taifa na Amani ya Dunia.


Basi Rudi kimawazo nyumbani,Hayo ni ya nyumbani lakini yapo mengi ila niliutaja kwako mwaka 2025 na mwaka 2035 na tulipotembea tuliyakuta hayo nakumbuka kuwa nliambiwa mbele zako kuwa Mwaka wa ushindi unaujua watu wamepata mavuno umekuwa wa kukaa peke yako na ukitoka naiona mikono miwili inakupokea ni ushindi ila huu mdogo kwako kama unavyoweka mikono juu usiku na mchana basi yatatimia yote.nadhani ulisikia.
Na jimbo letu nchi yetu na dunia ya Mungu,Mungu wetu wote. Nimeyaandika ila nikuibie siri nimeambiwa nikuchukue nikae na wew pamoja na mama ila wewe uwe na amri ya wote nyumbani kwangu ila nmekumbushwa kuwa Aloyce ambaye ni kaka yetu tumuige hakutubagua kabsa tumuombe Mungu tuwe kama yeye ikiwezekana tuzidi hapo.

Tutakaa Mwanza Nyumba zenye vyumba juu na chini na Mama yetu(mwanaluka haha hah umaarufu kwa shida zake) tutakuwa naye pamoja alituita tulipokuwa tunacheza akiivisha chakula.

Shukrani sana kwake,(mimi kwa sasa nikiandka haya niliitwa mchoyo(mahuhu)ni kweli maana niliogopa watu sana na hasa kula mbele yao na nikibeba kitu nilihisi nitawanyimaje kweli hivyo nikiri sikupenda na hata niliwaza kuficha).Haikutosha hata kuwaangalia usoni niliona aibu sana mdogo wangu.

Misoji(6) mtoto wa bro yetu ndo aliniambia nimjengee bibi yake nyumba aliamka asubuhi sana wakati wa mvua kubwa inanyesha mim nilikuwa nimelala bado akaniita baba mdogo ona nikaangalia ule Msingi wa Nyumba yetu, ni kweli maji yalikuwa Mengi.

Sina wema(ila yeye anayetupa mawazo mema yazidi mabaya tuliyinayo) ningekwambia mengi kuhusu madam wa kazini alivyonivumilia na kunishka mkono ila hakusema nimsemee basi neno moja alipenda kulisema nalo siyo lake bali la Mungu yaani Roho mtakatifu atatuongoza.Nilipenda neno hili nilipokuwepo karibu naye.

Basi nami nasema Roho mtakatifu awe mbele yako yetu na yenu pia.

Nipumzike sasa kidogo matumizi ya mwamba akiwa tumboni Bado yahakuwa sawa nilichokwa kidogo kwa mda nguvu zikapungua,haya yanahitji nguvu,badae basi.Maana tuyaweke yote sawa si kwa kudharau mengine ila lililokuu ni kumkiri Mungu mkuu.

Ulimwengu una Kitu husuda Hata Mapito hayo nilipoyaelezea Badae Wapo waliotaka nisiyaseme ili wayaseme Wao,Na Wapo waliotaka wanitengenezee Habari wazitakazo wao,niliwaruhusu Hivo ila mwisho wa siku Mungu ni Mkuu wasijue maana ya hayo kwa Bro wako Tom yakamfanya Ashinde.

Eti Muone sura yake,Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna,Mtu mzima ovyo kwa hofu yangu,Fadhaa ya Uso na Kupenda Uhuru wangu Wakati wa kula(uroho) ,Kuongea stori na Kama Mtu haongei naendelea kwa uzuri wa maongezi wengi waliniacha ili kiwe kiboko Cha kunipigia,yaani anaongea Sana.

Lakini yote tisa,Mungu Nilikuwa Namuomba Sana na nikataka Nije nishinde kwa Wema pasipo kuleta Maasi ili Tuendelee kuwa na Amani Kama tulivyokuwa tunasimuliwa na Mama na Baba kuhusu Kambarage wa Butyama alivyojitoa ili Nchi ikae salama,Tulikuwa wadogo sisi ila baada ya mkapa Kutangaza taarifa zilikuja na Nkwabi kwa Mama, alikuwa anapika,kuwa Mwalimu Kambarage Kafariki,Mama Alilia Sana na hofu Yake akasema huenda tutapigana sisi kea sisi Huku analia,Alisema Huyu alitabiriwa Kama Zagamba Nyeusi imemuondoa Muingeleza Watu wamefurahi kwa Wazee wa Jadi ya kisukuma wa zamani zile,Kumbe Mwalimu alikuwa Bora kwa Mengi hasa kupika viongozi na leo Taifa Ni Moja na Mjukuu wake wa Jina Fimbo Yuko nayo,Sijui Kama Kuna Jambo litaharibika!

Ningekupa ya baba, kuhusu Rafiki yake kiroho(hawajawahi Kuongea) Kambarage wa Musoma Namna alivyompenda,hasa Maongezi yaliyojaa Hekima,heshima,Utu,Umoja Kama ndugu na Kumcha Mungu(Biblia+Kuswali) pasipo kuharibu uwepo wa imani zingine na Hata kuheshimu Fikra kinzani.Baba alivutiwa Sana na Kambarage na tangu awasikilize wote ila bado wa Kumfikia Mwalimu aliapa Hivo,2015 nilipotoka Chuo nilipigiwa Simu na Manziro mbele ya baba nikiwa na Kapinga rafiki yangu kuhusu Kuwahi kutoka Chuo Kama Ni kuwania Ubunge,Lakini nilikataa.Lakini baba alipenda nilivyoulizwa kuhusu kugombea Nafasi hiyo,Ila nakumbuka mkoti wake na Fimbo yake na kiti alichonikalisha kwa Kaka yetu Aloyce Kabla sijaondoka Nyegezi-Dar.

Nilifurahi sikuvua na niliondoka Hivo nikaenda kuwapa wakoma wa barabarani vijisenti kidogo kidogo mpaka nilipoishiwa,Nilienda kwa Machozi na nilirudi kwa Machozi na Kesho take nilipakiwa bajaji ya bro Nkwabi kwa machoxi na nilisafiri nalia na Fimbo yangu ile ya Bahaya mpaka dar nikapokewa nayo na Mtoto wa Marehemu Fedi (James Fedriki) na sikumbuki vema Kama Mbagala kwa Mjomba Nilienda Nayo( ila Ishara Yake niwe nayo Muda wote Kama Kambarage Wa zanaki au Mtemi Mayala Huko NASA).Chuoni waiiona wengi na mbiyu hakunishanga na tuliposali pamoja na mchungaji aliomba kwa Wema na Moyo ulipohitaji niliitupa chooni na siku si nyingi nikaja Kufufuliwa Mambo yote Kanisa Katoliki(mtikisiko),Mti uliokua juu mpaka Mbinguni na Cha tatu Nilimuona mfano wa Mtu Ambaye hakuniruhusu nimuone Uso wake ila rohoni Mpole naye alinionea huruma na mavazi Yake yalikuwa na unjano na kichwa chake Ndo Mwanga wa Sehemu zote Kuonekana kote duniani na akaniweka Kifuani kwa huruma na ukarimu na tukaenda kidogo ndipo viti viwili na meza ikawepo yeye akaniweka kiti Cha kulia na Fimbo Yake akanipa na Watu Wote wakashangilia Sana.

Nikatoka kiroho na kushudia mbele Ya Baraka Ado na Magesa Pati na waliponibishia,nilinyosha mikono juu Kama nilivyokuwa nafanya mazoezi ya kuwa na nguvu home niliyofundishwa na braza uwekaji wa Mikono kwa Jimu,Hapo nilipokuwa la kuwa Mzee kamambi aliniambia a nikiwa na Magadula kipindi anaenda kutuombea kwa Ajili ya mitihani ya mwisho kidato4 alisema,Wewe,Mimi, nirudi Kwanza,Ndipo akasema Neno Lolote litakalonitokea kwa jinsi ya ajabu likifanana na Biblia Niweze Kulikubali,Happ nikauliza Hivo,Nikaambiwa nisome 1timotheo1;12-19.Nilijawa furaha kubwa Moyoni na Nikaambiwa niende Kesho take nikashuhudie darasaniHG wa Mwaka Wangu2012 ,nikpewa msisitizo kuwa nisipofanya Hivo nitarufishiwa magonjwa yangu ya Tumbo kujaa gesi na Mengine,Hivyo nilifanya Hivo,Na Baada ya hapo si Muda nikaanza kulitumikia neno Hilo Huku nikifunuliwa maono,na njozi si kwa mapenzi ya Mtu ila Mungu Hata nilipowaambia Watu hawakuweza kuelewa ila miaka Kadili ilivoenda maono na njozi zilikuwa wazi nahisi wote wengi Hata nyumbani wote nimewasimulia.

Kwa hiyo Mdogo wangu,Nakupa haya maana wengine hawapendi Mafanikio na ingali husema wanapenda Mungu,Amka utawakuta yako Kama nilivyosema kuhusu 2025,2035 na 2085,Uwe Nami pamoja Kama Mama yetu alivyokuwa nasi Hata baada ya Baba kulala2017,nilipokuja Huko 2020 nikiwa na mwendelezo mrefu nasikiliza Wimbo wa Rose mhando-Ee Mungu nitakushukru kwa Sauti ya juu Kama Sina akili nzuri, Emma Anselemi alikuwa kaondoa Lock Kidogo Akaniambia Toro Watu wote walikata Tamaa na Wewe waliochini Umeshakufa,Kwenye Msiba wa mzee kila Mtu hajui awe rafiki yako au ndugu yako,sikufichi nimekuona na Machozi nalia unaniona,Aise siku nyingi Sana,Sikumjibu Kwa kile kilichonyuma ckuja Sasa kumuaga na kiroho alikuwa pamoja Nami Huko dodoma kwa Ufunuo wa Chumba chake Cha uzeeeni Kunikabidhi Funguo nisimpe Mtu Yeyote nikifunga na kufungua Mlango niendako na nirudiko.

Nikilinda porini nikiwa na Kirungu tu usiku wa njaa na reggae+Kwaya( Coco- Alpha Blond,Bukuku- Waraka,Ambwene-Misuli ya Imani) chini ya Sengo Security Co.Sababa Mariki akiwa In charge na Jose Meneja tuliyekuja Kashindwana na Tarehe 17 za Mshahara,Alinifukuza ila Alinipa Mshahara.Tena nakumbuka ( alikuja kunipanga ofisi ya sampuli madini) na akanipa na Silaha ila sikudumu Hata kwa Marhemu Sitta Area C jirani na Edward Ngoyayi Lowasa nililinda na Nikiwa Mpenda mijadara ya Siasa sana baada ya Kutoka lindoni.

Ni hayo,Wengine hawapendi Hata haya kuyasema,Wasijue Mungu Ni Ushuhuda wa Njia unayoipita nayo utakumbushwa siku ya kisimamo Kama ilikuwa Kweli au Uongo?,Hapo baada ya siku tatu unusu tutajuana nao na hawatakaa wasahau mdogo Wangu.

Nilikuja kutafiti ukweli wa Mungu hasa Sehemu ambazo zimejaa changamoto na kutokuwa na hofu ya Mungu toka 2018 Mwezi wa Kumi na moja,yote hayo niliyajua
Baada ya kumaliziwa utafiti ili kuweza Kusaidia Nchi na dunia Katika kwenda kuitafta Amani Tuitakayo hasa nikasimame mpaka hapo dunia itakapohitaji Tena iwe njema na nzuri kwa mwendo ule ule wa kumshinda Shetani ajiinuaye kwa Kiburi hasa kwa watu na Mungu na Hata hao mawakala wake wasijue Kitu Cha Mungu kikikosea humsikiliza Mungu ili akirejeshe nilishindwa Mwezi wa tatu Mwaka 2021 kwa Ushahidi wa kusema Mara kwa Mara Kuhusu Mwaka wetu wa Uchaguzi wa 2025,Tutashinda,na 2020 nikiwa Singida niliulizwa na Watu wa kitenge Cha Hg tukiwa tunakunywa juice pale eti Mimi nilikutana na Yesu,nilijibu Kama Mimi Mwongo Chadema itashindisha wabunge na Mbunge wa jimbo la ukombozi kwetu mbele Yao na 2035 nikaitaja,Lakini Sasa nikiwa najazia Ee Mungu nitakushukru ya Mhando inaishi na iko vema siku hizi siipigi Sana,Tulishinda na Tutashinda Mdogo Wangu.

Kuna msemo wa Kula chuma hicho, nakwambia Sasa nawewe Kula chuma hicho Cha Tazama Ramani Utaiona Nchi Nzuri.Majira Ni yetu Mimi na Wewe Weusi,Bila sisi weusi Hakuna majira mdogo Wangu.

Tufurahi na weusi wetu,Black is gold Wahenga walisema.

Usihofu Kukuandikia barua,Nami nimepokea Kwa Paulo Kama Mwanaempendwa Katika Kristo na Mungu Baba,Kwa neno la Bibi Mwanandege, Alishindwa kutamka Jina Langu Akawa ananiita Timotheo,Nilipoitwa kwa wito niliitwa Timotheo na nyaraka ya Mlango wangu Ni 1timotheo1;12-19 nadhani unakumbuka Mwanandege alivyojipiga Kifua Mara kwa Mara na Jina Timotheo.

Uhuru Mwenyekiti alifariki akiwa madarakani,ila alinijali Kama Kijana chachu ya Badae,alikuwa tayari kunilinda kwa vyovyote na nilipopendekezwa kuwa mgawa mahindi Kwenye Chama/stoo ya Kijiji nilikuwa na Ujasiri kwa Kula ya Budindi maarufu CHIEF,Kijiji nakitambua Sana kilivyonikuza,Na Mungu azidi kunisaidia Niweze Kuwatetea Matunda Mazuri si kwa watu wengine tu Hata Wao pia maana Mayowe ya wezi tuliitana pamoja na tulikwenda pamoja kuwatafta,tulipowakoswa tuliweka kikao Cha kuagana na mawaidha Mazuri,Mashauri Donati awamu yake alikuwa mkali Kuhusu Vijana na ukihisiwa unacharazwa na Badae Polisi utapelekwa,Mwanamanumbu,Mchibo,John Masaga,Kaka Paulo Makeja na Wengine nawakumbuka,Hitila,Philipo helemani kwa utani kuku na Mayai Yake Japo kalala namkumbuka,Ndakama na ucheshi nawakumbuka,bila Wao kijiji hakina Taa imara.

Nilikuwa Nyamwage-Km35 na Seregeni(rafiki yangu Kutambua divai) wa Majita Musoma kwa Mzee Mjee anawasalimia Sana Kanda ya Ziwa,Tumepamisi.

Basi Mimi Nataka Amani,Nchi inataka Amani na Dunia inataka Amani.

Kwa kuhitimisha Mungu anayehubiriwa dunia nzima Ni Mmoja tu kwa Mapito hayo,

Wako Katika Imani
Kusadikika wa wasadikika.
Mungu baba ni Mmoja.
2020 Juice Singida training,Hgd Fransisco,Mkongo na Morogoro.
 
BARUA KWA ROSE WA WASADIKIKA.
S.L.P WEWE NI MIMI
KUSADIKIKA.


KUTOKA KWA ADILI NA NDUNGUZE
S.L.P MIMI NI WEWE.
KUSADIKIKA.

Yah;Safari na Kudra za Wazee ili Kuisaidia Kusadikika.

Naam ndugu Husika na kichwa tajwa Hapo juu,Mimi Rafiki Katika Taifa moja la Kusadikika, Nakukumbuka kama nikumbukavyo watu wote wa nyumbani kwa msaada wao.

Kama nikumbukavyo Mara kwa mara maneno yaliyotabiriwa juu yangu na huyo bibi kizee( mwana Patero) ningali nasubili kwenda masomoni baada ya kidato cha nne.Nasema hasa ya mwana Petro maana yalijikita Sana na maandiko ya Biblia na ingali Bibi yetu(hakufanana na Watu wa kawaida- kama Kichaa (kwa Watu) now si mbele za Mungu(Roho takatifu ilikaa ndani mwake).

Alikuwa sawa.

