KULIKUA NA WANANDOA YANI MKE NA MME.SASA MWANAMME AKAWA NASHAISHANAA AU NAWEZA SEMA KUIKODOLEA MACHO MARRIEGE CERTITICET(CHETI CHA NDOA) then mwanamke akasema."mumu wangu,kulikoni..mbona unakodolea macho hichocheti cha ndoa .kinatatizo? mwanaume akajibu,hapana mke wangu nlikua nachunguza expire deti kwani nimeisahau.hatahivyo mchungaji katuchakachua kwani hajaandika expire date.itabidi tumrudishie akarekebishe.