amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,987
Nimejipiga mwenyewe nikanunua azam unga,maziwa,samli,mayai. Nikachemsha samli iyeyuke nikachanganya unga,yai moja,chumvi kidogo,na sukari kiduchu kwa ladha maji yakawa maziwa nikakanda weee mpaka unga ukawa unalia pichuuuuuu pichuuuuu.
Ukawa tayari nikatengeneza madonge haaaa zilivonifanya sina hamu nazo tamuje sasa tamu balaa ila sasa ni kau kau hapa nshazikatakata namuwekea dogo kwa mfuko aende nazo kaukau na mie nimeziweka juu ya friji ziwe nangatai zangu.
Poor me sijui kupika chapati kila nkipika ni kaukau tu. Asa leo nikaweka yai sababu yai zinalainisha nazo zikantenga picha ya hizo kaukau ntawawekea kesho.
Ukawa tayari nikatengeneza madonge haaaa zilivonifanya sina hamu nazo tamuje sasa tamu balaa ila sasa ni kau kau hapa nshazikatakata namuwekea dogo kwa mfuko aende nazo kaukau na mie nimeziweka juu ya friji ziwe nangatai zangu.
Poor me sijui kupika chapati kila nkipika ni kaukau tu. Asa leo nikaweka yai sababu yai zinalainisha nazo zikantenga picha ya hizo kaukau ntawawekea kesho.