Ya Stiegler's hydropower dam, research itumike kupinga research!

Paul Alex

JF-Expert Member
Jul 14, 2012
4,240
9,527
WWF (World Wide Fund for Nature) walitoa report mbili tofauti moja ikiandikwa na Barnaby Dye na Nyingine ikiandikwa na Joerg Hartmann juu ya athari zitakazopatikana kutokana na ujenzi wa bwawa la kufulia umeme ndani ya Selous Game Reserve.

Selous game reserve ni world heritage site ambayo serikali yetu iliingia mkataba juu ya namna inavyopaswa kulindwa. Hivyo ujenzi wa mradi wa umeme kwanza kabisa utakuwa kinyume na mkataba huu kitu kitakacholeta hatari ya Selous kufutwa kwenye list ya 'world heritage sites' ambako kutakuwa na athari zake!
WWF wakapendekeza kuwa hili halina lazima kwakuwa kwenye 'Tanzania Power Master plan' kuna miradi mbadala mingine yenye uwezo wa kuzalisha kiasi hichohicho cha umeme kitakachozalishwa na Stiegler's.

Shida ni ile dhana kuwa 'mimi sipangiwi' na dhana ya kutokujali ndio inayofanya tupush huu mradi.
Tujifunze jamani, dereva wetu ameshatuingiza chaka mara kibao tena akiwa na confidence ya kufa mtu;
1.Sukari
2.Mbaazi
3.Makinikia
4.Korosho
N.k
Na kote huko anachomokaga na gia nyepesi ya 'UZALENDO'.

Mradi huu wa Stiegler's utaathiri utalii ndani ya Selous unaotegemewa na raia zaidi ya laki mbili na athari nyingine kedekede kwenye ecosystem!

Sasa badala ya kumuita Gwajima Ikulu ili aongelee habari ya mayai ya kuku na chipsi za viazi mviringo nadhani tungewapa kazi wataalamu wetu kuandaa research itakayoonyesha kuwa au hayo WWF wanayotushauri ni uongo au faida za mradi wa Stiegler's zitakuwa kubwa mno kulinganisha na athari zinazotajwa na WWF.

Tuache siasa za bei rahisi kwenye masuala ya msingi!
 
Unajua kisaikolojia binadamu ana hulka ya kupenda vitu vilivyokatazwa.
Hili sio tatizo kwasababu inamsaidia binadamu kuwa mdadisi.

Shida ni pale hii element inapokuwa in excess. Mtu akiwanayo in excess anaweza kugeuka tatizo.

Hapa utapata mtu anaona wadada wazuri ila yeye anatamaani mbuzi!
Wanatoke mabinti chuchu saa sita yeye anatamaani bibi kizee!

Sasa mkiwa na mtu huyu kwenye jamii mnajukumu la kumsaidia kisaikolojia ili kupunguza athari za hizo excess elements.
Ila mkimsifia kuna siku atawashangaza!
sijui kwa nini kila mtu yuko concerned na huo mradi,umakini unatakiwa sana...
 
WWF (World Wide Fund for Nature) walitoa report mbili tofauti moja ikiandikwa na Barnaby Dye na Nyingine ikiandikwa na Joerg Hartmann juu ya athari zitakazopatikana kutokana na ujenzi wa bwawa la kufulia umeme ndani ya Selous Game Reserve.

Selous game reserve ni world heritage site ambayo serikali yetu iliingia mkataba juu ya namna inavyopaswa kulindwa. Hivyo ujenzi wa mradi wa umeme kwanza kabisa utakuwa kinyume na mkataba huu kitu kitakacholeta hatari ya Selous kufutwa kwenye list ya 'world heritage sites' ambako kutakuwa na athari zake!
WWF wakapendekeza kuwa hili halina lazima kwakuwa kwenye 'Tanzania Power Master plan' kuna miradi mbadala mingine yenye uwezo wa kuzalisha kiasi hichohicho cha umeme kitakachozalishwa na Stiegler's.

Shida ni ile dhana kuwa 'mimi sipangiwi' na dhana ya kutokujali ndio inayofanya tupush huu mradi.
Tujifunze jamani, dereva wetu ameshatuingiza chaka mara kibao tena akiwa na confidence ya kufa mtu;
1.Sukari
2.Mbaazi
3.Makinikia
4.Korosho
N.k
Na kote huko anachomokaga na gia nyepesi ya 'UZALENDO'.

Mradi huu wa Stiegler's utaathiri utalii ndani ya Selous unaotegemewa na raia zaidi ya laki mbili na athari nyingine kedekede kwenye ecosystem!

Sasa badala ya kumuita Gwajima Ikulu ili aongelee habari ya mayai ya kuku na chipsi za viazi mviringo nadhani tungewapa kazi wataalamu wetu kuandaa research itakayoonyesha kuwa au hayo WWF wanayotushauri ni uongo au faida za mradi wa Stiegler's zitakuwa kubwa mno kulinganisha na athari zinazotajwa na WWF.

