mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Nimeshutushwa sana na tuhuma za mbunge wetu wa kuteuliwa Mama Gratruda Rwakatare kuhusu undani wake kutoka katika gazti la kufuatilia mambo ya watu Binafsi yaani ya Udaku yanayotoka Kila ijumaa ikimuhusisha Rev. G. Rwakatare na ndoa yake, ikidaiwa kuwa yeye uishi bila mme na anawajibikaje kushawishi Umma na waumini wake kufuata maadili mema hasa kusuruhisha ndoa wakati ya kwake ilimshinda?
Mwenye hoja karibuni
Mwenye hoja karibuni