LAMBOFGOD
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 1,561
- 1,315
Mliambiwa mtakula kwa jasho ni wajibu wenu kuzitafuta kwa bidii zote.
kula kwa jasho hadi papuch? acha masihala wewe
Mliambiwa mtakula kwa jasho ni wajibu wenu kuzitafuta kwa bidii zote.
Ha ha hakula kwa jasho hadi papuch? acha masihala wewe
we zuzu unapatikana pori gani?Ukiwa kwenye mahusiano. Lazma uwe tayari kwa yote.
Asiponiomba mimi Atamuomba Nani?
Hiyo ndo formula mkuuMtu anafanya kazi kabisa hela zake hazikuhusu zangu zetu wote
Ya saloon, kucha, Pochi, na batazz na mashostNa ya mwanamke ni nn?
We ni mwanaumeMahusiano ya kimapenzi a.k.a mahaba niue ni gharama amini usiamini.
Kitendo cha kuwekana moyoni ni hatua kubwa sana ya kuona sehemu nyingine hakuna msaada isipokuwa kwako.
Upendo unapokolea vizuri, mpenzi wako anaweza kataa 50k ya sehemu nyingine, lakini akaitaka/kukuomba 20k yako.
Kama inawezekana mkuu, ahidi.
Ahidi utampatia siku flani, ila siku ukiipata umpe kweli ili kujenga imani nawe.
Acha kulialia utakosana na wengi.
Wanaume tumeumbwa mateso na kuchakarika.
Ni nature mkuukwanin wanapenda sana kuomba hela.?
Kuwa makini inawekezana we ukawa zwazwawe zuzu unapatikana pori gani?
Kuna wengine anakuomba leo akitaka kesho umpe, mwambie sina uone anavyonuna.Toa ahadi. Hata kama ya uongo. Mimi uwa nawaambia ntakupa.
Ntakupa ni bora kuliko kumwambia Sina.
Mkuu afazari wagogo kuliko awa viumbe balaaaIla kweli asee,halaf hiv kwanin wanapenda sana kuomba hela.?..tunasemaga wagogo ni omba omba ila wadada ni omba omba namba 1 duniani.
Huyo wako balaa.Kuna wengine anakuomba leo akitaka kesho umpe, mwambie sina uone anavyonuna.
Nina mmoj hapa anaweza tu kunishtukiza kua kesho anataka laki 5, nikimwambia sina ananuna balaa, akipewa labda 3 bado atanuna. Ni shida tupu.