Tuache siasa za bei rahisi kwenye masuala ya msingi!
Hahaha wao wameshaanza maandalizi ya ujenzi wewe unarudi kwenye research?! Waliishakataa research zote zilizohusu eneo hilo, kumbuka maelezo ya rais alipokutana na wasomi UDSM alikataa kukwamushwa kwa mashauri ya research aliyaita ni ya kipuuzi, wewe na mimi tusubirie matokeo ama mazuri au mabaya tuta deal nayo huko mbeleni, kwao wahusika huu ni mtaji kisiasa wamesema sana kwamba "hawatarudi nyuma na hawatosimamisha mradi" kalemani alisema Bungeni mradi umeshaanza na unaendelea vizuri.
Utafiti au research yako ita fit wapi, hawawezi kuvunja mkataba na wakandarasi, tusubiri matokeo tu ndio naweza kukushauri.
 
Nawaonea wivu kwa lipi?
Ingawa tafiti upingwa kwa tafiti ila andiko lako kuingizia mambo ya Gwajima,sukari na kufuga mayai,nina uhakika unasukumwa na chuki na wivu dhidi ya utawala wa awamu ya tano.
 
WWF (World Wide Fund for Nature) walitoa report mbili tofauti moja ikiandikwa na Barnaby Dye na Nyingine ikiandikwa na Joerg Hartmann juu ya athari zitakazopatikana kutokana na ujenzi wa bwawa la kufulia umeme ndani ya Selous Game Reserve.

Selous game reserve ni world heritage site ambayo serikali yetu iliingia mkataba juu ya namna inavyopaswa kulindwa. Hivyo ujenzi wa mradi wa umeme kwanza kabisa utakuwa kinyume na mkataba huu kitu kitakacholeta hatari ya Selous kufutwa kwenye list ya 'world heritage sites' ambako kutakuwa na athari zake!
WWF wakapendekeza kuwa hili halina lazima kwakuwa kwenye 'Tanzania Power Master plan' kuna miradi mbadala mingine yenye uwezo wa kuzalisha kiasi hichohicho cha umeme kitakachozalishwa na Stiegler's.

Shida ni ile dhana kuwa 'mimi sipangiwi' na dhana ya kutokujali ndio inayofanya tupush huu mradi.
Tujifunze jamani, dereva wetu ameshatuingiza chaka mara kibao tena akiwa na confidence ya kufa mtu;
1.Sukari
2.Mbaazi
3.Makinikia
4.Korosho
N.k
Na kote huko anachomokaga na gia nyepesi ya 'UZALENDO'.

Mradi huu wa Stiegler's utaathiri utalii ndani ya Selous unaotegemewa na raia zaidi ya laki mbili na athari nyingine kedekede kwenye ecosystem!

Sasa badala ya kumuita Gwajima Ikulu ili aongelee habari ya mayai ya kuku na chipsi za viazi mviringo nadhani tungewapa kazi wataalamu wetu kuandaa research itakayoonyesha kuwa au hayo WWF wanayotushauri ni uongo au faida za mradi wa Stiegler's zitakuwa kubwa mno kulinganisha na athari zinazotajwa na WWF.

Tuache siasa za bei rahisi kwenye masuala ya msingi!
Rubbish!, maviiii!, taka, utapata like za wangese nawajinga wenzako
 
Wakati mwingine jibidihishe kuujua ukweli sio kupinga pinga tu
WWF (World Wide Fund for Nature) walitoa report mbili tofauti moja ikiandikwa na Barnaby Dye na Nyingine ikiandikwa na Joerg Hartmann juu ya athari zitakazopatikana kutokana na ujenzi wa bwawa la kufulia umeme ndani ya Selous Game Reserve.

Selous game reserve ni world heritage site ambayo serikali yetu iliingia mkataba juu ya namna inavyopaswa kulindwa. Hivyo ujenzi wa mradi wa umeme kwanza kabisa utakuwa kinyume na mkataba huu kitu kitakacholeta hatari ya Selous kufutwa kwenye list ya 'world heritage sites' ambako kutakuwa na athari zake!
WWF wakapendekeza kuwa hili halina lazima kwakuwa kwenye 'Tanzania Power Master plan' kuna miradi mbadala mingine yenye uwezo wa kuzalisha kiasi hichohicho cha umeme kitakachozalishwa na Stiegler's.

Shida ni ile dhana kuwa 'mimi sipangiwi' na dhana ya kutokujali ndio inayofanya tupush huu mradi.
Tujifunze jamani, dereva wetu ameshatuingiza chaka mara kibao tena akiwa na confidence ya kufa mtu;
1.Sukari
2.Mbaazi
3.Makinikia
4.Korosho
N.k
Na kote huko anachomokaga na gia nyepesi ya 'UZALENDO'.

