Ya Mzee Punch na Hill Siders - UDSM

Jul 14, 2008
1,820
1,031
Miaka mingi leo baada ya kumaliza pale Chuo Kikuuu Mlimani - UDSM, bado sijaelewa Mzee Punch ni nani. Kulikuwa na hizi Ten Commandments za Mzee. Zilikuwa very mysterious.

Thou shall not sit on the high table . . . . nk

Mzee has been there and he never graduates na mengine mengi . . . .

Kuna hili pia la watoto wa mjini wakijiita Hill Siders ambao walikuwa wanaratibu parties zao na wasichana wazuri wazuri enzi hizo, huku simulizi nyingi zikinikumbusha mikwala yao . . . Oooh, unajua Benz ile inakuja ni Msure yule, akiniona hapa ni noma sana. Mara Oooh, Home kuna Swimming Pool na House Boy ana Pick-Up ya Majani ya Ng'ombe. Mara ukija home ukakuta kimya sana jua watu wanaangalia movie, ukisikia kelele basi kuna party n.k.

Hebu wakulu tukumbushane na vijana mlio mlimani sasa: Je ni yapi ya kukumbuka ya Mzee Punch na Vipi Hill Siders? Ni nini hasa unakumbuka ukiwa Mlimani?
 
Hata sisi wa siku nyingi tunamkumbuka sana Mzee Punch kwa mikwara yake.Alikuwa ni msahihisaji wa matatizo katika jamii ya mlimani.
Katika suala ambalo sitamsahau ni kuwa alikuwa ni Mzee Punch aliye wajulisha kwa mara ya kwanza wanamlimani juu ya kuanza kwa vita kati ya Tanzania na Uganda , 1978
 
Hata sisi wa siku nyingi tunamkumbuka sana Mzee Punch kwa mikwara yake.Alikuwa ni msahihisaji wa matatizo katika jamii ya mlimani.
Katika suala ambalo sitamsahau ni kuwa alikuwa ni Mzee Punch aliye wajulisha kwa mara ya kwanza wanamlimani juu ya kuanza kwa vita kati ya Tanzania na Uganda , 1978

Duu! Mkuu umetoka mbali. Je unafikiri miaka ya Mbeleni Mzee Punch alikosa mwelekeo? Nimekuta hii katika Internet:

"Mzee Punch had begun on the university campus as a political instrument to ridicule government policy. Over its 20 year existence, it evolved into “a major instrument of sexual harassment and repression of women”, and was only banned after Levina killed herself. No one had listened when she pleaded for help and Mzee Punch threatened to “punch” any female students who walked with her. She was terrified by knocks on her door at night, and obscene messages and threats stuck on her door."
 
Zaidi Mzee Punch alienea katika vyuo kadhaa hadi alipokuja kupigwa marufuku... Punch sasa haina nguvu sana na badala yake blogu zimekuwa zikifanya kazi aliyokuwa akiifanya mzee Punch
 
Miaka ya baadaye Mzee Punch inaelekea alitekwa nyara na watu ambao mtazamo wao katika maisha si positive thinking.Badala ya kujadili issues za maana akaanza kuvictimize watu hasa wasichana.
Popularity ya kitu chochote katika jamii ni kuji-identify na problems za jamii hiyo ziwe za kitaaluma(kwa mlimani) au social.
Mzee Punch had to die, ingawa yeye alisema he is omnipotent, never graduates, sees all, hears all.
Kifo cha Mzee Punch inaelekea kilitokana na kukosa issues ambazo ni well thought and presented for mlimani community consumption.
 
Kuna ambaye anaweza kuelezea kwa Uhakika Mzee Punch alikuwa ni nani hasa? Sijawahi kusikia kuwa amekamatwa!
 
