Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Yaani kila mahali wimbo wao Ndege, SGR na STIGLERS kila mahali kwenye mabrasha yao wanatembea na hayo mambo 3. Yaani huwezi kumkuta mtu anaimba nje ya hayo. Hivi hayo mmefanya kwa pesa zenu?
Hawa jamaa hawana jipya hadi wanatia huruma. Haya mambo matatu utafikiri ndio ilani yao. Hawana mapya wimbo mmoja kila siku. Huu wimbo wenu umechukua tafuteni mwingine.
Hivi hamna watu wabunifu CCM?
Hawa jamaa hawana jipya hadi wanatia huruma. Haya mambo matatu utafikiri ndio ilani yao. Hawana mapya wimbo mmoja kila siku. Huu wimbo wenu umechukua tafuteni mwingine.
Hivi hamna watu wabunifu CCM?