Mradi huu wa Stiegler's utaathiri utalii ndani ya Selous unaotegemewa na raia zaidi ya laki mbili na athari nyingine kedekede kwenye ecosystem!

Sasa badala ya kumuita Gwajima Ikulu ili aongelee habari ya mayai ya kuku na chipsi za viazi mviringo nadhani tungewapa kazi wataalamu wetu kuandaa research itakayoonyesha kuwa au hayo WWF wanayotushauri ni uongo au faida za mradi wa Stiegler's zitakuwa kubwa mno kulinganisha na athari zinazotajwa na WWF.

Tuache siasa za bei rahisi kwenye masuala ya msingi!
 
Joerg Hartmann, ambaye ni mtaalamu kwenye hizi hydropower projects anasema gharama za ujenzi wa project ya Stiegler zinaweza kutoka dola billion 3 zilizokadiriwa na serikali kwenda dola billion 9.85
Swali ni kuwa je, tunapouanza huu mradi kwa fedha za kusuasua na bila ushirikiano mzuri na wafadhili halafu baadae yakaja kutokea haya ya gharama kutriple (kuwa) mara tatu, plan B itakuwa ni nini?

Haya ya gharama kuwa kubwa zaidi ya zile zilizokadiriwa awali hutokea sana kwenye miradi mikubwa.
Kwa wapenzi wa mpira mliofuatilia ujenzi wa uwanja wa Tottenham, pamoja na umakini wa Dany Levy kwenye maswala ya fedha lakini gharama zilienda karibu mara tatu ya zile zilizopangwa awali.
Bahati ni kuwa Tottenham walikuwa na hizo fedha na walihakikisha wanasimamia kipaumbele hicho kimoja mpaka uwanja uishe. Hawakutoa hata cent tano kununua mchezaji mpya!

Sisi tumenunua midege kwa hoja ya kukuza utalii, well, world bank wakasema wako tayari kutoa dola millioni 100 kama mkopo ili kukuza utalii Selous na Germany vivyo hivyo dola million 18.
Swali, kwanini tusimalizane na project ya utalii kwanza kama ipo na kama ina malengo kisha tufanye mambo mengine?

Sasa huku tunataka watalii, huku tunawaita mabeberu, huku tunarun project ya utalii na fedha hazitoshi lakini tunataka na project kubwa ya umeme....!!! Jamani, seriously tukae chini tufikiri!

Kama kuna project ambazo zipo kwenye power master plan ambazo zinaweza kutoa umeme kama Stiegler's na zinazofadhilika kirahisi, kwanini tusifanye maamuzi kama Gentlemen.
Tumalizane na utalii na tuweke mahusiano sawa na hao watalii kisha tuje kwenye umeme!

Nachokiona, kwakua sisi ni wababe na hatutapiga magoti, tutazifukua hizo km sq 1200 kwa magreda tutengeneze river rejuvenation kwenye mto Rufiji itakayoleta mmomonyoko down stream tuharibu maisha ya jamii inayoishi pale na maisha ya viumbe hai, tu trap 16.6 million tons za sediments halafu tukose fedha za kumalizia mradi.
NA HAPO NDIO TUTAKUWA TUMEKUWA WAZALENDO WAKWELI TULIOVUNJA MAYAI TUKALA CHIPSI MAYAI.
Serikali ni kubwa na makini tofauti na unavyozani
 
Sasa badala ya kumuita Gwajima Ikulu ili aongelee habari ya mayai ya kuku na chipsi za viazi mviringo nadhani tungewapa kazi wataalamu wetu kuandaa research itakayoonyesha kuwa au hayo WWF wanayotushauri ni uongo au faida za mradi wa Stiegler's zitakuwa kubwa mno kulinganisha na athari zinazotajwa na WWF.
Umechelewa, wenzako walishafanya hivyo unavyofikiria ikaonekana kutokana na idadi ya watu kuongezeka miaka iyajo, miti mingi itapotea kutokana na matumizi ya mkaa hivyo mipango madhubuti ya nishati ya umeme lazima ianzishwe ili kuokoa misitu.
 
Unajua kisaikolojia binadamu ana hulka ya kupenda vitu vilivyokatazwa.
Hili sio tatizo kwasababu inamsaidia binadamu kuwa mdadisi.

Shida ni pale hii element inapokuwa in excess. Mtu akiwanayo in excess anaweza kugeuka tatizo.

Hapa utapata mtu anaona wadada wazuri ila yeye anatamaani mbuzi!
Wanatoke mabinti chuchu saa sita yeye anatamaani bibi kizee!

Sasa mkiwa na mtu huyu kwenye jamii mnajukumu la kumsaidia kisaikolojia ili kupunguza athari za hizo excess elements.
Ila mkimsifia kuna siku atawashangaza!
Aiseee! sisemi zaidi natamani mtoto wangu awe na elimu kama yako.
 
Back
Top Bottom