Mzee Punch bado yupo ukiingia maeneo ya Daruso mpaka leo kuna meza ambayo haikaliwi na mtu yoyote watu wanadai hapo ni kwa mzee. Halafu jamaa nadhani alianza kuandamwa baada ya lile sekeseke la miaka ya 90 enzi za Mzee Ruksa a.k.a Mzee Jangala kwa kaka zetu waliosoma miaka hiyo.
 
Kuna ambaye anaweza kuelezea kwa Uhakika Mzee Punch alikuwa ni nani hasa? Sijawahi kusikia kuwa amekamatwa!

Huyo "Mzee Punch" hakuwa mtu mmoja bali kikundi cha watu ndani na nje ya chuo wakifanya shughuli zao kwa usiri mkubwa kama any other secret society.Hata hivyo ilisemekana kwamba wengi wa "wanachama " walikuwa wanafunzi wa Uhandisi kwa vile wao ndio waliokuwa wanahodhi meza kuu! Wao ndio waliokuwa wakivunja taratibu( etiquette) za kutumia cafeteria kama kutokupanga foleni kuchukua chakula kama wengine na hawakukutana na ghadhabu ya Mzee punch.Kadhalika wao walikuwa na ama walijitwalia " nguvu" ya kujifanyia mambo yao mengi bila kuogopa kama wanafunzi wengine na hii ikaleta hisia kuwa wahandisi hao walikuwa wadau wakuu kwenye taasisi ya Mzee Punch!
 
Mzee PUNCH alikuwepo UDSM hata kabla ya faculty of Engineering kuanza. Kilikuwa ni kikundi cha wanachuo ambao walikuwa social commentators wakijumuisha wachoraji[ artists] na na wale waliosomea Arts subjects[penguins]. wakati huo Mzee Punch hakuwa anafanya unyayasaji wa kijinsia dhidi ya female students. Mambo hayo yamekuja baadae; mimi nazungumzia miaka ya 70 enzi za SAWAYA NA GEORGE RWEBANDIZYA & CO.!!
 
Clothing and Dress, 16 November 1996, 5

73
Date: Sat, 16 Nov 1996 11:18:36 +0300 (GMT+0300)
From: John Hobgood
To: Friends/Family
Subject: Clothing and dress (fwd)
Clothing and dress are very interesting things. As mentioned before there is a HUGE demand for second hand clothes here in Tanzania. It is interesting when you see such things as an RDU 106.1 Raleigh Durham NC radio station T-shirt on a guy or a Mule Days shirt from a small town in Georgia. On campus for men normal dress is long pants and long sleeve dress shirts. Women usually wear dresses. Me, I wear shorts, tevas, and t-shirt. I have debated on this, but have asked a lot of people what they think about my dress habit and they smile and say that it is what is expected of me and that it is fine because I come from a different culture. Believe me, I tried to wear long pants and a short sleeve dress shirt, but I sweat like a whatever and I can't be doing laundry every day or afford to smell like I would if I kept up that practice, so they don't mind me when I am comfortable.

Tanzanians, however, would not dream of wearing shorts to class. As my roommate told me, he would love to wear shorts, but he says his fellow Tanzanians would say, "What's wrong with this guy?" or they would think that he is trying to be like his Western roommate and neglecting the Tanzanian norms of society. Women are to wear dresses, although there are now some that have begun to wear dress slacks, which seems to be accepted as long as [they are] not tight.

There is a underground group called Mzee Punch which will "punch" a person who is not following what they determine as culturally accepted. A "punch" usually consists of a poster/banner hung from the cafeteria or from the roof of a building naming a person and what he/she has done--their lifestyle, and many things about them, whether they be true or false. More than often Punches target women, because since Mzee Punch is believed to be mostly men, they know how they want their women to behave (so is believed). Unfortunately, what comes after a "punch" is the sad thing, especially for women. It is basically shunning by your fellow students for fear that if they associate with you that they too may be "punched," so the cycle continues. This social outcasting has led to suicides over the years, and possibly to a suicide that occurred a week ago. Students have mixed attitudes toward punch when I have asked them. Men seem to think that it is good because it is keeping the culture and not letting people get Westernized, but it seems also to keep the women where they want them. Women, when I have asked say, "I don't want to talk about it," and that is how intimidated they are by the whole thing. I have been told by my friends in the administration that it began back in the 1960s as a good thing that more so targeted government and the corruption. In 1985 they (Mzee Punch) "punched" the President of Tanzania and police were sent to the university and while they were guarding the cafeteria (the site of punches) they were punched again. That instance is why people credit the group with being such a "smart" and tactical group. Mzee Punch never dies. Each new year they lose members and gain others....---John
 
