Yaani Magufuli amekosa ushawishi kwa Marais wenzake wa Afrika Mashariki kiasi hiki?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,779
18,746
Rais Magufuli msimamo wake kuhusu Corona Africa unaweza kuwa kweli 100%. Kuwa Ni kaugonjwa kadogo na cost ya kufungia watu Ni kubwa zaidi kuliko madhara ya ugonjwa wenyewe

Lakini mbona majirani zetu wameendelea na msimamo wao uleule wa kupima, kufungia watu ndani hata baada ya kuona Tanzania hakuna madhara yoyote yanayoonekana baada ya kuachia Kila kitu?

Ina maana Marais wenzake wanamuona Kama kichaa ambaye hajui afanyalo? Akina Museveni, Kagame, Kenyatta wote wamefuata misimamo tofauti na Tanzania, Ina maana Tanzania hatuna ushawishi kabisa?
 
Kiswahili unaweza kukose mara moja tukaona ulipitiwa.
Ila unapoandika neno "kufungua" tena mara mbili na ilihali linaharibu maana ya ujumbe wako ni kwamba hujaweka utulivu wa akili.
 
Hela za mabeberu ndio nyingi kiasi hicho? Yaani Ni nyingi kuliko zinazopotea kutokana na kifungua watu?

See it in this perspective:- It's all about SELFISHNESS and being GREEDY at the expense of others !!!!
 
Ukipewa pesa na IMF/World Bank, lazima ujustify unaitafunaje/unaiibaje hiyo pesa. Ndicho wanachofanya akina Mu7, Kenyatta na Kagame

By the way Tanzania sio kwamba hawapimi. Vipimo vya COVID19 vinafanyika Monday-Saturday pale Mabibo. Corona inaweza kuwa ipo Tanzania but not to the extent ya kuwafungia watu ndani
 
Kujipumzisha kidogo kwa utani kutoka mijadala ya kisiasa kuelekea uchanguzi wa Tanzania ujao. Sijui kama ulisikia habari hii ya mkutano wa Jumuia ya Afrika Mashariki uliofanyika katikati ya miaka ya 70. Kenya, Tanzania na Uganda ndizo zilikuwa nchi pekee kwenye Jumuia. Mzee Jomo Kenyatta, Mwalimu Nyerere na Mjeshi Amin Dada walikuwa na kikao Arusha, Makao Makuu ya Jumuia. Amin lilikuwa jitu kubwa; Kenyatta wa wastani; na Mwalimu alikuwa ndiyo mdogo kwa umbile kuliko wote. Mwalimu akabanwa haja ndogo akaenda msalani. Mzee Kenyatta akafuata na kwenda kusimama kwenye choo cha kukojolea pembeni mwa Mwalimu. Amin naye akafuata, lakini akaingia kwenye choo cha haja kubwa badala ya kusimama jirani na wenzake. Yakafuata mawasiliano yafuatayo:

Mwalimu: Vipi Amin unaingia huko badala ya kujipanga hapa na wenzako?
Amin: Nakuogopa Mwalimu kwa kuwa wewe kila ukiona vitu vikubwa unavitaifisha.
 
Hakuna la kuiga kwa namna tunavyoshughulikia corona hasa kutoka kwa watu ambao ni scientific. Magu ameamua kuzuia data za corona zisitangazwe kwani zingepingana na njia ya kushighulikia corona aliyoilazimisha yaani kumwachia Mungu.

Hata baada ya kujigamba kuwa Mungu ametusaidia na kwamba corona imekwisha, bado hathubutu kutoa takwimu za corona. Jiulize kwanini anazuia takwimu zisitangazwe. Jibu ni kwamba visa ni vingi zaidi ya nchi zile zilizochukua hatua za kisayansi.
Kwa mara kwanza Nchini tunashuhudia uwazi nchini ya Mwenyekiti Taifa CCM Dr John Pombe Magufuli kwa jinsi Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM ulivyokuwa huru na uwazi tofauti na zamani



Kwa mara kwanza ile dhana Kwamba mwenye pesa ndo anapewa chapuo imeanza kukosa mashiko baada ya Takukuru kupewa Meno hasa kupitia mchakato ndani ya Chama chake


Kingine upigaji kuwa tumeshuhudia ukiwa ni wa Uwazi na karibu wagombea wote wameridhika na mchakato mzima wa kupiga kura na hili limeepusha mgogoro kwa wagombea wote


Kwa hili tunampongeza Mwenyekiti wa Chama Taifa Dr John Pombe Magufuli,Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally pamoja Secretariet nzima kwa kazi nzuri kupitia mchakato huu wa kutafuta wagombea ndani ya Chama Mapinduzi


Natumai hata Uchaguzi wa mwezi kumi utaenda kuwa huru na wa haki kwa ustawi wa Taifa letu