Ulinisindikiza Stendi kwa Upendo nilitaka ukumbuke Kama nilivyokuasa ningali mdogo walimu walipopita na kusema umechukua akili Zangu((si za darasani Bali zile za kuchukuliana na Watu wote).
Fimbo ulinibebea kwenda stendi na ndani ya Gari nilikuta wimbo wa Bukuku-waraka,ulipgwa kutoka Ramadi to Mwanza Nyegezi.

Nilifika kwa Nkwabi vizuri,usiku nikawa natafakari nyimbo hiyo maana si Mara ya kwanza kuitolea Machozi,Kwenye Msiba kwa James ulikuwa unanisumbua Sana ukiwa unarudiwa Mara kwa mara Katika usiku huo.

Mimi nilikuwa Mtu wa Kulia tu mpaka nafika Mwanza(Kilio Cha Kusaidia).

Nakumbuka kutengwa kwangu leo na watu. hawakujua namna ulivyonisindikiza umenibebea fimbo yangu niliyokabidhiwa kwa alama ya utabiri na Bahaya Bibi yetu na akina Yusuph,kwa Mayala/Mtemi.

Nilipoishiwa Fimbo Yake Bahaya alinichapa, Akaniambia haishikwi ovyo ovyo Kama Nataka Fimbo anafahamu ninakotokea Mimi na wazazi wangu nimfuate Jumapili nyumbani kwa Dotto Moma (R.I.P) anitengenezee.

Nilienda Jumatatu,nikamkuta anashona nguo Yake kwa mkono wake,akanitolea nguo zake kifurushi nikifue,nilikifua.Judy na dada Yake mkubwa waliniona Hapo kwao nikiwa nafua.

Baada ya kufua,alinipongeza na akaleta Fimbo Fulani ambayo haijatengenezwa nijaribu kuichoma iwe nzuri Lakini nilishindwa,nayeye Akaniambia huwezi hii Ni Fimbo ya watemi(Nyerere hukumuona?,Mayala je,Sisi Ni Watemi),Hata Wenzio Wakina Yusuph wamejaribu kuitengeneza wameshindwa.(Basotola).

Basi aliitengeneza,Alipomaliza Aliniita sebuleni kwake akanipa kiti nikakaa,na Akaniambia nichukue nikae kifalme(Sikujua),akanikalisha pale na kuniombea,akashika viganjabna kunitemea mate Huku anaomba,alitetemeka Sana na majasho yalimzidi na Badae akakaa kimia Kama kapoteza Fahamu,na alipozinduka aliniambia kawaona Malaika wameshuka wanashangilia Hivo akanitabiria huenda yatakuja Mambo Makuu ya Mungu itabidi niyafanye niingali naishi duniani.

Dada Yake na Judy(Doto moma Familia) aliniona kipindi naombewa.

Na Nasaha nikapewa,Akasema Ulokole umenifanya niwe Kama Kichaa kwa watu,wewe ukawe shahidi yangu kwa watakaokuwepo na kwa Mungu.Hiyi Fimbo usimpe Mtu ovyo Ni Fimbo ya wema.Kwa hiyo usiigawe hovyo kwa Mtu Yeyote Hata Vijana Wenzio.

Nilitaka kuwa na Fimbo Sababu ya Yale maneno ya Bibi Mwanapetro ya kutabiri juu ya Watu na hatma ya mda,Alisema Watu wengi Wanaiona Biblia imepitwa na Wakati njoo unyoshe,kuna Fimbo inakuja utapewa na kiti cha mkuu wa Wakuu,na huo Mti wa Enzi ni Wewe na urithi ni Wewe Sasa kuna Vita(Burugu kisukuma)Njoo uvipgane pasipo Kurudi nyuma ili Ukateme utawale.(Ukateme ukatawale ntemi obatemi Alilia kwa Sauti Sana).

Hapo nikakumbuka fomu tatu nilipokuwa na Mazoea Kaka Yake na Samsoni Soni yeye katangulia mbele tulipokuwa tunaelekea kwa Shingwengwe(Muonaji) wale jogoo walionirukia na mmoja akanipanda kichwani na kuwika,Kwa maneno ya wapita njia Ghashila amakanza(Muda umekwisha) bwela bhungi(Kumekucha) oyo kimala Chalo na maboni( Sehemu zote na Watu wote).
Haya mama nilimwambia.

Hata Muonaji mwana Mwalu Huko Magu mwalina naye alianza Nami vema (alinipenda Sana na yeye akasema Kuna maneno utakuja uambiwe na Wakuu Huko unakoenda kusoma,Ni Mazuri Sana Hata sisi tutakuuliza shida zetu Wewe,Na utaanza Kuona Kama sisi utakapoambiwa hayo maneno(utashinda kid4) Lakini utaanza kuishi kinyume na watu,kinyaa( usiogope Ni mafuta Naona/uzuri),Mungu/ welelo anakupenda).Wewe siyo Mtu wa mawazo na huzuni,acha mawazo na huzuni una maisha Mazuri,Akasema.Kuhusu nitakuja kufanya Nini alikataa akasema haruhusiwi kusema nitaambiwa Huko niendako,Utakuwa unatoka darasani unaenda kulala,Alisema.
Mama nilimficha na Baba kwa Wakati huo Kabla ya Bibi Mwanapetro.Hapa nilitanguliza maombi kwa Mungu Kama tulivyokuwa Tunaomba Kwa Siri mdogo Wangu ili were uwe shahidi wa hayo,Imani Ni Watu your yaliyo Mazuri na Kinyume na Watu yahusuyo Mungu Ni Mazuri yafaa kea Kufundisha.

Kuhusu dalili ya hayo ya Muonaji,,Ni Kweli za Kweli,(Mistari mitatu upo wa pili) kwenye matokeo ya mtihani mkoa Kama Dalili alipatia. Akawa Sehemu ya Kumbukumbu nilipokuja kuanza vita,Ni baada ya Mafunuo mbele ya kiti Cha Enzi ya Dunia Cha Yesu kristo wa Nazareth.

Nilisali Chuoni Tycs,Casfeta,Sabato na Mengine ya Kikristo ila maono niliyaona nikiwa Casfeta Chini ya Baraka Adofu Kama mwendeshaji wa ibada,Na Mungu Ni Siri na mja wake.Na Hili Lina Ushahidi wengine wslifikiri napeleleza,hofu Yao tu.

Na Emmanuel nikodemo,MTYCS na MHGd aliniambia baada ya kushuhudia,nisijione Sana nitakuja kuwa Chini ya Mtu.(Kongo na Sudani ya Kusini kutimiza majuma70 na maono),Ni Kweli Huyo Mkuu wenu ndo anisaidiaye kuyafahamu hayo na ya Kweli.
Na Leo siyo Huyo Tu,Hakuna Mkuu kuliko Serikali ya Nchi ndani ya Nchi.

Kuhusu yule Mwana Petro,


Wote mtakuwa mashahidi na Majirani,maana Shemeji mama Kulwa na jirani aliniambia nisiyapuuzie nitakuwa nimetumiwa yule Mtu na Mungu,alirudia Mara kwa Mara na akanisisitiza nisome kwa bidii ili Nije nisaidie Kama Kaka Yake Ambaye alikuwa anapandishwa nyota Bwana Alex(wanapendana) Namna alivyowasaidia nyumbani kwao Huko Bunda.

Lakini pia mke wa ndakama kabadi,Mama Kangu Naye hakusita kuwa pamoja Nami hasa alipokuja kuniambia Mimi nikipewa nichague waziri nakuchagua Wewe kwa hiyo jitahidi uje ugombee Ubunge baada ya masomo kipindi anachoma mikaa mashambani selya nilipokuwa napita natoka kulima Shamba Langu la Miwa Huko karibu na Sungwa Mjomba na Anselemi(R.I.P) Mwalimu wangu.

Mwanapetro Bibi mpita njia aliyeweka kituo nyumbani baada ya siku,nikasikia
Maneno ya dada Kili-Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna (baada ya utabiri Kesho yake) nadhani unakumbuka Hata nilivyokuwa nanuna Hata Sasa Wapo wanaomwambia wifi wako kwa Maha Mwanetu sijui Kama ndani nacheka eti,Kumbe Uhuru wa Kimungu ni Uhuru wa Amani ya wote,Nilikuwa simple mpaka kukohoa kwangu Kama Mtu Yuko karibu alifikri nimemuita kwa yule anayependa Uhuru wa ndani ya Nyumba,Mpole ni mrithi wa Mungu mbele za Mungu.Nilipokengeuka kwa kuhofia kumuumiza mke wa Mtu Mungu alinirudisha kwa Mafunuo ya wimbo wa Uongo Si Kitu chema ndugu Sikia,utendayo hayo wamchukiza Mungu,Jitahidi ujipatie sifa njema,nakusihi uzidi Katika kila neno baba Mtumishi wa Mungu utende haki zote ,Tangu hapo aliniona Chizi na Watu Akawa anawaaminisha Hivo eti Mimi Ni Chizi na jinsi alivyokuwa mrembo na Mwili anao Wanaume hawakujua kilichonyuma ila waliniona Mimi Chizi,Sheria ya utafiti kwa lile unaloona la Kawaida shiriki vitendo utaelewa kea Nini imeandikwa Usizini.

Huzuni zangu na maneno juu ya mwonekano wangu yalinitesa tangu huko. hayo nayakumbuka sana yalinihuzunisha sana ndugu yangu lakini nilijua nikitoka huko yatakwsha kumbe ndo kama yapo hayo maishani wangu.

Basi nilikuja kusoma na nilimaliza salama ila yalitimia yale yaliyosemwa nymbani na huyo bibi kizee nikweli nilipewa fimbo na kukaa kwenye kiti cha kifalme kulia mwa yeye aliye mkuu zaidi mbele ya watu wa dunia yote Mahala pa Mwanga wake.

Na hapo nilitaka yafanane nayale ya kwenye biblia(nikakumbuka niliambiwa na Mzee kamambi-ukiona Jambo limekutokea likifanana na Biblia kubali, nikiwa naombewa mtihani wa kidato3 aliponiita peke yangu). ila yeye aliyempole aliniweka kifuani kwa kunikumbatia akanipa hivyo vyote na akaniambia niifungue timoth 1,12-19 niisome ni kweli yalitimia yaliyotabiriwa kipindi sijatoka nyumbani Lakini hata huyo dada yetu Tereza wa debera naye yalimtokea usiku wa 00;01 1/1/2013 akaandika kwa mkaa ukutani wakiwa na baba Salome(mzazi mwenzie) ya kuhusu hatma yangu mbele ya majeneza matatu nilikuwepo wa nne ndani, nami mfu lakini rangi ya bluu ilifunikwa kwa juu na baada ya hayo matatu nilitafutiwa nyumba angu ila niliwekwa na badae nikawa mzima ila mtoto mchanga niliinuliwa juu na watu wote wakashangilia,Alinisimulia baada ya Mimi kumuomba Twende kwa Mzee Kirumba nikamusimulie Kama nilivyoapa kuwa Akikataa baba mzazi nayaacha,Lakini naye yalimtokea ila hakuwahi kunambia Mimi tu maana Seko Ndo alipokuja DSM akija kuniona Chuoni Alinisimulia na kuniambia Niende kwa Mzee Kuna Mambo aliyasema nikasikia,Nilisikia juu yangu na Hata habari za Muonaji alizikubali na akasema Mungu hashindwi uko Sawa endelea Kuomba ila Mimi nilijua siasa tu yeye akakataa akasema Ni Mambo ya Mungu hayo siyo siasa tu, basi Mwambie dada yetu asiogope maana kwa lugha ya nyumbani yalisemwa kuwa Iyenge nakumwila uilomboyo owanza,Ni jibu la swali la Alloni Kazinja Chuoni rafiki na Oscar mbuzi aliponiuliza Muulize Mungu Ni Nini hatma yako ikiwezekana Mipaka na Muda wa Kuanza wito wake, japo mda huo dada hakuwepo mwanza mjini lakini yalitimia pale kaka yetu alipohama akarudi nyamatongo na tedi akatoka nyamikoma akaenda mjini na leo akiendelea na kujituma kupambana,Na maisha Ni kudra.

Narudia tena Niliposhuhudia,,waliniambia niombe nijue hatma yangu na Mipaka ya Kazi pamoja na Mda(Mate wa water supply Alloni kazinja rafiki yake osca mbuzi.Yote yalijijibu kwa Wakati na Nikiwa naandika leo Tena Kazi inaendelea,Kazi yangu Ndo ndo Kazi ya Watu.

Neno vita liliniwazisha sana ndugu yangu na mdogo wangu,Sitalieleza kwa kina ila Mungu huyaruhusu yote kwa Makusudi yake ni kweli niliviishi.Niliomba Mwenyewe kwa Kusema anipitishe kwa watu waliochini nijifunze kwanza asinipeleke juu moja kwa moja,hii niliipenda Mijadala Mingi iliyokuwa inafanyika Udsm na Sehemu zingine Kuhusu Taifa na usomaji Sana wa magazeti ya Raia Mwema na Rai(critical writting) Hivo niliazimia hivo ili niwajue Watu kwa msaada wa ufumbuzi wa utatuzi was migogoro na kero,Nilikuwa patwa migogoro na nilikuja kukereka Sana nilipoanza vitendo,niliambiwa imani Ni Matendo,Mimi Matendo Sina,eti Nina Maneno tu.Hata nilipoanza vitendo niliambiwa eti anataka apendwe na Hakuna Mtu anayemoenda anajipendekeza tu,kusini nilipokuwa Kuna Baridi na matufani Mengi ila Mungu kwa No Woman No cry, Ayubu7;1-4 nikiwa dodoma nasubili ajira Alinipa miezi 6 tu kwa Marejeo hayo, niliweza kuhimili vizuri tu.

Maisha Ni Watu,Na haya Ni Mambo ya Watu,Yule Mtu wa Watu anatakiwa awe Mtu muungwana,Ajivikaye upole,abebwaye na kila jamii ili Mungu atukuzwe kila sehemu.Ni upole tu Ndo utastahimili cheo kikuu Hata baada ya Kufa.

Nilkwandikia haya maana nilikuwa nakukumbuka sana hasa ulipokuwa unawahi kutoka shule ili unipikie kaka ako, japo ulikuwa unapika kitoto(kwizungeleja) tuviazi kwa lugha ya kwetu na pale ulipokuwa unafunua viazi unaniibia na kuniletea hata bado havijaiva (nakupenda sana mdogo wangu)na kuna siku ulipokoswa na gari ukiokota viazi barabarani nilikuona kwa mbali kipindi natoka shule, nilishindwa kusema hyo siku.
Nahayo yote ni sababu ya shida zetu maana mama yetu alitulea kwa shida sana(alipokuwa anauza nyasi kutoka kijijini kwetu mpaka huko buyolwa wakati wa kiangazi akienda kuzitafuta mchana na jioni huku akisaidiwa kukopeshwa na vijana wa maduka unga, na madeni yalipozidi hawakutuacha waliendelea kutusaidia(ikikupendeza Mungu baba Uwe mwema wewe kwake na kesho yako.

Na Senzeka na Jame nawakumbuka juu ya msada wao na wengine wote na ile kalamu ya polina, sikumfurahisha nilipokuja kusalimia maana nilukuwepo katika wakati wa vita.

Yale yako,basi nilienda kulala kwanza niliamushwa na hodi zako uilipoivisha viazi vyako(sasa nasema asante mdogo wangu) uliniuliza kuwa kwa nini silimi napenda kusoma tu,nilikujibu kuwa tukiendaga eneo la kanisani (roma)usiku waga nakwambia uombeje kwa Mungu,ulinijibu kuwa Mungu akusaidie uje utusaidie.Basi haya haya nitayakumbuka kesho na mdawangu wote wa kuishi kwangu.

2017 nilipokea Taarifa mbili nzito Kifo Cha mzee kupitia kea Grace Kamambi na nilikuja kupigiwa Tena umeacha Shule na huonekani kidato Cha kwanza tu Ukaona Inatosha,Ziliniumiza Sana Hasa hi ya Wewe kuacha Shule maana Kifo Ni Mipango ya Mungu na anayemtegemea Mungu Hadi ila huishi milele,Baba Yu Namna ya milele kwa kile alichokiamini.

