Hivi wizara yake inahusika na vyo vikuu? Naomba kumbukumbu kama aliwahi kufanya surprise chuo kikuu chochote...Watu sasa wameanza hata kuhoji elimu yake!. Watanzania sasa tumekuwa wagonjwa wa "paper qualifications" watu humu sasa wanamkomalia kuhusu elimu yake!. I doesn't matter jamaa ni jembe kweli!. Nimemshuhudia akipiga mzigo wa kufa mtu!. Akifanya ziara za kikazi popote, hufanya 'surprize visit" kwenye mashule au vyuo na kuibua madudu!.
Tumhukumu mtu kwa utendaji wake na sio kwa "Sleep of a tongue"!.
Pasco.
Na vipi aliposema ''REDIES AND JONTROMEN'' huo ulimi ulikuwa na grisi mpaka ateleze mara zote hizo?
HUYU "MWALIMU MZOEFU" wa somo la historia kama alivyojiita mwenyewe hajateleza ulimi wala nini.
Kakubali kuwa hana umahiri wa kutumia PPT... kwanini basi alikubali kwenda kufanya presentation kwenye hadhira ya kimataifa huku akijua ni maamuma kwenye hilo eneo? Uzoefu wake kama mwalimu hatujauona popote kwenye ile presentation na hata hapa radioni kwenye kujitetea.
AKUBALI YAISHE KUWA HANA SIFA ZA KUWA WAZIRI WIZARA YA ELIMU BAAAS!
Hili ni fundisho kuwa MAWAZIRI WANATAKIWA AMA KUWA MAHIRI SANA KWENYE MAMBO MENGI, AU BASI WABAKIE KUPIGIA DEBE TU SERA ZA CHAMA BILA KUINGILIA MAMBO YA TAALUMA ZENYE WENYEWE.
kama kweli It was only a slip of a tongue kwa nini hajui awards ambazo zinatolewa Tanzania fuatilia hiyo ppt yake then utakuta VETA wanatoa NTA level 1-3 its ok then NACTE wanatoa NTA level 4 to 8 then anasema NTA level 9 to 12 wanatoa Higher National Diploma kweli hiyo ipo? mwambie NTA level 9 to 12 its post graduate na hao NACTE & VETA its just a tool to monitor and control those awards under government and non government Institution and universities
Mkuu nakubaliana na wewe kwenye rangi ya bluu hapo juu, ila jaribu na wewe basi kujirekebisha hapo kwenye rangi nyekundu tusije tukakujumuisha na Mulugo.Habari wana jf
naomba mod hii kitu iacheni hivi
msiichangane na maada ya kosa lake
Ikiwa anaojiwa na pj wa cloud fm, wazir huyu amekili kosa kuwa alichanganyikiwa kwani alikuwa anatumia powerpoint na wazir aliyetoka baada ya yeye kuongea ni waziri wa elimu wa zimbabwe nakatika akili yake hakawa bado anafikila naye na then kusema ni kuteleza kwa ulimi tu
Kuhusu mwaka pia amekili ni kosa alivyosema 1~19 6 4 kwenye 19 alimaanisha 9 tu
Lakini sasa kaulizwa je jibu nilipi akasema tanzania ni muungano wa zanzibar, pemba na tanganyika ndio kosa lingine ili kwani ata class one anajibu zuri tu kuwa ni ZANZIBAR ( unguja na pemba) na TANGANYIKA
MY TAKE
Waziri jaribu kudeal sana na watanzania wenzako zaidi, mambo yanayohusu lugha ya nje, n.k muachie doctor K ayafanye
Bado tusubiri
~steven masele
~janeth mbena n.k
V
SENGEREMA
Habari wana jf
naomba mod hii kitu iacheni hivi
msiichangane na maada ya kosa lake
Ikiwa anaojiwa na pj wa cloud fm, wazir huyu amekili kosa kuwa alichanganyikiwa kwani alikuwa anatumia powerpoint na wazir aliyetoka baada ya yeye kuongea ni waziri wa elimu wa zimbabwe nakatika akili yake hakawa bado anafikila naye na then kusema ni kuteleza kwa ulimi tu
Kuhusu mwaka pia amekili ni kosa alivyosema 1~19 6 4 kwenye 19 alimaanisha 9 tu
Lakini sasa kaulizwa je jibu nilipi akasema tanzania ni muungano wa zanzibar, pemba na tanganyika ndio kosa lingine ili kwani ata class one anajibu zuri tu kuwa ni ZANZIBAR ( unguja na pemba) na TANGANYIKA
MY TAKE
Waziri jaribu kudeal sana na watanzania wenzako zaidi, mambo yanayohusu lugha ya nje, n.k muachie doctor K ayafanye
Bado tusubiri
~steven masele
~janeth mbena n.k
V
SENGEREMA
Hutendi haki hata sisi wasomi wa VETA ni wahitimu wa chuo/vyuo pia. huyu ni Waziri muhusika wa vyuo hivyo. kumbuka hata darasa la 7 ni Graduate pia.Hivi wizara yake inahusika na vyo vikuu? Naomba kumbukumbu kama aliwahi kufanya surprise chuo kikuu chochote...
Pasco,
Kabla hatujakusaidia kubadili title, nawe 'umetelaza'
Naona naye kajitetea kuwa aliteleza tu.
Habari wana jf
naomba mod hii kitu iacheni hivi
msiichangane na maada ya kosa lake
Ikiwa anaojiwa na pj wa cloud fm, wazir huyu amekili kosa kuwa alichanganyikiwa kwani alikuwa anatumia powerpoint na wazir aliyetoka baada ya yeye kuongea ni waziri wa elimu wa zimbabwe nakatika akili yake hakawa bado anafikila naye na then kusema ni kuteleza kwa ulimi tu
Kuhusu mwaka pia amekili ni kosa alivyosema 1~19 6 4 kwenye 19 alimaanisha 9 tu
Lakini sasa kaulizwa je jibu nilipi akasema tanzania ni muungano wa zanzibar, pemba na tanganyika ndio kosa lingine ili kwani ata class one anajibu zuri tu kuwa ni ZANZIBAR ( unguja na pemba) na TANGANYIKA
MY TAKE
Waziri jaribu kudeal sana na watanzania wenzako zaidi, mambo yanayohusu lugha ya nje, n.k muachie doctor K ayafanye
Bado tusubiri
~steven masele
~janeth mbena n.k
V
SENGEREMA
Mkuu Tupo, kabla sijakujibu naamba kwanza kukuuliza swali dogo tuu, Neno vyuo maana yake ni vyuo vikuu tuu?.Hivi wizara yake inahusika na vyo vikuu? Naomba kumbukumbu kama aliwahi kufanya surprise chuo kikuu chochote...