Rais mpya wa Urusi, Bw Medvedev anakusudia kumteua rais anayemaliza muda wake Vladimir Putin kuwa waziri wake mkuu. Yaani baada ya kuwa rais kwa miaka minane, Putin anarejea serikalini kama waziri mkuu! Hapa wakubwa protokali imekaaje, aliyekuwa bosi atashuka kweli hiyo ngazi, au ndio amebadilishiwa tu jina la cheo lakini bado ni rais?
Pana mafunzo mengi hapa, hebu tuyatizame. Na ninayo hofu fulani, mafisadi ya kwetu yakigundua hii mbinu si ndio yatakaa madarakani milele? Unakuwa rais miaka 10, awamu ijayo unakuwa waziri mkuu 10 years, tena unarudi kama makamu wa rais 10 years nyingine! Hii ya warusi tuitupie macho wakubwa!
Pana mafunzo mengi hapa, hebu tuyatizame. Na ninayo hofu fulani, mafisadi ya kwetu yakigundua hii mbinu si ndio yatakaa madarakani milele? Unakuwa rais miaka 10, awamu ijayo unakuwa waziri mkuu 10 years, tena unarudi kama makamu wa rais 10 years nyingine! Hii ya warusi tuitupie macho wakubwa!