Kipindi naandika haya nilipata mfanyakazi wa kumlea Maha ze soja(12 miezi)Mwanangu alipokuja anaulizia Asbuh kwa Nini hasikii alikaa kimiya,ila alipoambiwa nitakupigia na wifi yako kwa mwanetu alijibu,ukinipiga unajichosha tu,Baba alinipinga nilipokuwa Shule la tatu angalia kidogo anivunje got,Maneno ya Salima Juma Rajabu(14-Nyamwela) kutoka Kibiti ya Lwaluke Nchukwi(Kwa bodaboda Nauli 16000 kwenda kurudi 2023) ndani Kama unaelekea Songa hospital,najazia tu hayo ndugu yangu,ili nikija kwa watu niwe na Mambo ya Watu.

Wakumfuata Eliza alizaliwa salama hatukuwepo nyumbani kichwa kiliniuma mama akaniruhusu nirudi kipindi hicho tulikuwa tunafanya vibarua ili tule basi mwambie mama yake kuwa Nayakumbuka hayo na ule wembe na vitu vingine ambavyo mama kulwa(shemeji na jirani)aliniambia nivilete baada ya kwenda kumuita.SINA WEMA ILA YEYE ALIYENIFANYA NIUMWE KICHWA SHAMBANI.

Basi niliishi maisha ya kunyume na watu yaani kwenda tofauti sana na macho yangu na uso wangu watu hawakuthubutu kuniangalia mojakwa moja na hata Pambalu nilipoenda kumsalimia Mbowe gerezani niliahidiwa hivyo katika ndoto na badae nikaahidiwa nitazungumza na mama samia mwaka mmoja badae nitapata mazungumzo marefu sana na utulivu wa juu nikiwa naandika hapa nayasubilia hayo.

Kwa hyo mdogo wangu kama walikuwa kama wanaangalia pembeni na sikujulikana kwa wema bali ubaya.Nilikataliwa hasa huko Nilipoyaona hayo,Utete nakote nilipothubutu kuwepo nakumbuka nilipokuja kwenye msiba na hapo ilikuwa hivyo.Nilihuzunika sana lakini sikuwaza hilo ila nilipoambiwa mama aliulizwa kuwa kama anayo hela wampeleke hospitali lakini akasema hana basi ikawa subira hvyo na gari halikuonekana.Ilikuwa hivyo siku sita kabla nilinuona mama akiimba wimbo wa tabu zangu sikiisha, basi tuyaache.

Ukumbuke pia ubishi wetu Mimi Na mama Kuhusu Yupi Ni Mwimbaji Bora wa nyimbo za injili Mda huo,Ambapo mama Alimpa Rose Mhando na Mimi nilimpa Bahati Bukuku mpaka Tulikuwa tunachukizana Lakini yote ilikuwa Kazi ya Mungu kwa Mda ,

Muda huo nilipakiwa nijue,Waraka wa Amani,Nani asimame aitikise dunia,Tsunami na album yote ya Bukuku ya Mda huo ili Nibebe vema kusudi.

Lakini baada ya Kurudi masomoni Wakati wa pili,Shahada ya kwanza ya Mambo ya Maji kabla ya matokeo ndipo nilipoambiwa kuu la kuwepo ni Hatumo-Rose Mhando.

Na albamu yote ya Mteule uwe macho ikajijibu na kile kilichokuwa kinanitokea.

Lakini historia ya Mhando Ndo niliipenda Sana Hasa akiwa Kitoto kidogo Yesu anamponya na Kumuita Ila mkono Kama wa Mzungu,Ni Ushindi,Nani asiyemjua Rose Mhando Ni Nguli wa nyimbo za injili?

Wengi wanafanya vizuri ila kila nyimbo zipo kwa ajili ya kumsaidia Mtu kwa Wakati maalumu kama Mungu atakavyo.

Hata Kwaya za Roma-Yesu Ni Mwema makuburi walikuja kunisaidia baada ya majuma 70 na ile safari ya Mbowe Uingeleza pamoja na Vikao vya CCM Taifa hasa kile kilichokuwa siku moja na Vyama hivi vikuu viwili.Tarehe8/07/23 kwa kile kiitwacho nikwa ajili ya Taifa na Amani ya Dunia.


Basi Rudi kimawazo nyumbani,Hayo ni ya nyumbani lakini yapo mengi ila niliutaja kwako mwaka 2025 na mwaka 2035 na tulipotembea tuliyakuta hayo nakumbuka kuwa nliambiwa mbele zako kuwa Mwaka wa ushindi unaujua watu wamepata mavuno umekuwa wa kukaa peke yako na ukitoka naiona mikono miwili inakupokea ni ushindi ila huu mdogo kwako kama unavyoweka mikono juu usiku na mchana basi yatatimia yote.nadhani ulisikia.
Na jimbo letu nchi yetu na dunia ya Mungu,Mungu wetu wote. Nimeyaandika ila nikuibie siri nimeambiwa nikuchukue nikae na wew pamoja na mama ila wewe uwe na amri ya wote nyumbani kwangu ila nmekumbushwa kuwa Aloyce ambaye ni kaka yetu tumuige hakutubagua kabsa tumuombe Mungu tuwe kama yeye ikiwezekana tuzidi hapo.

Tutakaa Mwanza Nyumba zenye vyumba juu na chini na Mama yetu(mwanaluka haha hah umaarufu kwa shida zake) tutakuwa naye pamoja alituita tulipokuwa tunacheza akiivisha chakula.

Shukrani sana kwake,(mimi kwa sasa nikiandka haya niliitwa mchoyo(mahuhu)ni kweli maana niliogopa watu sana na hasa kula mbele yao na nikibeba kitu nilihisi nitawanyimaje kweli hivyo nikiri sikupenda na hata niliwaza kuficha).Haikutosha hata kuwaangalia usoni niliona aibu sana mdogo wangu.

Misoji(6) mtoto wa bro yetu ndo aliniambia nimjengee bibi yake nyumba aliamka asubuhi sana wakati wa mvua kubwa inanyesha mim nilikuwa nimelala bado akaniita baba mdogo ona nikaangalia ule Msingi wa Nyumba yetu, ni kweli maji yalikuwa Mengi.

Sina wema(ila yeye anayetupa mawazo mema yazidi mabaya tuliyinayo) ningekwambia mengi kuhusu madam wa kazini alivyonivumilia na kunishka mkono ila hakusema nimsemee basi neno moja alipenda kulisema nalo siyo lake bali la Mungu yaani Roho mtakatifu atatuongoza.Nilipenda neno hili nilipokuwepo karibu naye.

Basi nami nasema Roho mtakatifu awe mbele yako yetu na yenu pia.

Nipumzike sasa kidogo matumizi ya mwamba akiwa tumboni Bado yahakuwa sawa nilichokwa kidogo kwa mda nguvu zikapungua,haya yanahitji nguvu,badae basi.Maana tuyaweke yote sawa si kwa kudharau mengine ila lililokuu ni kumkiri Mungu mkuu.

Ulimwengu una Kitu husuda Hata Mapito hayo nilipoyaelezea Badae Wapo waliotaka nisiyaseme ili wayaseme Wao,Na Wapo waliotaka wanitengenezee Habari wazitakazo wao,niliwaruhusu Hivo ila mwisho wa siku Mungu ni Mkuu wasijue maana ya hayo kwa Bro wako Tom yakamfanya Ashinde.

Eti Muone sura yake,Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna,Mtu mzima ovyo kwa hofu yangu,Fadhaa ya Uso na Kupenda Uhuru wangu Wakati wa kula(uroho) ,Kuongea stori na Kama Mtu haongei naendelea kwa uzuri wa maongezi wengi waliniacha ili kiwe kiboko Cha kunipigia,yaani anaongea Sana.

Lakini yote tisa,Mungu Nilikuwa Namuomba Sana na nikataka Nije nishinde kwa Wema pasipo kuleta Maasi ili Tuendelee kuwa na Amani Kama tulivyokuwa tunasimuliwa na Mama na Baba kuhusu Kambarage wa Butyama alivyojitoa ili Nchi ikae salama,Tulikuwa wadogo sisi ila baada ya mkapa Kutangaza taarifa zilikuja na Nkwabi kwa Mama, alikuwa anapika,kuwa Mwalimu Kambarage Kafariki,Mama Alilia Sana na hofu Yake akasema huenda tutapigana sisi kea sisi Huku analia,Alisema Huyu alitabiriwa Kama Zagamba Nyeusi imemuondoa Muingeleza Watu wamefurahi kwa Wazee wa Jadi ya kisukuma wa zamani zile,Kumbe Mwalimu alikuwa Bora kwa Mengi hasa kupika viongozi na leo Taifa Ni Moja na Mjukuu wake wa Jina Fimbo Yuko nayo,Sijui Kama Kuna Jambo litaharibika!

Ningekupa ya baba, kuhusu Rafiki yake kiroho(hawajawahi Kuongea) Kambarage wa Musoma Namna alivyompenda,hasa Maongezi yaliyojaa Hekima,heshima,Utu,Umoja Kama ndugu na Kumcha Mungu(Biblia+Kuswali) pasipo kuharibu uwepo wa imani zingine na Hata kuheshimu Fikra kinzani.Baba alivutiwa Sana na Kambarage na tangu awasikilize wote ila bado wa Kumfikia Mwalimu aliapa Hivo,2015 nilipotoka Chuo nilipigiwa Simu na Manziro mbele ya baba nikiwa na Kapinga rafiki yangu kuhusu Kuwahi kutoka Chuo Kama Ni kuwania Ubunge,Lakini nilikataa.Lakini baba alipenda nilivyoulizwa kuhusu kugombea Nafasi hiyo,Ila nakumbuka mkoti wake na Fimbo yake na kiti alichonikalisha kwa Kaka yetu Aloyce Kabla sijaondoka Nyegezi-Dar.

Nilifurahi sikuvua na niliondoka Hivo nikaenda kuwapa wakoma wa barabarani vijisenti kidogo kidogo mpaka nilipoishiwa,Nilienda kwa Machozi na nilirudi kwa Machozi na Kesho take nilipakiwa bajaji ya bro Nkwabi kwa machoxi na nilisafiri nalia na Fimbo yangu ile ya Bahaya mpaka dar nikapokewa nayo na Mtoto wa Marehemu Fedi (James Fedriki) na sikumbuki vema Kama Mbagala kwa Mjomba Nilienda Nayo( ila Ishara Yake niwe nayo Muda wote Kama Kambarage Wa zanaki au Mtemi Mayala Huko NASA).Chuoni waiiona wengi na mbiyu hakunishanga na tuliposali pamoja na mchungaji aliomba kwa Wema na Moyo ulipohitaji niliitupa chooni na siku si nyingi nikaja Kufufuliwa Mambo yote Kanisa Katoliki(mtikisiko),Mti uliokua juu mpaka Mbinguni na Cha tatu Nilimuona mfano wa Mtu Ambaye hakuniruhusu nimuone Uso wake ila rohoni Mpole naye alinionea huruma na mavazi Yake yalikuwa na unjano na kichwa chake Ndo Mwanga wa Sehemu zote Kuonekana kote duniani na akaniweka Kifuani kwa huruma na ukarimu na tukaenda kidogo ndipo viti viwili na meza ikawepo yeye akaniweka kiti Cha kulia na Fimbo Yake akanipa na Watu Wote wakashangilia Sana.

Nikatoka kiroho na kushudia mbele Ya Baraka Ado na Magesa Pati na waliponibishia,nilinyosha mikono juu Kama nilivyokuwa nafanya mazoezi ya kuwa na nguvu home niliyofundishwa na braza uwekaji wa Mikono kwa Jimu,Hapo nilipokuwa la kuwa Mzee kamambi aliniambia a nikiwa na Magadula kipindi anaenda kutuombea kwa Ajili ya mitihani ya mwisho kidato4 alisema,Wewe,Mimi, nirudi Kwanza,Ndipo akasema Neno Lolote litakalonitokea kwa jinsi ya ajabu likifanana na Biblia Niweze Kulikubali,Happ nikauliza Hivo,Nikaambiwa nisome 1timotheo1;12-19.Nilijawa furaha kubwa Moyoni na Nikaambiwa niende Kesho take nikashuhudie darasaniHG wa Mwaka Wangu2012 ,nikpewa msisitizo kuwa nisipofanya Hivo nitarufishiwa magonjwa yangu ya Tumbo kujaa gesi na Mengine,Hivyo nilifanya Hivo,Na Baada ya hapo si Muda nikaanza kulitumikia neno Hilo Huku nikifunuliwa maono,na njozi si kwa mapenzi ya Mtu ila Mungu Hata nilipowaambia Watu hawakuweza kuelewa ila miaka Kadili ilivoenda maono na njozi zilikuwa wazi nahisi wote wengi Hata nyumbani wote nimewasimulia.

Kwa hiyo Mdogo wangu,Nakupa haya maana wengine hawapendi Mafanikio na ingali husema wanapenda Mungu,Amka utawakuta yako Kama nilivyosema kuhusu 2025,2035 na 2085,Uwe Nami pamoja Kama Mama yetu alivyokuwa nasi Hata baada ya Baba kulala2017,nilipokuja Huko 2020 nikiwa na mwendelezo mrefu nasikiliza Wimbo wa Rose mhando-Ee Mungu nitakushukru kwa Sauti ya juu Kama Sina akili nzuri, Emma Anselemi alikuwa kaondoa Lock Kidogo Akaniambia Toro Watu wote walikata Tamaa na Wewe waliochini Umeshakufa,Kwenye Msiba wa mzee kila Mtu hajui awe rafiki yako au ndugu yako,sikufichi nimekuona na Machozi nalia unaniona,Aise siku nyingi Sana,Sikumjibu Kwa kile kilichonyuma ckuja Sasa kumuaga na kiroho alikuwa pamoja Nami Huko dodoma kwa Ufunuo wa Chumba chake Cha uzeeeni Kunikabidhi Funguo nisimpe Mtu Yeyote nikifunga na kufungua Mlango niendako na nirudiko.

Nikilinda porini nikiwa na Kirungu tu usiku wa njaa na reggae+Kwaya( Coco- Alpha Blond,Bukuku- Waraka,Ambwene-Misuli ya Imani) chini ya Sengo Security Co.Sababa Mariki akiwa In charge na Jose Meneja tuliyekuja Kashindwana na Tarehe 17 za Mshahara,Alinifukuza ila Alinipa Mshahara.Tena nakumbuka ( alikuja kunipanga ofisi ya sampuli madini) na akanipa na Silaha ila sikudumu Hata kwa Marhemu Sitta Area C jirani na Edward Ngoyayi Lowasa nililinda na Nikiwa Mpenda mijadara ya Siasa sana baada ya Kutoka lindoni.

Ni hayo,Wengine hawapendi Hata haya kuyasema,Wasijue Mungu Ni Ushuhuda wa Njia unayoipita nayo utakumbushwa siku ya kisimamo Kama ilikuwa Kweli au Uongo?,Hapo baada ya siku tatu unusu tutajuana nao na hawatakaa wasahau mdogo Wangu.

Nilikuja kutafiti ukweli wa Mungu hasa Sehemu ambazo zimejaa changamoto na kutokuwa na hofu ya Mungu toka 2018 Mwezi wa Kumi na moja,yote hayo niliyajua
Baada ya kumaliziwa utafiti ili kuweza Kusaidia Nchi na dunia Katika kwenda kuitafta Amani Tuitakayo hasa nikasimame mpaka hapo dunia itakapohitaji Tena iwe njema na nzuri kwa mwendo ule ule wa kumshinda Shetani ajiinuaye kwa Kiburi hasa kwa watu na Mungu na Hata hao mawakala wake wasijue Kitu Cha Mungu kikikosea humsikiliza Mungu ili akirejeshe nilishindwa Mwezi wa tatu Mwaka 2021 kwa Ushahidi wa kusema Mara kwa Mara Kuhusu Mwaka wetu wa Uchaguzi wa 2025,Tutashinda,na 2020 nikiwa Singida niliulizwa na Watu wa kitenge Cha Hg tukiwa tunakunywa juice pale eti Mimi nilikutana na Yesu,nilijibu Kama Mimi Mwongo Chadema itashindisha wabunge na Mbunge wa jimbo la ukombozi kwetu mbele Yao na 2035 nikaitaja,Lakini Sasa nikiwa najazia Ee Mungu nitakushukru ya Mhando inaishi na iko vema siku hizi siipigi Sana,Tulishinda na Tutashinda Mdogo Wangu.

