Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
Vitambulisho vya Taifa vinanikumbusha uchaguzi mkuu wa 2010..
Kipindi hicho mgombea wa uraisi kupitia ccm alitawanya mabango yake nchi nzima hata kule kusiko fikika kwa urahisi {vijijini ndani}
nakumbuka Nyamagana ilienea mabango ya chagua Masha kwa maendeleo,kona hadi kona kuanzia buhongwa hadi mjini yaani mabango mengi kuliko kawaida.
Huko magu Limbu aliweka mabango ya kutosha mitaa yote ya Magu ilikuwa ni chagua dr.Limbu..
Inashangaza kuona mambo ya kichama yanatangazwa kiasi hiki lakini swala la vitambulisho tena vya taifa halina matangazo hata moja maeneo ya huku vijijini..
Niko maeneo ya kata viziwaziwa wilayani Kibaha,huku hakuna bango wala habari zinahusu vitambusho vya taifa,kiasi kwamba hadi swala lenyewe halijulikani miongoni mwa wananchi..
Swala hili linapewa uzito mdogo sana tena sana,na matangazo yake ni kama yale ya siku ya CHANJO YA MBWA..
Sijui tatizo liko wapi..
Nini kinasababisha mambo ya msingi katika taifa yapuuzwe huku vitu visivyo na maana sana vipewe uzito mkubwa..
Kipindi hicho mgombea wa uraisi kupitia ccm alitawanya mabango yake nchi nzima hata kule kusiko fikika kwa urahisi {vijijini ndani}
nakumbuka Nyamagana ilienea mabango ya chagua Masha kwa maendeleo,kona hadi kona kuanzia buhongwa hadi mjini yaani mabango mengi kuliko kawaida.
Huko magu Limbu aliweka mabango ya kutosha mitaa yote ya Magu ilikuwa ni chagua dr.Limbu..
Inashangaza kuona mambo ya kichama yanatangazwa kiasi hiki lakini swala la vitambulisho tena vya taifa halina matangazo hata moja maeneo ya huku vijijini..
Niko maeneo ya kata viziwaziwa wilayani Kibaha,huku hakuna bango wala habari zinahusu vitambusho vya taifa,kiasi kwamba hadi swala lenyewe halijulikani miongoni mwa wananchi..
Swala hili linapewa uzito mdogo sana tena sana,na matangazo yake ni kama yale ya siku ya CHANJO YA MBWA..
Sijui tatizo liko wapi..
Nini kinasababisha mambo ya msingi katika taifa yapuuzwe huku vitu visivyo na maana sana vipewe uzito mkubwa..