Mnaokumbuka ile first eleven wakati mh. Kikwete anaingia madarakani, wakati huo PM akiwa mh. Lowassa.
Wakati huo mambo yalikuwa yanaenda bhana! Hivi sasa muda unakaribia ukingoni, bado pengo la Mh. Lowassa halikuzibika. Wale waliokuwa wanakomaa nae, wengine ni mawaziri leo lakini na huo muda mrefu wamekaa kwenye wizara, hawajafanya mambo makubwa aliyoyafanya Lowassa kwa ule muda mfupi. Sijaona kitu kinachopimika walichokifanya:
nikianza na mh. Samuel, cjaona kitu kinachopimika alichokifanya.
Mh. Mwakyembe kidogo anataka kufufua reli lakini bado azma hiyo haijatekeleza kwa hiyo alichokifanya bado hakipimiki.
Lile baraza la mawaziri la awali lingekuwepo angalau tungekuwa mbali kidogo, na haya mambo ya ajabu ajabu cdhani kama yangekuwepo
'ukibadilibadili wachezaji katika mchezo huo huo, tegemea timu kufanya vibaya' wizara za kupokezana vijiti hazileti utendaji uliotukuka.
NAOMBA TUMUUNGE MKONO MH. LOWASSA KATIKA AZMA YAKE YA KUTUMIKIA WANANCHI KWANI ALIFANYA MAMBO MAZURI NA YANAYOPIMIKA.
nawasilisha.
Wakati huo mambo yalikuwa yanaenda bhana! Hivi sasa muda unakaribia ukingoni, bado pengo la Mh. Lowassa halikuzibika. Wale waliokuwa wanakomaa nae, wengine ni mawaziri leo lakini na huo muda mrefu wamekaa kwenye wizara, hawajafanya mambo makubwa aliyoyafanya Lowassa kwa ule muda mfupi. Sijaona kitu kinachopimika walichokifanya:
nikianza na mh. Samuel, cjaona kitu kinachopimika alichokifanya.
Mh. Mwakyembe kidogo anataka kufufua reli lakini bado azma hiyo haijatekeleza kwa hiyo alichokifanya bado hakipimiki.
Lile baraza la mawaziri la awali lingekuwepo angalau tungekuwa mbali kidogo, na haya mambo ya ajabu ajabu cdhani kama yangekuwepo
'ukibadilibadili wachezaji katika mchezo huo huo, tegemea timu kufanya vibaya' wizara za kupokezana vijiti hazileti utendaji uliotukuka.
NAOMBA TUMUUNGE MKONO MH. LOWASSA KATIKA AZMA YAKE YA KUTUMIKIA WANANCHI KWANI ALIFANYA MAMBO MAZURI NA YANAYOPIMIKA.
nawasilisha.