Kuna msemo wa Kula chuma hicho, nakwambia Sasa nawewe Kula chuma hicho Cha Tazama Ramani Utaiona Nchi Nzuri.Majira Ni yetu Mimi na Wewe Weusi,Bila sisi weusi Hakuna majira mdogo Wangu.

Tufurahi na weusi wetu,Black is gold Wahenga walisema.

Usihofu Kukuandikia barua,Nami nimepokea Kwa Paulo Kama Mwanaempendwa Katika Kristo na Mungu Baba,Kwa neno la Bibi Mwanandege, Alishindwa kutamka Jina Langu Akawa ananiita Timotheo,Nilipoitwa kwa wito niliitwa Timotheo na nyaraka ya Mlango wangu Ni 1timotheo1;12-19 nadhani unakumbuka Mwanandege alivyojipiga Kifua Mara kwa Mara na Jina Timotheo.

Uhuru Mwenyekiti alifariki akiwa madarakani,ila alinijali Kama Kijana chachu ya Badae,alikuwa tayari kunilinda kwa vyovyote na nilipopendekezwa kuwa mgawa mahindi Kwenye Chama/stoo ya Kijiji nilikuwa na Ujasiri kwa Kula ya Budindi maarufu CHIEF,Kijiji nakitambua Sana kilivyonikuza,Na Mungu azidi kunisaidia Niweze Kuwatetea Matunda Mazuri si kwa watu wengine tu Hata Wao pia maana Mayowe ya wezi tuliitana pamoja na tulikwenda pamoja kuwatafta,tulipowakoswa tuliweka kikao Cha kuagana na mawaidha Mazuri,Mashauri Donati awamu yake alikuwa mkali Kuhusu Vijana na ukihisiwa unacharazwa na Badae Polisi utapelekwa,Mwanamanumbu,Mchibo,John Masaga,Kaka Paulo Makeja na Wengine nawakumbuka,Hitila,Philipo helemani kwa utani kuku na Mayai Yake Japo kalala namkumbuka,Ndakama na ucheshi nawakumbuka,bila Wao kijiji hakina Taa imara.

Nilikuwa Nyamwage-Km35 na Seregeni(rafiki yangu Kutambua divai) wa Majita Musoma kwa Mzee Mjee anawasalimia Sana Kanda ya Ziwa,Tumepamisi.

Basi Mimi Nataka Amani,Nchi inataka Amani na Dunia inataka Amani.

Kwa kuhitimisha Mungu anayehubiriwa dunia nzima Ni Mmoja tu kwa Mapito hayo,

Wako Katika Imani
Kusadikika wa wasadikika.
Mungu baba ni Mmoja.
Mimi Niko na nipo.
 
BARUA KWA ROSE WA WASADIKIKA.
S.L.P WEWE NI MIMI
KUSADIKIKA.


KUTOKA KWA ADILI NA NDUNGUZE
S.L.P MIMI NI WEWE.
KUSADIKIKA.

Yah;Safari na Kudra za Wazee ili Kuisaidia Kusadikika.

Naam ndugu Husika na kichwa tajwa Hapo juu,Mimi Rafiki Katika Taifa moja la Kusadikika, Nakukumbuka kama nikumbukavyo watu wote wa nyumbani kwa msaada wao.

Kama nikumbukavyo Mara kwa mara maneno yaliyotabiriwa juu yangu na huyo bibi kizee( mwana Patero) ningali nasubili kwenda masomoni baada ya kidato cha nne.Nasema hasa ya mwana Petro maana yalijikita Sana na maandiko ya Biblia na ingali Bibi yetu(hakufanana na Watu wa kawaida- kama Kichaa (kwa Watu) now si mbele za Mungu(Roho takatifu ilikaa ndani mwake).

Alikuwa sawa.

Ulinisindikiza Stendi kwa Upendo nilitaka ukumbuke Kama nilivyokuasa ningali mdogo walimu walipopita na kusema umechukua akili Zangu((si za darasani Bali zile za kuchukuliana na Watu wote).
Fimbo ulinibebea kwenda stendi na ndani ya Gari nilikuta wimbo wa Bukuku-waraka,ulipgwa kutoka Ramadi to Mwanza Nyegezi.

Nilifika kwa Nkwabi vizuri,usiku nikawa natafakari nyimbo hiyo maana si Mara ya kwanza kuitolea Machozi,Kwenye Msiba kwa James ulikuwa unanisumbua Sana ukiwa unarudiwa Mara kwa mara Katika usiku huo.

Mimi nilikuwa Mtu wa Kulia tu mpaka nafika Mwanza(Kilio Cha Kusaidia).

Nakumbuka kutengwa kwangu leo na watu. hawakujua namna ulivyonisindikiza umenibebea fimbo yangu niliyokabidhiwa kwa alama ya utabiri na Bahaya Bibi yetu na akina Yusuph,kwa Mayala/Mtemi.

Nilipoishiwa Fimbo Yake Bahaya alinichapa, Akaniambia haishikwi ovyo ovyo Kama Nataka Fimbo anafahamu ninakotokea Mimi na wazazi wangu nimfuate Jumapili nyumbani kwa Dotto Moma (R.I.P) anitengenezee.

Nilienda Jumatatu,nikamkuta anashona nguo Yake kwa mkono wake,akanitolea nguo zake kifurushi nikifue,nilikifua.Judy na dada Yake mkubwa waliniona Hapo kwao nikiwa nafua.

Baada ya kufua,alinipongeza na akaleta Fimbo Fulani ambayo haijatengenezwa nijaribu kuichoma iwe nzuri Lakini nilishindwa,nayeye Akaniambia huwezi hii Ni Fimbo ya watemi(Nyerere hukumuona?,Mayala je,Sisi Ni Watemi),Hata Wenzio Wakina Yusuph wamejaribu kuitengeneza wameshindwa.(Basotola).

Basi aliitengeneza,Alipomaliza Aliniita sebuleni kwake akanipa kiti nikakaa,na Akaniambia nichukue nikae kifalme(Sikujua),akanikalisha pale na kuniombea,akashika viganjabna kunitemea mate Huku anaomba,alitetemeka Sana na majasho yalimzidi na Badae akakaa kimia Kama kapoteza Fahamu,na alipozinduka aliniambia kawaona Malaika wameshuka wanashangilia Hivo akanitabiria huenda yatakuja Mambo Makuu ya Mungu itabidi niyafanye niingali naishi duniani.

Dada Yake na Judy(Doto moma Familia) aliniona kipindi naombewa.

Na Nasaha nikapewa,Akasema Ulokole umenifanya niwe Kama Kichaa kwa watu,wewe ukawe shahidi yangu kwa watakaokuwepo na kwa Mungu.Hiyi Fimbo usimpe Mtu ovyo Ni Fimbo ya wema.Kwa hiyo usiigawe hovyo kwa Mtu Yeyote Hata Vijana Wenzio.

Nilitaka kuwa na Fimbo Sababu ya Yale maneno ya Bibi Mwanapetro ya kutabiri juu ya Watu na hatma ya mda,Alisema Watu wengi Wanaiona Biblia imepitwa na Wakati njoo unyoshe,kuna Fimbo inakuja utapewa na kiti cha mkuu wa Wakuu,na huo Mti wa Enzi ni Wewe na urithi ni Wewe Sasa kuna Vita(Burugu kisukuma)Njoo uvipgane pasipo Kurudi nyuma ili Ukateme utawale.(Ukateme ukatawale ntemi obatemi Alilia kwa Sauti Sana).

Hapo nikakumbuka fomu tatu nilipokuwa na Mazoea Kaka Yake na Samsoni Soni yeye katangulia mbele tulipokuwa tunaelekea kwa Shingwengwe(Muonaji) wale jogoo walionirukia na mmoja akanipanda kichwani na kuwika,Kwa maneno ya wapita njia Ghashila amakanza(Muda umekwisha) bwela bhungi(Kumekucha) oyo kimala Chalo na maboni( Sehemu zote na Watu wote).
Haya mama nilimwambia.

Hata Muonaji mwana Mwalu Huko Magusheshe mwalinachadulu naye alianza Nami vema (alinipenda Sana na yeye akasema Kuna maneno utakuja uambiwe na Wakuu Huko unakoenda kusoma,Ni Mazuri Sana Hata sisi tutakuuliza shida zetu Wewe,Na utaanza Kuona Kama sisi utakapoambiwa hayo maneno(utashinda kid4) Lakini utaanza kuishi kinyume na watu,kinyaa( usiogope Ni mafuta Naona/uzuri),Mungu/ welelo anakupenda).Wewe siyo Mtu wa mawazo na huzuni,acha mawazo na huzuni una maisha Mazuri,Akasema.Kuhusu nitakuja kufanya Nini alikataa akasema haruhusiwi kusema nitaambiwa Huko niendako,Utakuwa unatoka darasani unaenda kulala,Alisema.
Mama nilimficha na Baba kwa Wakati huo Kabla ya Bibi Mwanapetro.Hapa nilitanguliza maombi kwa Mungu Kama tulivyokuwa Tunaomba Kwa Siri mdogo Wangu ili were uwe shahidi wa hayo,Imani Ni Watu your yaliyo Mazuri na Kinyume na Watu yahusuyo Mungu Ni Mazuri yafaa kea Kufundisha.

Kuhusu dalili ya hayo ya Muonaji,,Ni Kweli za Kweli,(Mistari mitatu upo wa pili) kwenye matokeo ya mtihani mkoa Kama Dalili alipatia. Akawa Sehemu ya Kumbukumbu nilipokuja kuanza vita,Ni baada ya Mafunuo mbele ya kiti Cha Enzi ya Dunia Cha Yesu kristo wa Nazareth.

Nilisali Chuoni Tycs,Casfeta,Sabato na Mengine ya Kikristo ila maono niliyaona nikiwa Casfeta Chini ya Baraka Adofu Kama mwendeshaji wa ibada,Na Mungu Ni Siri na mja wake.Na Hili Lina Ushahidi wengine wslifikiri napeleleza,hofu Yao tu.

Na Emmanuel nikodemo,MTYCS na MHGd aliniambia baada ya kushuhudia,nisijione Sana nitakuja kuwa Chini ya Mtu.(Kongo na Sudani ya Kusini kutimiza majuma70 na maono),Ni Kweli Huyo Mkuu wenu ndo anisaidiaye kuyafahamu hayo na ya Kweli.
Na Leo siyo Huyo Tu,Hakuna Mkuu kuliko Serikali ya Nchi ndani ya Nchi.

Kuhusu yule Mwana Petro,


Wote mtakuwa mashahidi na Majirani,maana Shemeji mama Kulwa na jirani aliniambia nisiyapuuzie nitakuwa nimetumiwa yule Mtu na Mungu,alirudia Mara kwa Mara na akanisisitiza nisome kwa bidii ili Nije nisaidie Kama Kaka Yake Ambaye alikuwa anapandishwa nyota Bwana Alex(wanapendana) Namna alivyowasaidia nyumbani kwao Huko Bunda.

Lakini pia mke wa ndakama kabadi,Mama Kangu Naye hakusita kuwa pamoja Nami hasa alipokuja kuniambia Mimi nikipewa nichague waziri nakuchagua Wewe kwa hiyo jitahidi uje ugombee Ubunge baada ya masomo kipindi anachoma mikaa mashambani selya nilipokuwa napita natoka kulima Shamba Langu la Miwa Huko karibu na Sungwa Mjomba na Anselemi(R.I.P) Mwalimu wangu.

Mwanapetro Bibi mpita njia aliyeweka kituo nyumbani baada ya siku,nikasikia
Maneno ya dada Kili-Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna (baada ya utabiri Kesho yake) nadhani unakumbuka Hata nilivyokuwa nanuna Hata Sasa Wapo wanaomwambia wifi wako kwa Maha Mwanetu sijui Kama ndani nacheka eti,Kumbe Uhuru wa Kimungu ni Uhuru wa Amani ya wote,Nilikuwa simple mpaka kukohoa kwangu Kama Mtu Yuko karibu alifikri nimemuita kwa yule anayependa Uhuru wa ndani ya Nyumba,Mpole ni mrithi wa Mungu mbele za Mungu.Nilipokengeuka kwa kuhofia kumuumiza mke wa Mtu Mungu alinirudisha kwa Mafunuo ya wimbo wa Uongo Si Kitu chema ndugu Sikia,utendayo hayo wamchukiza Mungu,Jitahidi ujipatie sifa njema,nakusihi uzidi Katika kila neno baba Mtumishi wa Mungu utende haki zote ,Tangu hapo aliniona Chizi na Watu Akawa anawaaminisha Hivo eti Mimi Ni Chizi na jinsi alivyokuwa mrembo na Mwili anao Wanaume hawakujua kilichonyuma ila waliniona Mimi Chizi,Sheria ya utafiti kwa lile unaloona la Kawaida shiriki vitendo utaelewa kea Nini imeandikwa Usizini.

Huzuni zangu na maneno juu ya mwonekano wangu yalinitesa tangu huko. hayo nayakumbuka sana yalinihuzunisha sana ndugu yangu lakini nilijua nikitoka huko yatakwsha kumbe ndo kama yapo hayo maishani wangu.

Basi nilikuja kusoma na nilimaliza salama ila yalitimia yale yaliyosemwa nymbani na huyo bibi kizee nikweli nilipewa fimbo na kukaa kwenye kiti cha kifalme kulia mwa yeye aliye mkuu zaidi mbele ya watu wa dunia yote Mahala pa Mwanga wake.

Na hapo nilitaka yafanane nayale ya kwenye biblia(nikakumbuka niliambiwa na Mzee kamambi-ukiona Jambo limekutokea likifanana na Biblia kubali, nikiwa naombewa mtihani wa kidato3 aliponiita peke yangu). ila yeye aliyempole aliniweka kifuani kwa kunikumbatia akanipa hivyo vyote na akaniambia niifungue timoth 1,12-19 niisome ni kweli yalitimia yaliyotabiriwa kipindi sijatoka nyumbani Lakini hata huyo dada yetu Tereza wa debera naye yalimtokea usiku wa 00;01 1/1/2013 akaandika kwa mkaa ukutani wakiwa na baba Salome(mzazi mwenzie) ya kuhusu hatma yangu mbele ya majeneza matatu nilikuwepo wa nne ndani, nami mfu lakini rangi ya bluu ilifunikwa kwa juu na baada ya hayo matatu nilitafutiwa nyumba angu ila niliwekwa na badae nikawa mzima ila mtoto mchanga niliinuliwa juu na watu wote wakashangilia,Alinisimulia baada ya Mimi kumuomba Twende kwa Mzee Kirumba nikamusimulie Kama nilivyoapa kuwa Akikataa baba mzazi nayaacha,Lakini naye yalimtokea ila hakuwahi kunambia Mimi tu maana Seko Ndo alipokuja DSM akija kuniona Chuoni Alinisimulia na kuniambia Niende kwa Mzee Kuna Mambo aliyasema nikasikia,Nilisikia juu yangu na Hata habari za Muonaji alizikubali na akasema Mungu hashindwi uko Sawa endelea Kuomba ila Mimi nilijua siasa tu yeye akakataa akasema Ni Mambo ya Mungu hayo siyo siasa tu, basi Mwambie dada yetu asiogope maana kwa lugha ya nyumbani yalisemwa kuwa Iyenge nakumwila uilomboyo owanza,Ni jibu la swali la Alloni Kazinja Chuoni rafiki na Oscar mbuzi aliponiuliza Muulize Mungu Ni Nini hatma yako ikiwezekana Mipaka na Muda wa Kuanza wito wake, japo mda huo dada hakuwepo mwanza mjini lakini yalitimia pale kaka yetu alipohama akarudi nyamatongo na tedi akatoka nyamikoma akaenda mjini na leo akiendelea na kujituma kupambana,Na maisha Ni kudra.

Narudia tena Niliposhuhudia,,waliniambia niombe nijue hatma yangu na Mipaka ya Kazi pamoja na Mda(Mate wa water supply Alloni kazinja rafiki yake osca mbuzi.Yote yalijijibu kwa Wakati na Nikiwa naandika leo Tena Kazi inaendelea,Kazi yangu Ndo ndo Kazi ya Watu.

