Yaani Kenya ipo desperate na mambo ya Tanzania mpaka inashangaza

Kwani rais MAGUFULI alikuwa anawapa taarifa wa Kenya au wa Tanzania? Mbona wana washwa sana? Nyie endeleeni kupima nanihii mpaka pesa mlizopewa na mabeberu ziishe.
 
You spend years denying that you were LDC but now you want to be congratulated for not being LDC anymore? You can't have it both ways.

It's great that you're finally out of the LDC club. If only we had Somalia Ethiopia, Uganda and DRC in the middle income bracket too. This region would be so much further ahead economically
Shughulika na BBI wewe.
 
Kila afanyacho lazima wahangaike nacho tena haswa kwa njia hasi. Hamna jema kwao. Hamna jema liwahusulo watanzania.
Wakenya wanamuogopa sana, amewabana na kuwafukia katika kila eneo, njia pekee ya kujiliwaza ni kumpakazia na kumsema vibaya, ila wakenya wengi wanampenda sana, hawa wenye kumchukia ni wale toka upande wa mlima Kenya.
 
Hawaandiki negatives kuhusu Tanzania

Wanaandika negatives kuhusu kiongozi wa regime ya serikali ya Tanzania

Big difference hapo!

Tanzanian citizenry is the most humble, hardworking, respectiful human beings on earth, and everybody on earth love us including Kenyans and rest!
Matokeo yake waandishi wanaanza kupunguzwa kazi wanafikiri habari ili iwe nzuri ni kuiponza Tanzania wakati watu wao wanafaidika na Tanzania ndio maana wameacha kununua magazeti.
 
Xi Jiping amesoma nchini Marekani anakijua Kiingereza vizuri still anazungumza Kichina muda wowote na popote pale. Putin vilevile, wanachoshindwa kuelewa ndugu zetu hawa ni kwamba Kiswahili ndo lugha yetu ya taifa ni nembo na alama inayowakilisha taifa na uhuru wetu.

Pia muache kutuaribia lugha yetu adhimu sijui pea yeye, inakuanga vile, ebu kiacheni kiswahili chetu, wasanii wetu wanaoimba kiswahili nyimbo zao zinapendwa kenya kuliko nyimbo zinazoimbwa kwa Kiingereza, mbona waganda hawapendi kujimwambafai kama hawa Wakenya?
 
Magufuli kila anachofanya ni big news Kenya, ata akikohoa lazima iwe ni big news huko Kenya, wanampenda na kumuogopa sana.
Kweli kabisa Magufuli kila anachokifanya Kenya ni habari kubwa sana,yaani Magufuli anafuatiliwa sana Kenya
 
Sikufahamu kama wa kenya kumbe ni mazwazwa kiasi ichi ! Eti ama jisifia reply ya magufuli for your information ... IKULU kuna kitengo cha idara ya habari na maelezo often when necessary they post on behalf of the president
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom