Ngadu01
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 503
- 790
Tuna break up halafu unaenda kwa jamaa yangu what a F sijaumbiwa unyonge huo labda kama tungekuwa hatujazaa huyo mwanamke mshenzi kafanya dharau mbaya sana kwa upande wa pili ni kweli kabisa mwanamke alimzidi akili Mabeste tangu wakutane ndio anguko lake LA sanaa lilopoanza alifanikiwa kumgombanisha na work mates zake wote kuanzia Pancho na B hits kwa ujumla huyu mwanamke sio kabisa alishawahi kumtukana Jux kupitia IG akaunti ya mabeste kisa Jux alisahau kutoa shukran wakati wa tuzo za kila aliposhinda tuzo ya wimbo bora wa RnB Sisikii ambao aliutunga mabeste ila kiukweli Jux wimbo aliununua kwa pesa taslim lakini alitumia busara akaja kumshukuru Mabeste kupitia social media huyu mwanamke kabomoa sana future ya jamaa kwa kweli