Neno vita liliniwazisha sana ndugu yangu na mdogo wangu,Sitalieleza kwa kina ila Mungu huyaruhusu yote kwa Makusudi yake ni kweli niliviishi.Niliomba Mwenyewe kwa Kusema anipitishe kwa watu waliochini nijifunze kwanza asinipeleke juu moja kwa moja,hii niliipenda Mijadala Mingi iliyokuwa inafanyika Udsm na Sehemu zingine Kuhusu Taifa na usomaji Sana wa magazeti ya Raia Mwema na Rai(critical writting) Hivo niliazimia hivo ili niwajue Watu kwa msaada wa ufumbuzi wa utatuzi was migogoro na kero,Nilikuwa patwa migogoro na nilikuja kukereka Sana nilipoanza vitendo,niliambiwa imani Ni Matendo,Mimi Matendo Sina,eti Nina Maneno tu.Hata nilipoanza vitendo niliambiwa eti anataka apendwe na Hakuna Mtu anayemoenda anajipendekeza tu,kusini nilipokuwa Kuna Baridi na matufani Mengi ila Mungu kwa No Woman No cry, Ayubu7;1-4 nikiwa dodoma nasubili ajira Alinipa miezi 6 tu kwa Marejeo hayo, niliweza kuhimili vizuri tu.

Maisha Ni Watu,Na haya Ni Mambo ya Watu,Yule Mtu wa Watu anatakiwa awe Mtu muungwana,Ajivikaye upole,abebwaye na kila jamii ili Mungu atukuzwe kila sehemu.Ni upole tu Ndo utastahimili cheo kikuu Hata baada ya Kufa.

Nilkwandikia haya maana nilikuwa nakukumbuka sana hasa ulipokuwa unawahi kutoka shule ili unipikie kaka ako, japo ulikuwa unapika kitoto(kwizungeleja) tuviazi kwa lugha ya kwetu na pale ulipokuwa unafunua viazi unaniibia na kuniletea hata bado havijaiva (nakupenda sana mdogo wangu)na kuna siku ulipokoswa na gari ukiokota viazi barabarani nilikuona kwa mbali kipindi natoka shule, nilishindwa kusema hyo siku.
Nahayo yote ni sababu ya shida zetu maana mama yetu alitulea kwa shida sana(alipokuwa anauza nyasi kutoka kijijini kwetu mpaka huko buyolwa wakati wa kiangazi akienda kuzitafuta mchana na jioni huku akisaidiwa kukopeshwa na vijana wa maduka unga, na madeni yalipozidi hawakutuacha waliendelea kutusaidia(ikikupendeza Mungu baba Uwe mwema wewe kwake na kesho yako.

Na Senzeka na Jame nawakumbuka juu ya msada wao na wengine wote na ile kalamu ya polina, sikumfurahisha nilipokuja kusalimia maana nilukuwepo katika wakati wa vita.

Yale yako,basi nilienda kulala kwanza niliamushwa na hodi zako uilipoivisha viazi vyako(sasa nasema asante mdogo wangu) uliniuliza kuwa kwa nini silimi napenda kusoma tu,nilikujibu kuwa tukiendaga eneo la kanisani (roma)usiku waga nakwambia uombeje kwa Mungu,ulinijibu kuwa Mungu akusaidie uje utusaidie.Basi haya haya nitayakumbuka kesho na mdawangu wote wa kuishi kwangu.

2017 nilipokea Taarifa mbili nzito Kifo Cha mzee kupitia kea Grace Kamambi na nilikuja kupigiwa Tena umeacha Shule na huonekani kidato Cha kwanza tu Ukaona Inatosha,Ziliniumiza Sana Hasa hi ya Wewe kuacha Shule maana Kifo Ni Mipango ya Mungu na anayemtegemea Mungu Hadi ila huishi milele,Baba Yu Namna ya milele kwa kile alichokiamini.

Kipindi naandika haya nilipata mfanyakazi wa kumlea Maha ze soja(12 miezi)Mwanangu alipokuja anaulizia Asbuh kwa Nini hasikii alikaa kimiya,ila alipoambiwa nitakupigia na wifi yako kwa mwanetu alijibu,ukinipiga unajichosha tu,Baba alinipinga nilipokuwa Shule la tatu angalia kidogo anivunje got,Maneno ya Salima Juma Rajabu(14-Nyamwela) kutoka Kibiti ya Lwaluke Nchukwi(Kwa bodaboda Nauli 16000 kwenda kurudi 2023) ndani Kama unaelekea Songa hospital,najazia tu hayo ndugu yangu,ili nikija kwa watu niwe na Mambo ya Watu.

Wakumfuata Eliza alizaliwa salama hatukuwepo nyumbani kichwa kiliniuma mama akaniruhusu nirudi kipindi hicho tulikuwa tunafanya vibarua ili tule basi mwambie mama yake kuwa Nayakumbuka hayo na ule wembe na vitu vingine ambavyo mama kulwa(shemeji na jirani)aliniambia nivilete baada ya kwenda kumuita.SINA WEMA ILA YEYE ALIYENIFANYA NIUMWE KICHWA SHAMBANI.

Basi niliishi maisha ya kunyume na watu yaani kwenda tofauti sana na macho yangu na uso wangu watu hawakuthubutu kuniangalia mojakwa moja na hata Pambalu nilipoenda kumsalimia Mbowe gerezani niliahidiwa hivyo katika ndoto na badae nikaahidiwa nitazungumza na mama samia mwaka mmoja badae nitapata mazungumzo marefu sana na utulivu wa juu nikiwa naandika hapa nayasubilia hayo.

Kwa hyo mdogo wangu kama walikuwa kama wanaangalia pembeni na sikujulikana kwa wema bali ubaya.Nilikataliwa hasa huko Nilipoyaona hayo,Utete nakote nilipothubutu kuwepo nakumbuka nilipokuja kwenye msiba na hapo ilikuwa hivyo.Nilihuzunika sana lakini sikuwaza hilo ila nilipoambiwa mama aliulizwa kuwa kama anayo hela wampeleke hospitali lakini akasema hana basi ikawa subira hvyo na gari halikuonekana.Ilikuwa hivyo siku sita kabla nilinuona mama akiimba wimbo wa tabu zangu sikiisha, basi tuyaache.

Ukumbuke pia ubishi wetu Mimi Na mama Kuhusu Yupi Ni Mwimbaji Bora wa nyimbo za injili Mda huo,Ambapo mama Alimpa Rose Mhando na Mimi nilimpa Bahati Bukuku mpaka Tulikuwa tunachukizana Lakini yote ilikuwa Kazi ya Mungu kwa Mda ,

Muda huo nilipakiwa nijue,Waraka wa Amani,Nani asimame aitikise dunia,Tsunami na album yote ya Bukuku ya Mda huo ili Nibebe vema kusudi.

Lakini baada ya Kurudi masomoni Wakati wa pili,Shahada ya kwanza ya Mambo ya Maji kabla ya matokeo ndipo nilipoambiwa kuu la kuwepo ni Hatumo-Rose Mhando.

Na albamu yote ya Mteule uwe macho ikajijibu na kile kilichokuwa kinanitokea.

Lakini historia ya Mhando Ndo niliipenda Sana Hasa akiwa Kitoto kidogo Yesu anamponya na Kumuita Ila mkono Kama wa Mzungu,Ni Ushindi,Nani asiyemjua Rose Mhando Ni Nguli wa nyimbo za injili?

Wengi wanafanya vizuri ila kila nyimbo zipo kwa ajili ya kumsaidia Mtu kwa Wakati maalumu kama Mungu atakavyo.

Hata Kwaya za Roma-Yesu Ni Mwema makuburi walikuja kunisaidia baada ya majuma 70 na ile safari ya Mbowe Uingeleza pamoja na Vikao vya CCM Taifa hasa kile kilichokuwa siku moja na Vyama hivi vikuu viwili.Tarehe8/07/23 kwa kile kiitwacho nikwa ajili ya Taifa na Amani ya Dunia.


Basi Rudi kimawazo nyumbani,Hayo ni ya nyumbani lakini yapo mengi ila niliutaja kwako mwaka 2025 na mwaka 2035 na tulipotembea tuliyakuta hayo nakumbuka kuwa nliambiwa mbele zako kuwa Mwaka wa ushindi unaujua watu wamepata mavuno umekuwa wa kukaa peke yako na ukitoka naiona mikono miwili inakupokea ni ushindi ila huu mdogo kwako kama unavyoweka mikono juu usiku na mchana basi yatatimia yote.nadhani ulisikia.
Na jimbo letu nchi yetu katika dunia ya Mungu,Mungu wetu wote,dunia Yetu. Nimeyaandika ila nikuibie siri nimeambiwa nikuchukue nikae na wew pamoja na mama ila wewe uwe na amri ya wote nyumbani kwangu ila nmekumbushwa kuwa Aloyce ambaye ni kaka yetu tumuige hakutubagua kabsa tumuombe Mungu tuwe kama yeye ikiwezekana tuzidi hapo.

Tutakaa Mwanza Nyumba zenye vyumba juu na chini na Mama yetu(mwanaluka haha hah umaarufu kwa shida zake) tutakuwa naye pamoja alituita tulipokuwa tunacheza akiivisha chakula.Kwa mapenzi ya Mungu yote yatawezekana.

Shukrani sana kwake,(mimi kwa sasa nikiandka haya niliitwa mchoyo(mahuhu)ni kweli maana niliogopa watu sana na hasa kula mbele yao na nikibeba kitu nilihisi nitawanyimaje kweli hivyo nikiri sikupenda na hata niliwaza kuficha).Haikutosha hata kuwaangalia usoni niliona aibu sana mdogo wangu.

Misoji(6) mtoto wa bro yetu ndo aliniambia nimjengee bibi yake nyumba aliamka asubuhi sana wakati wa mvua kubwa inanyesha mim nilikuwa nimelala bado akaniita baba mdogo ona nikaangalia ule Msingi wa Nyumba yetu, ni kweli maji yalikuwa Mengi.

Sina wema(ila yeye anayetupa mawazo mema yazidi mabaya tuliyinayo) ningekwambia mengi kuhusu madam wa kazini alivyonivumilia na kunishka mkono ila hakusema nimsemee basi neno moja alipenda kulisema nalo siyo lake bali la Mungu yaani Roho mtakatifu atatuongoza.Nilipenda neno hili nilipokuwepo karibu naye.

Basi nami nasema Roho mtakatifu awe mbele yako yetu na yenu pia.

Nipumzike sasa kidogo (Jan 2022- dsm)matumizi ya mwamba akiwa tumboni Bado yahakuwa sawa nilichokwa kidogo kwa mda nguvu zikapungua,haya yanahitji nguvu,badae basi.Maana tuyaweke yote sawa si kwa kudharau mengine ila lililokuu ni kumkiri Mungu mkuu.

Ulimwengu una Kitu husuda Hata Mapito hayo nilipoyaelezea Badae Wapo waliotaka nisiyaseme ili wayaseme Wao,Na Wapo waliotaka wanitengenezee Habari wazitakazo wao,niliwaruhusu Hivo ila mwisho wa siku Mungu ni Mkuu wasijue maana ya hayo kwa Bro wako Tom yakamfanya Ashinde.

Eti Muone sura yake,Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna,Mtu mzima ovyo kwa hofu yangu,Fadhaa ya Uso na Kupenda Uhuru wangu Wakati wa kula(uroho) ,Kuongea stori na Kama Mtu haongei naendelea kwa uzuri wa maongezi wengi waliniacha ili kiwe kiboko Cha kunipigia,yaani anaongea Sana.

Mda huo nikakumbuka nilivyokumbatiwa na Mtu bara Mtu Mara Mtaa wa Survey nilikuwa nakuta wimbo wa Paul Mwai-Nitatangaza Wema wako,Huu ndo ulikuwa Nami hasa Kwenye Mazito na Magumu yaliyotoka vinywani na vifuani mwa Watu na Bukuku -Lazima usamehe ili Mungu aseme Nawe Katika Usambamba huo niliiamini vile Katika Gari ya Dodoma (iliyokuwa inapaki sabasaba nilipouzaga Karanga na picha ya kumbukumbu ipo) imeandikwa Wamtumainio Bwana Ni Kama mlima Saying,Hawataangamia na leo Niko na kiba Pamoja na Christian Bella nishamaliza ng'ombe mzima nimebakiza mkia maana yake si Mda ama tayari nianze kuiona Kesho iliyopangwa na baba ya Mwaipaja.(umepewa bure to bure) hi ndo freedom.

Vita vya kiroho Ni ngumu kuvishinda kwa akili ya Kawaida,Lazima Mkono wa Mungu uingilie,na hapo unatoka kidogo kwa Watu na Marafiki(No woman No cry) hata ndugu yaani A.L.M mwenye kujua hayo maana yake Ni Mungu tu Na wale alowajalia Roho takatifu ila wengi watajikuta wanatoka nje na kukufuru kana kwamba kiumbe Cha Mungu watakiita Chehu,Karogwa,Laana,kaua,Mwizi,Bhangi na majina Mengi mabaya Ambayo hata moja hutasikia linatajwa mbinguni Wao ndo Yao.Hayo Ni mapenzi ya Mungu Katika kristo Yesu Tanzania Assembly of God,Dodoma makao makuu,Na mpaka Sasa Bwana ametusaidia(1Samwel;7;12).

Usisahau Binti mfalme alizawadiwa ng'ombe wa kike jina Marium kwa waroma Maria aliyekuwa na mimba ya miezi 8na Mda wa Mwezi wa Tisa tarehe Tajwa atajifungua(mwanacasfeta 2012-maji).

Mungu Nilikuwa Namuomba Sana na nikataka Nije nishinde kwa Wema pasipo kuleta Maasi ili Tuendelee kuwa na Amani Kama tulivyokuwa tunasimuliwa na Mama na Baba kuhusu Kambarage wa Butyama alivyojitoa ili Nchi ikae salama,Tulikuwa wadogo sisi ila baada ya mkapa Kutangaza taarifa zilikuja na Nkwabi kwa Mama, alikuwa anapika,kuwa Mwalimu Kambarage Kafariki,Mama Alilia Sana na hofu Yake akasema huenda tutapigana sisi kea sisi Huku analia,Alisema Huyu alitabiriwa Kama Zagamba Nyeusi imemuondoa Muingeleza Watu wamefurahi kwa Wazee wa Jadi ya kisukuma wa zamani zile,Kumbe Mwalimu alikuwa Bora kwa Mengi hasa kupika viongozi na leo Taifa Ni Moja na Mjukuu wake wa Jina Fimbo Yuko nayo,Sijui Kama Kuna Jambo litaharibika!

Ningekupa ya baba, kuhusu Rafiki yake kiroho(hawajawahi Kuongea) Kambarage wa Musoma Namna alivyompenda,hasa Maongezi yaliyojaa Hekima,heshima,Utu,Umoja Kama ndugu na Kumcha Mungu(Biblia+Kuswali) pasipo kuharibu uwepo wa imani zingine na Hata kuheshimu Fikra kinzani.Baba alivutiwa Sana na Kambarage na tangu awasikilize wote ila bado wa Kumfikia Mwalimu aliapa Hivo,2015 nilipotoka Chuo nilipigiwa Simu na Manziro mbele ya baba nikiwa na Kapinga rafiki yangu kuhusu Kuwahi kutoka Chuo Kama Ni kuwania Ubunge,Lakini nilikataa.Lakini baba alipenda nilivyoulizwa kuhusu kugombea Nafasi hiyo,Ila nakumbuka mkoti wake na Fimbo yake na kiti alichonikalisha kwa Kaka yetu Aloyce Kabla sijaondoka Nyegezi-Dar.

