mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Mbowe is our leader - he represents humility, honesty, integrity, consistency, and compassion not forgetting wisdom - no leader in CCM can match him.
Yaani wanachokitaka CCM kwa Chadema sijui ni kipi, kuna muda wanada kukiua chamana wamedhamiria kabisaa.
Kuna mda wanataka kiwepo, maana utakuta wanasema Chadema hela ya ruzuku wajengee ofisi..
Mnataka nini CCM? Mnatuchanganya.
Yaani Mbowe awamu hii mnavyomtamani, akitaka hata kuongea mnamuita kuuliza anataka kuongea nini? Amefilisiwa, amefungwa Kweli atafune fedha za taasisi ambayo imesajiliwa na serikali kufanya siasa, halafu akabaki salama? Makosa ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha yamestaafu?
Ni kawaida ukiwa haukubali kununuliwa wanaanza kukutafutia maneno mengi!!
Mr mkiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wanachokitaka CCM kwa Chadema sijui ni kipi, kuna muda wanada kukiua chamana wamedhamiria kabisaa.
Kuna mda wanataka kiwepo, maana utakuta wanasema Chadema hela ya ruzuku wajengee ofisi..
Mnataka nini CCM? Mnatuchanganya.
Yaani Mbowe awamu hii mnavyomtamani, akitaka hata kuongea mnamuita kuuliza anataka kuongea nini? Amefilisiwa, amefungwa Kweli atafune fedha za taasisi ambayo imesajiliwa na serikali kufanya siasa, halafu akabaki salama? Makosa ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha yamestaafu?
Ni kawaida ukiwa haukubali kununuliwa wanaanza kukutafutia maneno mengi!!
Mr mkiki.
Sent using Jamii Forums mobile app