MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Yaani GSM umefikia hatua ya Kulazimisha Yanga SC icheze Mechi za Kirafiki kisha mnazungumza na Mabeki wa hizo Timu wamuachie Mayele afunge Magoli ili asionekane Mzigo na kama mmesajili Garasa tu?
Haya GSM hebu Wahongeni basi na Mabeki wa River United FC mnaocheza nao CAF CL Siku ya Jumapili ijayo ili na Wao wamuachie Mayele wenu afunge na muonekane mmesajili Jembe kama mlivyofanya kwa Friends Rangers FC na Pan African FC ambao 99.999% ni Wanachama Waandamizi wa Yanga SC.
Upuuzi huu kamwe huukuti Simba SC.
Haya GSM hebu Wahongeni basi na Mabeki wa River United FC mnaocheza nao CAF CL Siku ya Jumapili ijayo ili na Wao wamuachie Mayele wenu afunge na muonekane mmesajili Jembe kama mlivyofanya kwa Friends Rangers FC na Pan African FC ambao 99.999% ni Wanachama Waandamizi wa Yanga SC.
Upuuzi huu kamwe huukuti Simba SC.