Nilifurahi sikuvua na niliondoka Hivo nikaenda kuwapa wakoma wa barabarani vijisenti kidogo kidogo mpaka nilipoishiwa,Nilienda kwa Machozi na nilirudi kwa Machozi na Kesho take nilipakiwa bajaji ya bro Nkwabi kwa machoxi na nilisafiri nalia na Fimbo yangu ile ya Bahaya mpaka dar nikapokewa nayo na Mtoto wa Marehemu Fedi (James Fedriki) na sikumbuki vema Kama Mbagala kwa Mjomba Nilienda Nayo( ila Ishara Yake niwe nayo Muda wote Kama Kambarage Wa zanaki au Mtemi Mayala Huko NASA).Chuoni waiiona wengi na mbiyu hakunishanga na tuliposali pamoja na mchungaji aliomba kwa Wema na Moyo ulipohitaji niliitupa chooni na siku si nyingi nikaja Kufufuliwa Mambo yote Kanisa Katoliki(mtikisiko),Mti uliokua juu mpaka Mbinguni na Cha tatu Nilimuona mfano wa Mtu Ambaye hakuniruhusu nimuone Uso wake ila rohoni Mpole naye alinionea huruma na mavazi Yake yalikuwa na unjano na kichwa chake Ndo Mwanga wa Sehemu zote Kuonekana kote duniani na akaniweka Kifuani kwa huruma na ukarimu na tukaenda kidogo ndipo viti viwili na meza ikawepo yeye akaniweka kiti Cha kulia na Fimbo Yake akanipa na Watu Wote wakashangilia Sana.

Nikatoka kiroho na kushudia mbele Ya Baraka Ado na Magesa Pati na waliponibishia,nilinyosha mikono juu Kama nilivyokuwa nafanya mazoezi ya kuwa na nguvu home niliyofundishwa na braza uwekaji wa Mikono kwa Jimu,Hapo nilipokuwa la kuwa Mzee kamambi aliniambia a nikiwa na Magadula kipindi anaenda kutuombea kwa Ajili ya mitihani ya mwisho kidato4 alisema,Wewe,Mimi, nirudi Kwanza,Ndipo akasema Neno Lolote litakalonitokea kwa jinsi ya ajabu likifanana na Biblia Niweze Kulikubali,Happ nikauliza Hivo,Nikaambiwa nisome 1timotheo1;12-19.Nilijawa furaha kubwa Moyoni na Nikaambiwa niende Kesho take nikashuhudie darasaniHG wa Mwaka Wangu2012 ,nikpewa msisitizo kuwa nisipofanya Hivo nitarufishiwa magonjwa yangu ya Tumbo kujaa gesi na Mengine,Hivyo nilifanya Hivo,Na Baada ya hapo si Muda nikaanza kulitumikia neno Hilo Huku nikifunuliwa maono,na njozi si kwa mapenzi ya Mtu ila Mungu Hata nilipowaambia Watu hawakuweza kuelewa ila miaka Kadili ilivoenda maono na njozi zilikuwa wazi nahisi wote wengi Hata nyumbani wote nimewasimulia.

Kwa hiyo Mdogo wangu,Nakupa haya maana wengine hawapendi Mafanikio na ingali husema wanapenda Mungu,Amka utawakuta yako Kama nilivyosema kuhusu 2025,2035 na 2085,Uwe Nami pamoja Kama Mama yetu alivyokuwa nasi Hata baada ya Baba kulala2017,nilipokuja Huko 2020 nikiwa na mwendelezo mrefu nasikiliza Wimbo wa Rose mhando-Ee Mungu nitakushukru kwa Sauti ya juu Kama Sina akili nzuri, Emma Anselemi alikuwa kaondoa Lock Kidogo Akaniambia Toro Watu wote walikata Tamaa na Wewe waliochini Umeshakufa,Kwenye Msiba wa mzee kila Mtu hajui awe rafiki yako au ndugu yako,sikufichi nimekuona na Machozi nalia unaniona,Aise siku nyingi Sana,Sikumjibu Kwa kile kilichonyuma ckuja Sasa kumuaga na kiroho alikuwa pamoja Nami Huko dodoma kwa Ufunuo wa Chumba chake Cha uzeeeni Kunikabidhi Funguo nisimpe Mtu Yeyote nikifunga na kufungua Mlango niendako na nirudiko.

Nikilinda porini nikiwa na Kirungu tu usiku wa njaa na reggae+Kwaya( Coco- Alpha Blond,Bukuku- Waraka,Ambwene-Misuli ya Imani) chini ya Sengo Security Co.Sababa Mariki akiwa In charge na Jose Meneja tuliyekuja Kashindwana na Tarehe 17 za Mshahara,Alinifukuza ila Alinipa Mshahara.Tena nakumbuka ( alikuja kunipanga ofisi ya sampuli madini) na akanipa na Silaha ila sikudumu Hata kwa Marhemu Sitta Area C jirani na Edward Ngoyayi Lowasa nililinda na Nikiwa Mpenda mijadara ya Siasa sana baada ya Kutoka lindoni.

Ni hayo,Wengine hawapendi Hata haya kuyasema,Wasijue Mungu Ni Ushuhuda wa Njia unayoipita nayo utakumbushwa siku ya kisimamo Kama ilikuwa Kweli au Uongo?,Hapo baada ya siku tatu unusu tutajuana nao na hawatakaa wasahau mdogo Wangu.

Nilikuja kutafiti ukweli wa Mungu hasa Sehemu ambazo zimejaa changamoto na kutokuwa na hofu ya Mungu toka 2018 Mwezi wa Kumi na moja,yote hayo niliyajua
Baada ya kumaliziwa utafiti ili kuweza Kusaidia Nchi na dunia Katika kwenda kuitafta Amani Tuitakayo hasa nikasimame mpaka hapo dunia itakapohitaji Tena iwe njema na nzuri kwa mwendo ule ule wa kumshinda Shetani ajiinuaye kwa Kiburi hasa kwa watu na Mungu na Hata hao mawakala wake wasijue Kitu Cha Mungu kikikosea humsikiliza Mungu ili akirejeshe nilishindwa Mwezi wa tatu Mwaka 2021 kwa Ushahidi wa kusema Mara kwa Mara Kuhusu Mwaka wetu wa Uchaguzi wa 2025,Tutashinda,na 2020 nikiwa Singida niliulizwa na Watu wa kitenge Cha Hg tukiwa tunakunywa juice pale eti Mimi nilikutana na Yesu,nilijibu Kama Mimi Mwongo Chadema itashindisha wabunge na Mbunge wa jimbo la ukombozi kwetu mbele Yao na 2035 nikaitaja,Lakini Sasa nikiwa najazia Ee Mungu nitakushukru ya Mhando inaishi na iko vema siku hizi siipigi Sana,Tulishinda na Tutashinda Mdogo Wangu.

Kuna msemo wa Kula chuma hicho, nakwambia Sasa nawewe Kula chuma hicho Cha Tazama Ramani Utaiona Nchi Nzuri.Majira Ni yetu Mimi na Wewe Weusi,Bila sisi weusi Hakuna majira mdogo Wangu.

Tufurahi na weusi wetu,Black is gold Wahenga walisema.

Usihofu Kukuandikia barua,Nami nimepokea Kwa Paulo Kama Mwanaempendwa Katika Kristo na Mungu Baba,Kwa neno la Bibi Mwanandege, Alishindwa kutamka Jina Langu Akawa ananiita Timotheo,Nilipoitwa kwa wito niliitwa Timotheo na nyaraka ya Mlango wangu Ni 1timotheo1;12-19 nadhani unakumbuka Mwanandege alivyojipiga Kifua Mara kwa Mara na akiniita Timotheo.

Uhuru Mwenyekiti alifariki akiwa madarakani,ila alinijali Kama Kijana chachu ya Badae,alikuwa tayari kunilinda kwa vyovyote na nilipopendekezwa kuwa mgawa mahindi Kwenye Chama/stoo ya Kijiji nilikuwa na Ujasiri kwa Kula ya Budindi maarufu CHIEF,Kijiji nakitambua Sana kilivyonikuza,Na Mungu azidi kunisaidia Niweze Kuwatetea Matunda Mazuri si kwa watu wengine tu Hata Wao pia maana Mayowe ya wezi tuliitana pamoja na tulikwenda pamoja kuwatafta,tulipowakoswa tuliweka kikao Cha kuagana na mawaidha Mazuri,Mashauri Donati awamu yake alikuwa mkali Kuhusu Vijana na ukihisiwa unacharazwa na Badae Polisi utapelekwa,Mwanamanumbu,Mchibo,John Masaga,Kaka Paulo Makeja na Wengine nawakumbuka,Hitila,Philipo helemani kwa utani kuku na Mayai Yake Japo kalala namkumbuka,Ndakama na ucheshi nawakumbuka,bila Wao kijiji hakina Taa imara.

Nilikuwa Nyamwage-Km35 na Seregeni(rafiki yangu Kutambua divai) wa Majita Musoma kwa Mzee Mjee anawasalimia Sana Kanda ya Ziwa,Tumepamisi.

Basi Mimi Nataka Amani,Nchi inataka Amani na Dunia inataka Amani.

Kwa kuhitimisha Mungu anayehubiriwa dunia nzima Ni Mmoja tu kwa Mapito hayo,

Wako Katika Imani
Kusadikika wa wasadikika.
Mungu baba ni Mmoja.
Naye baba Nyerere ndo wetu mhifadhi, Tanzania Yetu ndo Nchi ya furaha.
 
BARUA KWA ROSE WA WASADIKIKA.
S.L.P WEWE NI MIMI
KUSADIKIKA.


KUTOKA KWA ADILI NA NDUNGUZE
S.L.P MIMI NI WEWE.
KUSADIKIKA.

Yah;Safari na Kudra za Wazee ili Kuisaidia Kusadikika.

Naam ndugu Husika na kichwa tajwa Hapo juu,Mimi Rafiki Katika Taifa moja la Kusadikika, Nakukumbuka kama nikumbukavyo watu wote wa nyumbani kwa msaada wao.

Kama nikumbukavyo Mara kwa mara maneno yaliyotabiriwa juu yangu na huyo bibi kizee( mwana Patero) ningali nasubili kwenda masomoni baada ya kidato cha nne.Nasema hasa ya mwana Petro maana yalijikita Sana na maandiko ya Biblia na ingali Bibi yetu(hakufanana na Watu wa kawaida- kama Kichaa (kwa Watu) now si mbele za Mungu(Roho takatifu ilikaa ndani mwake).

Alikuwa sawa.

Ulinisindikiza Stendi kwa Upendo nilitaka ukumbuke Kama nilivyokuasa ningali mdogo walimu walipopita na kusema umechukua akili Zangu((si za darasani Bali zile za kuchukuliana na Watu wote).
Fimbo ulinibebea kwenda stendi na ndani ya Gari nilikuta wimbo wa Bukuku-waraka,ulipgwa kutoka Ramadi to Mwanza Nyegezi.

Nilifika kwa Nkwabi vizuri,usiku nikawa natafakari nyimbo hiyo maana si Mara ya kwanza kuitolea Machozi,Kwenye Msiba kwa James ulikuwa unanisumbua Sana ukiwa unarudiwa Mara kwa mara Katika usiku huo.

Mimi nilikuwa Mtu wa Kulia tu mpaka nafika Mwanza(Kilio Cha Kusaidia).

Nakumbuka kutengwa kwangu leo na watu. hawakujua namna ulivyonisindikiza umenibebea fimbo yangu niliyokabidhiwa kwa alama ya utabiri na Bahaya Bibi yetu na akina Yusuph,kwa Mayala/Mtemi.

Nilipoishiwa Fimbo Yake Bahaya alinichapa, Akaniambia haishikwi ovyo ovyo Kama Nataka Fimbo anafahamu ninakotokea Mimi na wazazi wangu nimfuate Jumapili nyumbani kwa Dotto Moma (R.I.P) anitengenezee.

Nilienda Jumatatu,nikamkuta anashona nguo Yake kwa mkono wake,akanitolea nguo zake kifurushi nikifue,nilikifua.Judy na dada Yake mkubwa waliniona Hapo kwao nikiwa nafua.

Baada ya kufua,alinipongeza na akaleta Fimbo Fulani ambayo haijatengenezwa nijaribu kuichoma iwe nzuri Lakini nilishindwa,nayeye Akaniambia huwezi hii Ni Fimbo ya watemi(Nyerere hukumuona?,Mayala je,Sisi Ni Watemi),Hata Wenzio Wakina Yusuph wamejaribu kuitengeneza wameshindwa.(Basotola).

Basi aliitengeneza,Alipomaliza Aliniita sebuleni kwake akanipa kiti nikakaa,na Akaniambia nichukue nikae kifalme(Sikujua),akanikalisha pale na kuniombea,akashika viganjabna kunitemea mate Huku anaomba,alitetemeka Sana na majasho yalimzidi na Badae akakaa kimia Kama kapoteza Fahamu,na alipozinduka aliniambia kawaona Malaika wameshuka wanashangilia Hivo akanitabiria huenda yatakuja Mambo Makuu ya Mungu itabidi niyafanye niingali naishi duniani.

Dada Yake na Judy(Doto moma Familia) aliniona kipindi naombewa.

Na Nasaha nikapewa,Akasema Ulokole umenifanya niwe Kama Kichaa kwa watu,wewe ukawe shahidi yangu kwa watakaokuwepo na kwa Mungu.Hiyi Fimbo usimpe Mtu ovyo Ni Fimbo ya wema.Kwa hiyo usiigawe hovyo kwa Mtu Yeyote Hata Vijana Wenzio.

Nilitaka kuwa na Fimbo Sababu ya Yale maneno ya Bibi Mwanapetro ya kutabiri juu ya Watu na hatma ya mda,Alisema Watu wengi Wanaiona Biblia imepitwa na Wakati njoo unyoshe,kuna Fimbo inakuja utapewa na kiti cha mkuu wa Wakuu,na huo Mti wa Enzi ni Wewe na urithi ni Wewe Sasa kuna Vita(Burugu kisukuma)Njoo uvipgane pasipo Kurudi nyuma ili Ukateme utawale.(Ukateme ukatawale ntemi obatemi Alilia kwa Sauti Sana).

Hapo nikakumbuka fomu tatu nilipokuwa na Mazoea Kaka Yake na Samsoni Soni yeye katangulia mbele tulipokuwa tunaelekea kwa Shingwengwe(Muonaji) wale jogoo walionirukia na mmoja akanipanda kichwani na kuwika,Kwa maneno ya wapita njia Ghashila amakanza(Muda umekwisha) bwela bhungi(Kumekucha) oyo kimala Chalo na maboni( Sehemu zote na Watu wote).
Haya mama nilimwambia.

Hata Muonaji mwana Mwalu Huko Magusheshe mwalinachadulu naye alianza Nami vema (alinipenda Sana na yeye akasema Kuna maneno utakuja uambiwe na Wakuu Huko unakoenda kusoma,Ni Mazuri Sana Hata sisi tutakuuliza shida zetu Wewe,Na utaanza Kuona Kama sisi utakapoambiwa hayo maneno(utashinda kid4) Lakini utaanza kuishi kinyume na watu,kinyaa( usiogope Ni mafuta Naona/uzuri),Mungu/ welelo anakupenda).Wewe siyo Mtu wa mawazo na huzuni,acha mawazo na huzuni una maisha Mazuri,Akasema.Kuhusu nitakuja kufanya Nini alikataa akasema haruhusiwi kusema nitaambiwa Huko niendako,Utakuwa unatoka darasani unaenda kulala,Alisema.
Mama nilimficha na Baba kwa Wakati huo Kabla ya Bibi Mwanapetro.Hapa nilitanguliza maombi kwa Mungu Kama tulivyokuwa Tunaomba Kwa Siri mdogo Wangu ili were uwe shahidi wa hayo,Imani Ni Watu your yaliyo Mazuri na Kinyume na Watu yahusuyo Mungu Ni Mazuri yafaa kea Kufundisha.

Kuhusu dalili ya hayo ya Muonaji,,Ni Kweli za Kweli,(Mistari mitatu upo wa pili) kwenye matokeo ya mtihani mkoa Kama Dalili alipatia. Akawa Sehemu ya Kumbukumbu nilipokuja kuanza vita,Ni baada ya Mafunuo mbele ya kiti Cha Enzi ya Dunia Cha Yesu kristo wa Nazareth.

Nilisali Chuoni Tycs,Casfeta,Sabato na Mengine ya Kikristo ila maono niliyaona nikiwa Casfeta Chini ya Baraka Adofu Kama mwendeshaji wa ibada,Na Mungu Ni Siri na mja wake.Na Hili Lina Ushahidi wengine wslifikiri napeleleza,hofu Yao tu.

