minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
wimbo niliousikia hivi karibuni wa msanii huyo uitwao 'adela' unanifanya nifikirie pamoja wa watanzania wengine (pengine!) kwamba ni nani hasa anayetajwa kama adela?
ikumbukwe mpoto ni selebu aliyetokea kupendwa sana kwa mtindo wake wa kufikisha ujumbe kwa hadhira kwa njia ya mafumbo ( kama yesu alivyokuwa akitumia mifano [parrables] ili kufikisha ujumbe bila shaka bila ya kulazimika kumkwaza anayehusika.
katika wimbo wa 'mjomba' watu wakajaribu kubashiri nani hasa huyo mjomba; jk? mkapa? spika sitta? (as he then was), wilbroad slaa? nk ambapo wengi walitabiri huenda huyo anko akawa ni mkulu mkuu wa sasa.
sasa kwa vile kwenye wimbo huu wa 'adela' anayetajwa ni mwanamke (kwa mazingira ya kawaida ya kitanzania ambapo mara nyingi wenye jina hilo ni akina mama, dada, wasichana na vichanga vya kike), swali likaja ni mwanamke gani huyo ambaye ana ukaribu na mjomba?
katika kibwagizo adela anatahadharishwa kwamba lengo la kuombwa anyooshe mkono si kurudishwa darasani bali kuwekana sawa.
kwenye lyrics zake mjomba anaendelea 'kumlaumu' mjomba kwa ukaidi licha ya kutumiwa ujumbe kwa vile huyo mpwa hakuwa na nauli...
my take:
je, huyo adela anaweza akawakilisha viongozi gani wa kike hapa nchini? akina makinda na wenye sifa kama hizo za kushikilia ofisi za juu?
ikumbukwe mpoto ni selebu aliyetokea kupendwa sana kwa mtindo wake wa kufikisha ujumbe kwa hadhira kwa njia ya mafumbo ( kama yesu alivyokuwa akitumia mifano [parrables] ili kufikisha ujumbe bila shaka bila ya kulazimika kumkwaza anayehusika.
katika wimbo wa 'mjomba' watu wakajaribu kubashiri nani hasa huyo mjomba; jk? mkapa? spika sitta? (as he then was), wilbroad slaa? nk ambapo wengi walitabiri huenda huyo anko akawa ni mkulu mkuu wa sasa.
sasa kwa vile kwenye wimbo huu wa 'adela' anayetajwa ni mwanamke (kwa mazingira ya kawaida ya kitanzania ambapo mara nyingi wenye jina hilo ni akina mama, dada, wasichana na vichanga vya kike), swali likaja ni mwanamke gani huyo ambaye ana ukaribu na mjomba?
katika kibwagizo adela anatahadharishwa kwamba lengo la kuombwa anyooshe mkono si kurudishwa darasani bali kuwekana sawa.
kwenye lyrics zake mjomba anaendelea 'kumlaumu' mjomba kwa ukaidi licha ya kutumiwa ujumbe kwa vile huyo mpwa hakuwa na nauli...
my take:
je, huyo adela anaweza akawakilisha viongozi gani wa kike hapa nchini? akina makinda na wenye sifa kama hizo za kushikilia ofisi za juu?