ingelikuwapo option ya 'like' as much as someone wants, ningekugongea 1,000 mkuuHuwa najiuliza kama wana wafanyakazi wote hao kwa mujibu wa Serukamba na uku wakiwa na ndge moja usikute ni ile ambayo imeanguka KIgoma?
Sasa najiuliza wanapokuwa wanaenda kazini wanaenda kufanya kazi zipi?
mkuu, si uulize hata Precisionair wenye ndege kama 10 wana wafanyakazi wangapi!?Nilipita pale wiki iliyopita kwa malengo ya kuulizia ofisi za Swiss Air, nilichoshangaa kuwaona wafanyakazi kadhaa pale na milango yote ya offici iko wazi. Nilipoondoka na kufika Swiss Air tofauti ni kuona chumba kimoja na wahudumu kadhaa wakati wana madege ya kimataifa yanayotua Dar mara tano kwa wiki. Hata mfumo wa kiuchumi kupunguza matumizi linawawia vigumu kwa vile familia za vigogo ziko pale?
ATCL wana ndege nzuri.''Tumeagiza dreamliners za kutosha'' alisikika Bwana Chizi
Boeing 787 Dreamliner
Role Wide-body jet airliner
National origin United States
Manufacturer Boeing Commercial Airplanes
First flight December 15, 2009
Introduction October 26, 2011, with All Nippon Airways (ANA)
Status In production, in service
Primary users All Nippon Airways/Japan Airlines
Number built 18
Program cost US$32 billion (Boeing's expenditure)
Unit cost 787-8: US$193.5 million (2011)
787-9: US$227.8 million (2011)
Huwa najiuliza kama wana wafanyakazi wote hao kwa mujibu wa Serukamba na uku wakiwa na ndge moja usikute ni ile ambayo imeanguka KIgoma?
Sasa najiuliza wanapokuwa wanaenda kazini wanaenda kufanya kazi zipi?
ingelikuwapo option ya 'like' as much as someone wants, ningekugongea 1,000 mkuumkuu, si uulize hata Precisionair wenye ndege kama 10 wana wafanyakazi wangapi!?
Alafu nikamsikia Bw. Chizi akisema hata bila aibu anatamba eti shirika la ndege sio kuwa na ndege tu bali hata 'route' ni utajiri mmojawapo. Mpaka nashangaa nchii hii ina bahati mbaya kiasi hiki!
Labda kama ni ndege ya asili aka ungo.
Kwa sasa atcl haina ndege ila yapo mabaki ya ndege.
Kuishi nchi hii na kujua kinachoendelea ni maumivu sana, yataka moyo kwa kweli.