Na Emmanuel nikodemo,MTYCS na MHGd aliniambia baada ya kushuhudia,nisijione Sana nitakuja kuwa Chini ya Mtu.(Kongo na Sudani ya Kusini kutimiza majuma70 na maono),Ni Kweli Huyo Mkuu wenu ndo anisaidiaye kuyafahamu hayo na ya Kweli.
Na Leo siyo Huyo Tu,Hakuna Mkuu kuliko Serikali ya Nchi ndani ya Nchi.

Kuhusu yule Mwana Petro,


Wote mtakuwa mashahidi na Majirani,maana Shemeji mama Kulwa na jirani aliniambia nisiyapuuzie nitakuwa nimetumiwa yule Mtu na Mungu,alirudia Mara kwa Mara na akanisisitiza nisome kwa bidii ili Nije nisaidie Kama Kaka Yake Ambaye alikuwa anapandishwa nyota Bwana Alex(wanapendana) Namna alivyowasaidia nyumbani kwao Huko Bunda.

Lakini pia mke wa ndakama kabadi,Mama Kangu Naye hakusita kuwa pamoja Nami hasa alipokuja kuniambia Mimi nikipewa nichague waziri nakuchagua Wewe kwa hiyo jitahidi uje ugombee Ubunge baada ya masomo kipindi anachoma mikaa mashambani selya nilipokuwa napita natoka kulima Shamba Langu la Miwa Huko karibu na Sungwa Mjomba na Anselemi(R.I.P) Mwalimu wangu.

Mwanapetro Bibi mpita njia aliyeweka kituo nyumbani baada ya siku,nikasikia
Maneno ya dada Kili-Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna (baada ya utabiri Kesho yake) nadhani unakumbuka Hata nilivyokuwa nanuna Hata Sasa Wapo wanaomwambia wifi wako kwa Maha Mwanetu sijui Kama ndani nacheka eti,Kumbe Uhuru wa Kimungu ni Uhuru wa Amani ya wote,Nilikuwa simple mpaka kukohoa kwangu Kama Mtu Yuko karibu alifikri nimemuita kwa yule anayependa Uhuru wa ndani ya Nyumba,Mpole ni mrithi wa Mungu mbele za Mungu.Nilipokengeuka kwa kuhofia kumuumiza mke wa Mtu Mungu alinirudisha kwa Mafunuo ya wimbo wa Uongo Si Kitu chema ndugu Sikia,utendayo hayo wamchukiza Mungu,Jitahidi ujipatie sifa njema,nakusihi uzidi Katika kila neno baba Mtumishi wa Mungu utende haki zote ,Tangu hapo aliniona Chizi na Watu Akawa anawaaminisha Hivo eti Mimi Ni Chizi na jinsi alivyokuwa mrembo na Mwili anao Wanaume hawakujua kilichonyuma ila waliniona Mimi Chizi,Sheria ya utafiti kwa lile unaloona la Kawaida shiriki vitendo utaelewa kea Nini imeandikwa Usizini.

Huzuni zangu na maneno juu ya mwonekano wangu yalinitesa tangu huko. hayo nayakumbuka sana yalinihuzunisha sana ndugu yangu lakini nilijua nikitoka huko yatakwsha kumbe ndo kama yapo hayo maishani wangu.

Basi nilikuja kusoma na nilimaliza salama ila yalitimia yale yaliyosemwa nymbani na huyo bibi kizee nikweli nilipewa fimbo na kukaa kwenye kiti cha kifalme kulia mwa yeye aliye mkuu zaidi mbele ya watu wa dunia yote Mahala pa Mwanga wake.

Na hapo nilitaka yafanane nayale ya kwenye biblia(nikakumbuka niliambiwa na Mzee kamambi-ukiona Jambo limekutokea likifanana na Biblia kubali, nikiwa naombewa mtihani wa kidato3 aliponiita peke yangu). ila yeye aliyempole aliniweka kifuani kwa kunikumbatia akanipa hivyo vyote na akaniambia niifungue timoth 1,12-19 niisome ni kweli yalitimia yaliyotabiriwa kipindi sijatoka nyumbani Lakini hata huyo dada yetu Tereza wa debera naye yalimtokea usiku wa 00;01 1/1/2013 akaandika kwa mkaa ukutani wakiwa na baba Salome(mzazi mwenzie) ya kuhusu hatma yangu mbele ya majeneza matatu nilikuwepo wa nne ndani, nami mfu lakini rangi ya bluu ilifunikwa kwa juu na baada ya hayo matatu nilitafutiwa nyumba angu ila niliwekwa na badae nikawa mzima ila mtoto mchanga niliinuliwa juu na watu wote wakashangilia,Alinisimulia baada ya Mimi kumuomba Twende kwa Mzee Kirumba nikamusimulie Kama nilivyoapa kuwa Akikataa baba mzazi nayaacha,Lakini naye yalimtokea ila hakuwahi kunambia Mimi tu maana Seko Ndo alipokuja DSM akija kuniona Chuoni Alinisimulia na kuniambia Niende kwa Mzee Kuna Mambo aliyasema nikasikia,Nilisikia juu yangu na Hata habari za Muonaji alizikubali na akasema Mungu hashindwi uko Sawa endelea Kuomba ila Mimi nilijua siasa tu yeye akakataa akasema Ni Mambo ya Mungu hayo siyo siasa tu, basi Mwambie dada yetu asiogope maana kwa lugha ya nyumbani yalisemwa kuwa Iyenge nakumwila uilomboyo owanza,Ni jibu la swali la Alloni Kazinja Chuoni rafiki na Oscar mbuzi aliponiuliza Muulize Mungu Ni Nini hatma yako ikiwezekana Mipaka na Muda wa Kuanza wito wake, japo mda huo dada hakuwepo mwanza mjini lakini yalitimia pale kaka yetu alipohama akarudi nyamatongo na tedi akatoka nyamikoma akaenda mjini na leo akiendelea na kujituma kupambana,Na maisha Ni kudra.

Narudia tena Niliposhuhudia,,waliniambia niombe nijue hatma yangu na Mipaka ya Kazi pamoja na Mda(Mate wa water supply Alloni kazinja rafiki yake osca mbuzi.Yote yalijijibu kwa Wakati na Nikiwa naandika leo Tena Kazi inaendelea,Kazi yangu Ndo ndo Kazi ya Watu.

Neno vita liliniwazisha sana ndugu yangu na mdogo wangu,Sitalieleza kwa kina ila Mungu huyaruhusu yote kwa Makusudi yake ni kweli niliviishi.Niliomba Mwenyewe kwa Kusema anipitishe kwa watu waliochini nijifunze kwanza asinipeleke juu moja kwa moja,hii niliipenda Mijadala Mingi iliyokuwa inafanyika Udsm na Sehemu zingine Kuhusu Taifa na usomaji Sana wa magazeti ya Raia Mwema na Rai(critical writting) Hivo niliazimia hivo ili niwajue Watu kwa msaada wa ufumbuzi wa utatuzi was migogoro na kero,Nilikuwa patwa migogoro na nilikuja kukereka Sana nilipoanza vitendo,niliambiwa imani Ni Matendo,Mimi Matendo Sina,eti Nina Maneno tu.Hata nilipoanza vitendo niliambiwa eti anataka apendwe na Hakuna Mtu anayemoenda anajipendekeza tu,kusini nilipokuwa Kuna Baridi na matufani Mengi ila Mungu kwa No Woman No cry, Ayubu7;1-4 nikiwa dodoma nasubili ajira Alinipa miezi 6 tu kwa Marejeo hayo, niliweza kuhimili vizuri tu.

Maisha Ni Watu,Na haya Ni Mambo ya Watu,Yule Mtu wa Watu anatakiwa awe Mtu muungwana,Ajivikaye upole,abebwaye na kila jamii ili Mungu atukuzwe kila sehemu.Ni upole tu Ndo utastahimili cheo kikuu Hata baada ya Kufa.

Nilkwandikia haya maana nilikuwa nakukumbuka sana hasa ulipokuwa unawahi kutoka shule ili unipikie kaka ako, japo ulikuwa unapika kitoto(kwizungeleja) tuviazi kwa lugha ya kwetu na pale ulipokuwa unafunua viazi unaniibia na kuniletea hata bado havijaiva (nakupenda sana mdogo wangu)na kuna siku ulipokoswa na gari ukiokota viazi barabarani nilikuona kwa mbali kipindi natoka shule, nilishindwa kusema hyo siku.
Nahayo yote ni sababu ya shida zetu maana mama yetu alitulea kwa shida sana(alipokuwa anauza nyasi kutoka kijijini kwetu mpaka huko buyolwa wakati wa kiangazi akienda kuzitafuta mchana na jioni huku akisaidiwa kukopeshwa na vijana wa maduka unga, na madeni yalipozidi hawakutuacha waliendelea kutusaidia(ikikupendeza Mungu baba Uwe mwema wewe kwake na kesho yako.

Na Senzeka na Jame nawakumbuka juu ya msada wao na wengine wote na ile kalamu ya polina, sikumfurahisha nilipokuja kusalimia maana nilukuwepo katika wakati wa vita.

Yale yako,basi nilienda kulala kwanza niliamushwa na hodi zako uilipoivisha viazi vyako(sasa nasema asante mdogo wangu) uliniuliza kuwa kwa nini silimi napenda kusoma tu,nilikujibu kuwa tukiendaga eneo la kanisani (roma)usiku waga nakwambia uombeje kwa Mungu,ulinijibu kuwa Mungu akusaidie uje utusaidie.Basi haya haya nitayakumbuka kesho na mdawangu wote wa kuishi kwangu.

2017 nilipokea Taarifa mbili nzito Kifo Cha mzee kupitia kea Grace Kamambi na nilikuja kupigiwa Tena umeacha Shule na huonekani kidato Cha kwanza tu Ukaona Inatosha,Ziliniumiza Sana Hasa hi ya Wewe kuacha Shule maana Kifo Ni Mipango ya Mungu na anayemtegemea Mungu Hadi ila huishi milele,Baba Yu Namna ya milele kwa kile alichokiamini.

Kipindi naandika haya nilipata mfanyakazi wa kumlea Maha ze soja(12 miezi)Mwanangu alipokuja anaulizia Asbuh kwa Nini hasikii alikaa kimiya,ila alipoambiwa nitakupigia na wifi yako kwa mwanetu alijibu,ukinipiga unajichosha tu,Baba alinipinga nilipokuwa Shule la tatu angalia kidogo anivunje got,Maneno ya Salima Juma Rajabu(14-Nyamwela) kutoka Kibiti ya Lwaluke Nchukwi(Kwa bodaboda Nauli 16000 kwenda kurudi 2023) ndani Kama unaelekea Songa hospital,najazia tu hayo ndugu yangu,ili nikija kwa watu niwe na Mambo ya Watu.

Wakumfuata Eliza alizaliwa salama hatukuwepo nyumbani kichwa kiliniuma mama akaniruhusu nirudi kipindi hicho tulikuwa tunafanya vibarua ili tule basi mwambie mama yake kuwa Nayakumbuka hayo na ule wembe na vitu vingine ambavyo mama kulwa(shemeji na jirani)aliniambia nivilete baada ya kwenda kumuita.SINA WEMA ILA YEYE ALIYENIFANYA NIUMWE KICHWA SHAMBANI.

Basi niliishi maisha ya kunyume na watu yaani kwenda tofauti sana na macho yangu na uso wangu watu hawakuthubutu kuniangalia mojakwa moja na hata Pambalu nilipoenda kumsalimia Mbowe gerezani niliahidiwa hivyo katika ndoto na badae nikaahidiwa nitazungumza na mama samia mwaka mmoja badae nitapata mazungumzo marefu sana na utulivu wa juu nikiwa naandika hapa nayasubilia hayo.

Kwa hyo mdogo wangu kama walikuwa kama wanaangalia pembeni na sikujulikana kwa wema bali ubaya.Nilikataliwa hasa huko Nilipoyaona hayo,Utete nakote nilipothubutu kuwepo nakumbuka nilipokuja kwenye msiba na hapo ilikuwa hivyo.Nilihuzunika sana lakini sikuwaza hilo ila nilipoambiwa mama aliulizwa kuwa kama anayo hela wampeleke hospitali lakini akasema hana basi ikawa subira hvyo na gari halikuonekana.Ilikuwa hivyo siku sita kabla nilinuona mama akiimba wimbo wa tabu zangu sikiisha, basi tuyaache.

Ukumbuke pia ubishi wetu Mimi Na mama Kuhusu Yupi Ni Mwimbaji Bora wa nyimbo za injili Mda huo,Ambapo mama Alimpa Rose Mhando na Mimi nilimpa Bahati Bukuku mpaka Tulikuwa tunachukizana Lakini yote ilikuwa Kazi ya Mungu kwa Mda ,

Muda huo nilipakiwa nijue,Waraka wa Amani,Nani asimame aitikise dunia,Tsunami na album yote ya Bukuku ya Mda huo ili Nibebe vema kusudi.

Lakini baada ya Kurudi masomoni Wakati wa pili,Shahada ya kwanza ya Mambo ya Maji kabla ya matokeo ndipo nilipoambiwa kuu la kuwepo ni Hatumo-Rose Mhando.

Na albamu yote ya Mteule uwe macho ikajijibu na kile kilichokuwa kinanitokea.

Lakini historia ya Mhando Ndo niliipenda Sana Hasa akiwa Kitoto kidogo Yesu anamponya na Kumuita Ila mkono Kama wa Mzungu,Ni Ushindi,Nani asiyemjua Rose Mhando Ni Nguli wa nyimbo za injili?

Wengi wanafanya vizuri ila kila nyimbo zipo kwa ajili ya kumsaidia Mtu kwa Wakati maalumu kama Mungu atakavyo.

Alipokuja amakasirika Mama,Marium Lukasi Masota anamsema Mtu wa kwa Mda mrefu alafu anafunga kwa wimbo wa Katoliki.Usemao.

{Mwenyezi Mungu ameniumba,
kaniweka Kati Yenu,
Niwafundishe Watu wote,
Thamani yenu duniani.
Chorus,Acheni,Acheni kukata tamaa
Acheni,Acheni Kufa Moyo
Yeye aliyewaumba Ndo anayeijua Thamani yenu}

°°°°=Huo uliimbwa na Mama yetu Huku anasukutua Maji kamaliza Mda mrefu anamsema kwa nguvu Mtu aliyemkosea°°°°.Kwa Mda huo Yeye kinywani alikaa Sana Mungu,ila Kwa Baba Yetu,Pastory Misoji Nkwabi Huko AlizungumZiwa Sana kinywani Yesu mnazareti.

Kila Jambo na Wakati wake.


Hata Kwaya za Roma-Yesu Ni Mwema makuburi walikuja kunisaidia baada ya majuma 70 na ile safari ya Mbowe Uingeleza pamoja na Vikao vya CCM Taifa hasa kile kilichokuwa siku moja na Vyama hivi vikuu viwili.Tarehe8/07/23 kwa kile kiitwacho nikwa ajili ya Taifa na Amani ya Dunia.


Basi Rudi kimawazo nyumbani,Hayo ni ya nyumbani lakini yapo mengi ila niliutaja kwako mwaka 2025 na mwaka 2035 na tulipotembea tuliyakuta hayo nakumbuka kuwa nliambiwa mbele zako kuwa Mwaka wa ushindi unaujua watu wamepata mavuno umekuwa wa kukaa peke yako na ukitoka naiona mikono miwili inakupokea ni ushindi ila huu mdogo kwako kama unavyoweka mikono juu usiku na mchana basi yatatimia yote.nadhani ulisikia.
Na jimbo letu nchi yetu katika dunia ya Mungu,Mungu wetu wote,dunia Yetu. Nimeyaandika ila nikuibie siri nimeambiwa nikuchukue nikae na wew pamoja na mama ila wewe uwe na amri ya wote nyumbani kwangu ila nmekumbushwa kuwa Aloyce ambaye ni kaka yetu tumuige hakutubagua kabsa tumuombe Mungu tuwe kama yeye ikiwezekana tuzidi hapo.

