Yaani jinsi 'alivyonivuruga' halafu kanipa 2000/=, sina hamu!

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,972
1,649
Haya ni malalamiko ya mwanamke ambayo amekuwa akiyatoa hadharani
kwa wanaume ambao ni rafiki wa mwanaume ambaye alimpa 'uroda' na
kuishia kuhongwa shilingi 2000/= baada ya kupelekewa 'moto' wa kutosha
na huyo mwanaume.

Ushauri anaowapa wanawake wenzake ni kwamba wasije wakapotea na
kumkubalia jamaa kwani ni bahili asiye na mfano.

Mambo ya w***uu hayo, mzizi wa aibu ulishakatika zamani ktk
mambo ya ngono!
 
Yeye na huyo mwanaume wote ni two I.diots Kwani huyo mwanamke ni muuza kuku? Na huyo jamaa ni kahaba au hajui anatakiwa kuwa na mke?
 
Kwani yeye hakupata raha yaani nyie viumbe mnapenda sana kulalamika.Yaani kama mimi hiyo buku 2.Angeisikiliza kwenye bomba kama msaada ningemgaia kidogo maji ya kunywa.
 
Huyo mwanamke kama ni mfanyabiashara ni bora akajisali TRA ili aweze kulipia kodi ya mapato. Na ahakikishe amepewa TIN yake.
 
Hivi ni lazima ulipie ukifanya ngono na mwanamke? Wanawake wanajidhalilisha kupita kiasi.
 
Wanawake wanategemeana, Mi nkibeba ninayefanya naye kazi (Kampuni Moja) siwezi hata kufikiri kumpa hela. Na wengi ukisha mega kesho yake ofisini mnakuwa kama hamjuani tena. Utani na vitu vingine vinakatika.
 
Dooh katapeliwa...ingekuwa mimi ningebadilisha payment terms to avoid future disappointments, 75% advance payment is must.
 
Hivi kumbe siku hizi hiyo maneno ni biashara huria eh!
Mie nilikuwa nafanyaga mali kauli, kisha nawatoa mswaki..........................
 
buku 2 inatosha kwa sabuni yakutoa uchafu wote au cio demu.
 
Hivi kumbe siku hizi hiyo maneno ni biashara huria eh!
Mie nilikuwa nafanyaga mali kauli, kisha nawatoa mswaki..........................

wajukuu wansoma hii maneno, shauri yako mie nimechoka mashauri ya kujadili matatizo kila uchao.
Wakati mwingine viwe vikao vya kupeana pongezi aisee sio usuluhishi tuuuuu!
 
Loo! huyu sio mwanamke ni mwanaatoke mama asife,si angepatana bei kabla hajakwenda huvuliwa nguo? tena inawezakua anakelele za wizi ndani hujui kama anaona raha au uchungu,eti kanipa 2000 puka chaka.....
 
Kwani utamu aliufeel mwanaume tu? Si mnataka haki sawa shukuru umepewa hata hiyo buku 2.
 
kwani alifanya naye ngono ili apewe hela au kutimiza tu haja za mwili
 
Hivi ni lazima ulipie ukifanya ngono na mwanamke? Wanawake wanajidhalilisha kupita kiasi.

kosa kubwa wanalofanya wapenzi wetu ni kufikiria kupewa held in replacement with sex. Kuna dada mmoja rafiki yangu niliwahi muuliza amewahi mnunulia jamaa yake zawadi au kumpa pesa? Akanaambia,si huwa nafanya naye mapenzi! Nilitamani hata kutapika,a graduate unaongea hivo? Nikamwambia twende na mi nikaku.....be ili nikupe hela,mpaka leo hataki kupiga story na mimi. Lakini lengo langu la kumuonesha ana mawazo ya kikahaba lilitimia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom