Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,743
- 4,269
Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la kuaibishana au kusemana mtandaoni kwa wanandoa ambao wameshafeli kwenye union zao.
Tulishuhudia Mihayo Wilmore na mkewe wakishambuliana mmoja kwenye podcast ya Men Men Men, mwingine akahojiwa na Clouds pamoja na kuvujisha video.
Kisha msanii Stamina akatoa wimbo pamoja na kufanya interview akieleza wazi wazi kuwa kachapiwa na hataki iwe siri ya ndani na akamtaja alommega mkewe kuwa eti ni mchezaji wa Simba.
Wakati bado anga lina vumbi ikaja issue ya Msanii Venance William 'Mabeste' na Mkewe Lisa Karl Fickenscher kuwasuprise fans kuwa wameshatalikiana huku kila mmoja akivuta kamba upande wake kuwa kaonewa.
Niliangalia interview za hawa watu wawili na ninachoweza kusema ni kuwa Mabeste alioa mke asiye level zake especially kiakili.
Sijui yupi ni mkweli kati yao, ila Lisa hata anavyojieleza tu you can tell alimzidi akili Mabeste. Sijasema ana akili saana ila zikiwekwa zake na mabeste kwenye mzani tofauti ni kubwa sana na hapo ndo tatizo lilipoanzia.
Huyu dada anajua kupangilia maneno, ana the right facial expression, hajajichanganya hata kidogo, hajaonesha chuki wala kupiga ngenga, kwa kifupi kamuaibisha Mabeste with class kwa kupitia kwenye weakness zake na kujifanya kama vile hana shida nazo kumbe ndo anatoboa meli.
Mabeste on the other hand, kakimbilia lile lile ambalo wanaume wote hukimbilia, "ooh kaenda kuwa na rafiki yangu, tulikula Christmas kwao". (Kwanza wanaume mtambue tu, ukimuacha mkeo probability ya yeye kuwa na rafiki yako ni kubwa sana hasa akiwa jembe. Kwa sababu wenzio kwani hawana macho? Unadhani hawakuonei wivu unavyofaidi?)
Kisha Lisa kuhusu hilo suala ameclarify, kuwa huyo rafiki alikuwa rafiki yake yeye kwanza na Mabeste ndo akamjua. So Mabeste amebaki hana claim. Alitumia a very weak point.
Mabeste anasema "sijashirikishwa shule anayoenda kusoma mwanangu naambiwa tu kuwa kaenda shule, sijaambiwa natoaje matunzo". Yani amecheza mule mule kwenye story ya Lisa kuwa Mabeste ni Marioo hawajibiki.
Wanaume, tafuta mwanamke unayemmudu kiakili or else utalialia weeh na kusema wamemchukua sababu ya pesa, wamemchukua sababu ya mali kumbe hukutosha kiakili.
Wasalaam
Tulishuhudia Mihayo Wilmore na mkewe wakishambuliana mmoja kwenye podcast ya Men Men Men, mwingine akahojiwa na Clouds pamoja na kuvujisha video.
Kisha msanii Stamina akatoa wimbo pamoja na kufanya interview akieleza wazi wazi kuwa kachapiwa na hataki iwe siri ya ndani na akamtaja alommega mkewe kuwa eti ni mchezaji wa Simba.
Wakati bado anga lina vumbi ikaja issue ya Msanii Venance William 'Mabeste' na Mkewe Lisa Karl Fickenscher kuwasuprise fans kuwa wameshatalikiana huku kila mmoja akivuta kamba upande wake kuwa kaonewa.
Niliangalia interview za hawa watu wawili na ninachoweza kusema ni kuwa Mabeste alioa mke asiye level zake especially kiakili.
Sijui yupi ni mkweli kati yao, ila Lisa hata anavyojieleza tu you can tell alimzidi akili Mabeste. Sijasema ana akili saana ila zikiwekwa zake na mabeste kwenye mzani tofauti ni kubwa sana na hapo ndo tatizo lilipoanzia.
Huyu dada anajua kupangilia maneno, ana the right facial expression, hajajichanganya hata kidogo, hajaonesha chuki wala kupiga ngenga, kwa kifupi kamuaibisha Mabeste with class kwa kupitia kwenye weakness zake na kujifanya kama vile hana shida nazo kumbe ndo anatoboa meli.
Mabeste on the other hand, kakimbilia lile lile ambalo wanaume wote hukimbilia, "ooh kaenda kuwa na rafiki yangu, tulikula Christmas kwao". (Kwanza wanaume mtambue tu, ukimuacha mkeo probability ya yeye kuwa na rafiki yako ni kubwa sana hasa akiwa jembe. Kwa sababu wenzio kwani hawana macho? Unadhani hawakuonei wivu unavyofaidi?)
Kisha Lisa kuhusu hilo suala ameclarify, kuwa huyo rafiki alikuwa rafiki yake yeye kwanza na Mabeste ndo akamjua. So Mabeste amebaki hana claim. Alitumia a very weak point.
Mabeste anasema "sijashirikishwa shule anayoenda kusoma mwanangu naambiwa tu kuwa kaenda shule, sijaambiwa natoaje matunzo". Yani amecheza mule mule kwenye story ya Lisa kuwa Mabeste ni Marioo hawajibiki.
Wanaume, tafuta mwanamke unayemmudu kiakili or else utalialia weeh na kusema wamemchukua sababu ya pesa, wamemchukua sababu ya mali kumbe hukutosha kiakili.
Wasalaam