Tutakaa Mwanza Nyumba zenye vyumba juu na chini na Mama yetu(mwanaluka haha hah umaarufu kwa shida zake) tutakuwa naye pamoja alituita tulipokuwa tunacheza akiivisha chakula.Kwa mapenzi ya Mungu yote yatawezekana.

Shukrani sana kwake,(mimi kwa sasa nikiandka haya niliitwa mchoyo(mahuhu)ni kweli maana niliogopa watu sana na hasa kula mbele yao na nikibeba kitu nilihisi nitawanyimaje kweli hivyo nikiri sikupenda na hata niliwaza kuficha).Haikutosha hata kuwaangalia usoni niliona aibu sana mdogo wangu.

Misoji(6) mtoto wa bro yetu ndo aliniambia nimjengee bibi yake nyumba aliamka asubuhi sana wakati wa mvua kubwa inanyesha mim nilikuwa nimelala bado akaniita baba mdogo ona nikaangalia ule Msingi wa Nyumba yetu, ni kweli maji yalikuwa Mengi.

Sina wema(ila yeye anayetupa mawazo mema yazidi mabaya tuliyinayo) ningekwambia mengi kuhusu madam wa kazini alivyonivumilia na kunishka mkono ila hakusema nimsemee basi neno moja alipenda kulisema nalo siyo lake bali la Mungu yaani Roho mtakatifu atatuongoza.Nilipenda neno hili nilipokuwepo karibu naye.

Basi nami nasema Roho mtakatifu awe mbele yako yetu na yenu pia.

Nipumzike sasa kidogo (Jan 2022- dsm)matumizi ya mwamba akiwa tumboni Bado yahakuwa sawa nilichokwa kidogo kwa mda nguvu zikapungua,haya yanahitji nguvu,badae basi.Maana tuyaweke yote sawa si kwa kudharau mengine ila lililokuu ni kumkiri Mungu mkuu.

Ulimwengu una Kitu husuda Hata Mapito hayo nilipoyaelezea Badae Wapo waliotaka nisiyaseme ili wayaseme Wao,Na Wapo waliotaka wanitengenezee Habari wazitakazo wao,niliwaruhusu Hivo ila mwisho wa siku Mungu ni Mkuu wasijue maana ya hayo kwa Bro wako Tom yakamfanya Ashinde.

Eti Muone sura yake,Yesu alikuwa hanuni Huyu ananuna,Mtu mzima ovyo kwa hofu yangu,Fadhaa ya Uso na Kupenda Uhuru wangu Wakati wa kula(uroho) ,Kuongea stori na Kama Mtu haongei naendelea kwa uzuri wa maongezi wengi waliniacha ili kiwe kiboko Cha kunipigia,yaani anaongea Sana.

Mda huo nikakumbuka nilivyokumbatiwa na Mtu bara Mtu Mara Mtaa wa Survey nilikuwa nakuta wimbo wa Paul Mwai-Nitatangaza Wema wako,Huu ndo ulikuwa Nami hasa Kwenye Mazito na Magumu yaliyotoka vinywani na vifuani mwa Watu na Bukuku -Lazima usamehe ili Mungu aseme Nawe Katika Usambamba huo niliiamini vile Katika Gari ya Dodoma (iliyokuwa inapaki sabasaba nilipouzaga Karanga na picha ya kumbukumbu ipo) imeandikwa Wamtumainio Bwana Ni Kama mlima Sayuni,Hawataangamia na leo Niko na kiba Pamoja na Christian Bella nishamaliza ng'ombe mzima nimebakiza mkia maana yake si Mda ama tayari nianze kuiona Kesho iliyopangwa na baba ya Mwaipaja.(umepewa bure to bure) hi ndo freedom.

Vita vya kiroho Ni ngumu kuvishinda kwa akili ya Kawaida,Lazima Mkono wa Mungu uingilie,na hapo unatoka kidogo kwa Watu na Marafiki(No woman No cry) hata ndugu yaani A.L.M mwenye kujua hayo maana yake Ni Mungu tu Na wale alowajalia Roho takatifu ila wengi watajikuta wanatoka nje na kukufuru kana kwamba kiumbe Cha Mungu watakiita Chehu,Karogwa,Laana,kaua,Mwizi,Bhangi na majina Mengi mabaya Ambayo hata moja hutasikia linatajwa mbinguni Wao ndo Yao.Hayo Ni mapenzi ya Mungu Katika kristo Yesu Tanzania Assembly of God,Dodoma makao makuu,Na mpaka Sasa Bwana ametusaidia(1Samwel;7;12).

Usisahau Binti mfalme alizawadiwa ng'ombe wa kike jina Marium kwa waroma Maria aliyekuwa na mimba ya miezi 8na Mda wa Mwezi wa Tisa tarehe Tajwa atajifungua(mwanacasfeta 2012-maji).

Mungu Nilikuwa Namuomba Sana na nikataka Nije nishinde kwa Wema pasipo kuleta Maasi ili Tuendelee kuwa na Amani Kama tulivyokuwa tunasimuliwa na Mama na Baba kuhusu Kambarage wa Butyama alivyojitoa ili Nchi ikae salama,Tulikuwa wadogo sisi ila baada ya mkapa Kutangaza taarifa zilikuja na Nkwabi kwa Mama, alikuwa anapika,kuwa Mwalimu Kambarage Kafariki,Mama Alilia Sana na hofu Yake akasema huenda tutapigana sisi kea sisi Huku analia,Alisema Huyu alitabiriwa Kama Zagamba Nyeusi imemuondoa Muingeleza Watu wamefurahi kwa Wazee wa Jadi ya kisukuma wa zamani zile,Kumbe Mwalimu alikuwa Bora kwa Mengi hasa kupika viongozi na leo Taifa Ni Moja na Mjukuu wake wa Jina Fimbo Yuko nayo,Sijui Kama Kuna Jambo litaharibika!

Ningekupa ya baba, kuhusu Rafiki yake kiroho(hawajawahi Kuongea) Kambarage wa Musoma Namna alivyompenda,hasa Maongezi yaliyojaa Hekima,heshima,Utu,Umoja Kama ndugu na Kumcha Mungu(Biblia+Kuswali) pasipo kuharibu uwepo wa imani zingine na Hata kuheshimu Fikra kinzani.Baba alivutiwa Sana na Kambarage na tangu awasikilize wote ila bado wa Kumfikia Mwalimu aliapa Hivo,2015 nilipotoka Chuo nilipigiwa Simu na Manziro mbele ya baba nikiwa na Kapinga rafiki yangu kuhusu Kuwahi kutoka Chuo Kama Ni kuwania Ubunge,Lakini nilikataa.Lakini baba alipenda nilivyoulizwa kuhusu kugombea Nafasi hiyo,Ila nakumbuka mkoti wake na Fimbo yake na kiti alichonikalisha kwa Kaka yetu Aloyce Kabla sijaondoka Nyegezi-Dar.

Nilifurahi sikuvua na niliondoka Hivo nikaenda kuwapa wakoma wa barabarani vijisenti kidogo kidogo mpaka nilipoishiwa,Nilienda kwa Machozi na nilirudi kwa Machozi na Kesho take nilipakiwa bajaji ya bro Nkwabi kwa machoxi na nilisafiri nalia na Fimbo yangu ile ya Bahaya mpaka dar nikapokewa nayo na Mtoto wa Marehemu Fedi (James Fedriki) na sikumbuki vema Kama Mbagala kwa Mjomba Nilienda Nayo( ila Ishara Yake niwe nayo Muda wote Kama Kambarage Wa zanaki au Mtemi Mayala Huko NASA).Chuoni waiiona wengi na mbiyu hakunishanga na tuliposali pamoja na mchungaji aliomba kwa Wema na Moyo ulipohitaji niliitupa chooni na siku si nyingi nikaja Kufufuliwa Mambo yote Kanisa Katoliki(mtikisiko),Mti uliokua juu mpaka Mbinguni na Cha tatu Nilimuona mfano wa Mtu Ambaye hakuniruhusu nimuone Uso wake ila rohoni Mpole naye alinionea huruma na mavazi Yake yalikuwa na unjano na kichwa chake Ndo Mwanga wa Sehemu zote Kuonekana kote duniani na akaniweka Kifuani kwa huruma na ukarimu na tukaenda kidogo ndipo viti viwili na meza ikawepo yeye akaniweka kiti Cha kulia na Fimbo Yake akanipa na Watu Wote wakashangilia Sana.

Nikatoka kiroho na kushudia mbele Ya Baraka Ado na Magesa Pati na waliponibishia,nilinyosha mikono juu Kama nilivyokuwa nafanya mazoezi ya kuwa na nguvu home niliyofundishwa na braza uwekaji wa Mikono kwa Jimu,Hapo nilipokuwa la kuwa Mzee kamambi aliniambia a nikiwa na Magadula kipindi anaenda kutuombea kwa Ajili ya mitihani ya mwisho kidato4 alisema,Wewe,Mimi, nirudi Kwanza,Ndipo akasema Neno Lolote litakalonitokea kwa jinsi ya ajabu likifanana na Biblia Niweze Kulikubali,Happ nikauliza Hivo,Nikaambiwa nisome 1timotheo1;12-19.Nilijawa furaha kubwa Moyoni na Nikaambiwa niende Kesho take nikashuhudie darasaniHG wa Mwaka Wangu2012 ,nikpewa msisitizo kuwa nisipofanya Hivo nitarufishiwa magonjwa yangu ya Tumbo kujaa gesi na Mengine,Hivyo nilifanya Hivo,Na Baada ya hapo si Muda nikaanza kulitumikia neno Hilo Huku nikifunuliwa maono,na njozi si kwa mapenzi ya Mtu ila Mungu Hata nilipowaambia Watu hawakuweza kuelewa ila miaka Kadili ilivoenda maono na njozi zilikuwa wazi nahisi wote wengi Hata nyumbani wote nimewasimulia.

Kwa hiyo Mdogo wangu,Nakupa haya maana wengine hawapendi Mafanikio na ingali husema wanapenda Mungu,Amka utawakuta yako Kama nilivyosema kuhusu 2025,2035 na 2085,Uwe Nami pamoja Kama Mama yetu alivyokuwa nasi Hata baada ya Baba kulala2017,nilipokuja Huko 2020 nikiwa na mwendelezo mrefu nasikiliza Wimbo wa Rose mhando-Ee Mungu nitakushukru kwa Sauti ya juu Kama Sina akili nzuri, Emma Anselemi alikuwa kaondoa Lock Kidogo Akaniambia Toro Watu wote walikata Tamaa na Wewe waliochini Umeshakufa,Kwenye Msiba wa mzee kila Mtu hajui awe rafiki yako au ndugu yako,sikufichi nimekuona na Machozi nalia unaniona,Aise siku nyingi Sana,Sikumjibu Kwa kile kilichonyuma ckuja Sasa kumuaga na kiroho alikuwa pamoja Nami Huko dodoma kwa Ufunuo wa Chumba chake Cha uzeeeni Kunikabidhi Funguo nisimpe Mtu Yeyote nikifunga na kufungua Mlango niendako na nirudiko.

Nikilinda porini nikiwa na Kirungu tu usiku wa njaa na reggae+Kwaya( Coco- Alpha Blond,Bukuku- Waraka,Ambwene-Misuli ya Imani) chini ya Sengo Security Co.Sababa Mariki akiwa In charge na Jose Meneja tuliyekuja Kashindwana na Tarehe 17 za Mshahara,Alinifukuza ila Alinipa Mshahara.Tena nakumbuka ( alikuja kunipanga ofisi ya sampuli madini) na akanipa na Silaha ila sikudumu Hata kwa Marhemu Sitta Area C jirani na Edward Ngoyayi Lowasa nililinda na Nikiwa Mpenda mijadara ya Siasa sana baada ya Kutoka lindoni.

Ni hayo,Wengine hawapendi Hata haya kuyasema,Wasijue Mungu Ni Ushuhuda wa Njia unayoipita nayo utakumbushwa siku ya kisimamo Kama ilikuwa Kweli au Uongo?,Hapo baada ya siku tatu unusu tutajuana nao na hawatakaa wasahau mdogo Wangu.

Nilikuja kutafiti ukweli wa Mungu hasa Sehemu ambazo zimejaa changamoto na kutokuwa na hofu ya Mungu toka 2018 Mwezi wa Kumi na moja,yote hayo niliyajua
Baada ya kumaliziwa utafiti ili kuweza Kusaidia Nchi na dunia Katika kwenda kuitafta Amani Tuitakayo hasa nikasimame mpaka hapo dunia itakapohitaji Tena iwe njema na nzuri kwa mwendo ule ule wa kumshinda Shetani ajiinuaye kwa Kiburi hasa kwa watu na Mungu na Hata hao mawakala wake wasijue Kitu Cha Mungu kikikosea humsikiliza Mungu ili akirejeshe nilishindwa Mwezi wa tatu Mwaka 2021 kwa Ushahidi wa kusema Mara kwa Mara Kuhusu Mwaka wetu wa Uchaguzi wa 2025,Tutashinda,na 2020 nikiwa Singida niliulizwa na Watu wa kitenge Cha Hg tukiwa tunakunywa juice pale eti Mimi nilikutana na Yesu,nilijibu Kama Mimi Mwongo Chadema itashindisha wabunge na Mbunge wa jimbo la ukombozi kwetu mbele Yao na 2035 nikaitaja,Lakini Sasa nikiwa najazia Ee Mungu nitakushukru ya Mhando inaishi na iko vema siku hizi siipigi Sana,Tulishinda na Tutashinda Mdogo Wangu.

Kuna msemo wa Kula chuma hicho, nakwambia Sasa nawewe Kula chuma hicho Cha Tazama Ramani Utaiona Nchi Nzuri.Majira Ni yetu Mimi na Wewe Weusi,Bila sisi weusi Hakuna majira mdogo Wangu.

Tufurahi na weusi wetu,Black is gold Wahenga walisema.

Usihofu Kukuandikia barua,Nami nimepokea Kwa Paulo Kama Mwanaempendwa Katika Kristo na Mungu Baba,Kwa neno la Bibi Mwanandege, Alishindwa kutamka Jina Langu Akawa ananiita Timotheo,Nilipoitwa kwa wito niliitwa Timotheo na nyaraka ya Mlango wangu Ni 1timotheo1;12-19 nadhani unakumbuka Mwanandege alivyojipiga Kifua Mara kwa Mara na akiniita Timotheo.

Uhuru Mwenyekiti alifariki akiwa madarakani,ila alinijali Kama Kijana chachu ya Badae,alikuwa tayari kunilinda kwa vyovyote na nilipopendekezwa kuwa mgawa mahindi Kwenye Chama/stoo ya Kijiji nilikuwa na Ujasiri kwa Kula ya Budindi maarufu CHIEF,Kijiji nakitambua Sana kilivyonikuza,Na Mungu azidi kunisaidia Niweze Kuwatetea Matunda Mazuri si kwa watu wengine tu Hata Wao pia maana Mayowe ya wezi tuliitana pamoja na tulikwenda pamoja kuwatafta,tulipowakoswa tuliweka kikao Cha kuagana na mawaidha Mazuri,Mashauri Donati awamu yake alikuwa mkali Kuhusu Vijana na ukihisiwa unacharazwa na Badae Polisi utapelekwa,Mwanamanumbu,Mchibo,John Masaga,Kaka Paulo Makeja na Wengine nawakumbuka,Hitila,Philipo helemani kwa utani kuku na Mayai Yake Japo kalala namkumbuka,Ndakama na ucheshi nawakumbuka,bila Wao kijiji hakina Taa imara.

Nilikuwa Nyamwage-Km35 na Seregeni(rafiki yangu Kutambua divai) wa Majita Musoma kwa Mzee Mjee anawasalimia Sana Kanda ya Ziwa,Tumepamisi.

Basi Mimi Nataka Amani,Nchi inataka Amani na Dunia inataka Amani.

Kwa kuhitimisha Mungu anayehubiriwa dunia nzima Ni Mmoja tu kwa Mapito hayo,

Wako Katika Imani
Kusadikika wa wasadikika.
Mungu baba ni Mmoja.
Nimemthibitisha Yuko na Milele na Milele.
 
Back
Top Bottom