Miaka ya baadaye Mzee Punch inaelekea alitekwa nyara na watu ambao mtazamo wao katika maisha si positive thinking.Badala ya kujadili issues za maana akaanza kuvictimize watu hasa wasichana.
Popularity ya kitu chochote katika jamii ni kuji-identify na problems za jamii hiyo ziwe za kitaaluma(kwa mlimani) au social.
Mzee Punch had to die, ingawa yeye alisema he is omnipotent, never graduates, sees all, hears all.
Kifo cha Mzee Punch inaelekea kilitokana na kukosa issues ambazo ni well thought and presented for mlimani community consumption.

Rev. Masanilo was who called "Mzee wa Punch"
 
<font size="4">Mzee Punch was omniscient, omnipresent and omnipotent.<br><br>Omnipotent: He could attach his message placards in impossible places.<br><br>Omniscient: He knew the deepest secrets of each student.<br><br>Omnipresent: He was every where, no event escaped him. At the Senate, inside the caffeteria kitchens, at each lecture theater, at the dispensary...<br><br>Oh yes, he was also incognito. If you knew him, you risked upsetting the fabric of the universe itself.<br></font>
 
Mzee Punch was omniscient, omnipresent and omnipotent.

Omnipotent: He could attach his message placards in impossible places.

Omniscient: He knew the deepest secrets of each student.

Omnipresent: He was every where, no event escaped him. At the Senate, inside the caffeteria kitchens, at each lecture theater, at the dispensary...

Oh yes, he was also incognito. If you knew him, you risked upsetting the fabric of the universe itself.
 
Mzee Punch was invisible and Inkogonito..Umenikumbusha mbali sana na ile alama yake ya fuvu..Lollllllll....Mzeeeee.....
 
Zaidi Mzee Punch alienea katika vyuo kadhaa hadi alipokuja kupigwa marufuku... Punch sasa haina nguvu sana na badala yake blogu zimekuwa zikifanya kazi aliyokuwa akiifanya mzee Punch


Muulizeni Alhaj Hassani Mwinyi habari za punch............... te te te te te punch ni noooma
 
Kifo cha mzee Punch kilikuwa kama cha mjusi mkubwa (dinosaurior), alishindwa kuendana na mabadiliko ya kijamii, alibaki kuwa conservative na kuanza kuingilia maisha binafsi ya watu. Inaonekana alikuwa akitongoza akikataliwa basi ana mchafua mtu. Watu wenye nia binafsi walipelekea mzee kufa. Nadhani kwenye miaka ya 90 ndio alikufa hasa baada ya kuanza mikopo. Labda alinyimwa mkopo:lol: Kwa sasa blog zinafanya kazi yake.
 
Kifo cha mzee Punch kilikuwa kama cha mjusi mkubwa (dinosaurior), alishindwa kuendana na mabadiliko ya kijamii, alibaki kuwa conservative na kuanza kuingilia maisha binafsi ya watu. Inaonekana alikuwa akitongoza akikataliwa basi ana mchafua mtu. Watu wenye nia binafsi walipelekea mzee kufa. Nadhani kwenye miaka ya 90 ndio alikufa hasa baada ya kuanza mikopo. Labda alinyimwa mkopo:lol: Kwa sasa blog zinafanya kazi yake.

Was Mzee Puch a Person or an Institution?
 
Back
Top Bottom