Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo wanavyopenda.kwa nini umdnganye?
Hapo unanunua usumbufu heri sina answerToa ahadi. Hata kama ya uongo. Mimi uwa nawaambia ntakupa.
Ntakupa ni bora kuliko kumwambia Sina.
Sawa. Mimi siwezi kusema Sina. Ntamwambia ntakupa. Siku ikifika nikiwa nayo Nampa. Nikikosa ntamwambia bado sijapata. Inakuwa haimuumizi Sana. Kama kumwambia muda ULE ULE. Kwamba Sina. Ukimwambia ntakupa. Mwenyewe atajua akilini mwake kuwa jamaa kwa sasa Hana.Hapo unanunua usumbufu heri sina answer
ndo vijana wengi wa kibongo huwa tunakosea hapo,wewe kiyu kama huna mwambie mtu aelewe kuliko kumpa matumainim hewa.Sawa. Mimi siwezi kusema Sina. Ntamwambia ntakupa. Siku ikifika nikiwa nayo Nampa. Nikikosa ntamwambia bado sijapata. Inakuwa haimuumizi Sana. Kama kumwambia muda ULE ULE. Kwamba Sina. Ukimwambia ntakupa. Mwenyewe atajua akilini mwake kuwa jamaa kwa sasa Hana.
mengine hata kujishughulisha hayataki,yamebaki kuchat na kushabikia umbea wa mtaani.yanataka yapewe pesa bure bure tu eti kisa jitu lina papuchiIla kweli asee,halaf hiv kwanin wanapenda sana kuomba hela.?..tunasemaga wagogo ni omba omba ila wadada ni omba omba namba 1 duniani.
Ujinga wa hilo jibu lako utapigiwa simu za mara kwa mara kama deni arafu unampa tumaini huku huna uhakikaSawa. Mimi siwezi kusema Sina. Ntamwambia ntakupa. Siku ikifika nikiwa nayo Nampa. Nikikosa ntamwambia bado sijapata. Inakuwa haimuumizi Sana. Kama kumwambia muda ULE ULE. Kwamba Sina. Ukimwambia ntakupa. Mwenyewe atajua akilini mwake kuwa jamaa kwa sasa Hana.
Acha nipambane na yangundo vijana wengi wa kibongo huwa tunakosea hapo,wewe kiyu kama huna mwambie mtu aelewe kuliko kumpa matumainim hewa.
. Nashukuru. Wangu ni muelewa. Nikimwambia ntakupa anaelewa. Hapa nilipo Nina kiporo. Kesho natakiwa nikilipe. Ntampa.Ujinga wa hilo jibu lako utapigiwa simu za mara kwa mara kama deni arafu unampa tumaini huku huna uhakika
Ukute umeombwa Mwekundu tu au Faru John mmoja, ndio umekimbilia kufungua thread asubuhi asubuhi Hivi, twende jumuiya kwanza