Mungu Ibariki Tanzania

Alex Fredrick
Dar es salaam
afredrick59@gmail.com











View attachment 1512219
Yeye mbona kule chato alikulapweza gizani ,au umesahau yaani ameona amevimbiwa sasa anawakimbiza wenzake
Kwa niliyoyaona baada ya anguko la ndugu yetu Daudi Albet ni dhahiri shakhr kuwa hata Mh Magufuli wanaomsifia sana sidhan kama kwenye sanduku la kura watafanya hivyo ila niwatafuta ridhiki na hata anguko kuu la Mwakyembe ni wazi Jiwe ajitafakari sana asipuuze chochote
Makonda sio Magufuli
Punguza jazba alafu kunywa maji kwanza.
Huyu inaelekea amesunda ndani laki tano za Bash Boy na kura hakumpa
Sasa unajisifu kwa dhuluma mnayotarajia kuifanya!!!!
Hahahahahaaaa
Lijualipole katisha vibaya sana!!
Mifupa walioshindwa chadema haifai hata kwa supu
Unaishi kwa kukariri tu. Kwa hiyo cdm ndiyo chama pekee cha upinzani.Humu tupo wengi na si wote ni wafuasi wa vyama.Zaidi kwa uchaguzi huru na wa haki hao pia hawawezi kutoboa wasahau kabisa.
Rais Magufuli msimamo wake kuhusu Corona Africa unaweza kuwa kweli 100%
Kuwa Ni kaugonjwa kadogo na cost ya kufungia watu Ni kubwa zaidi kuliko madhara ya ugonjwa wenyewe

Lakini mbona majirani zetu wameendelea na msimamo wao uleule wa kupima, kufungia watu ndani hata baada ya kuona Tanzania hakuna madhara yoyote yanayoonekana baada ya kuachia Kila kitu?

Ina maana Marais wenzake wanamuona Kama kichaa ambaye hajui afanyalo? Akina Museveni, Kagame, Kenyatta wote wamefuata misimamo tofauti na Tanzania, Ina maana Tanzania hatuna ushawishi kabisa ?
Hao wanakula hela za mabeberu achana nao kabisa.
Hela za mabeberu ndio nyingi kiasi hicho? Yaani Ni nyingi kuliko zinazopotea kutokana na kifungua watu?
See it in this perspective:- It's all about SELFISHNESS and being GREEDY at the expense of others !!!!
Ukipewa pesa na IMF/World Bank, lazima ujustify unaitafunaje/unaiibaje hiyo pesa. Ndicho wanachofanya akina Mu7, Kenyatta na Kagame

By the way Tanzania sio kwamba hawapimi. Vipimo vya COVID19 vinafanyika Monday-Saturday pale Mabibo. Corona inaweza kuwa ipo Tanzania but not to the extent ya kuwafungia watu ndani
 
Ukipewa pesa na IMF/World Bank, lazima ujustify unaitafunaje/unaiibaje hiyo pesa. Ndicho wanachofanya akina Mu7, Kenyatta na Kagame

By the way Tanzania sio kwamba hawapimi. Vipimo vya COVID19 vinafanyika Monday-Saturday pale Mabibo. Corona inaweza kuwa ipo Tanzania but not to the extent ya kuwafungia watu ndani
Ile hela wamekopa, hawajapewa..na masharti ya kukopeshwa Ni kufungia watu ndani?
 
Hakuna la kuiga kwa namna tunavyoshughulikia corona hasa kutoka kwa watu ambao ni scientific. Magu ameamua kuzuia data za corona zisitangazwe kwani zingepingana na njia ya kushighulikia corona aliyoilazimisha yaani kumwachia Mungu.

Hata baada ya kujigamba kuwa Mungu ametusaidia na kwamba corona imekwisha, bado hathubutu kutoa takwimu za corona. Jiulize kwanini anazuia takwimu zisitangazwe. Jibu ni kwamba visa ni vingi zaidi ya nchi zile zilizochukua hatua za kisayansi.
UK orders review into potentially unreliable England ... - The Telegram
UK orders review into potentially unreliable England COVID-19 death data. Reuters. Published: just now. AddThis Sharing Buttons


UK halts release of daily death toll because it's not accurate

DoH pauses daily coronavirus death toll figures after calls for review

Sent via @updayUK
 
Hakuna la kuiga kwa namna tunavyoshughulikia corona hasa kutoka kwa watu ambao ni scientific. Magu ameamua kuzuia data za corona zisitangazwe kwani zingepingana na njia ya kushighulikia corona aliyoilazimisha yaani kumwachia Mungu.

Hata baada ya kujigamba kuwa Mungu ametusaidia na kwamba corona imekwisha, bado hathubutu kutoa takwimu za corona. Jiulize kwanini anazuia takwimu zisitangazwe. Jibu ni kwamba visa ni vingi zaidi ya nchi zile zilizochukua hatua za kisayansi.
Visa ni vingi! Tupe idadi ya waliokufa wiki kutokana na corona hapo mtaani kwako.
 
Ajifunze kiswahili?
Angekuwa hajui kiswahili asingeandika uzi kwa usahihi wa kiwango hicho.

Alichokosea ni hilo neno Kifungua badala ya kufungua, amechapia na ni kawaida sana, na kuchapia haimaanishi hujui/hufahamu lugha husika.

I stand to be corrected.
Hapa JF ni shida sana! Watu badala ya kujadiri maudhui ya ujumbe wake, wao wanajadiri makosa ya uandishi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom