Baada ya kuunda chama chake cha kisiasa, sasa ni wazi Hamad Rashid atabaki nje ya bunge. atabaki kuhonga medai ili sauti yake itoke
Sijui Jimbo gani anaweza akasimama na kushinda.
Jimbo la wawi. Hapa sijui ajiunge na Chama gani hata akubalike tena
jimbo la kinondoni. Hapa ndio kabisa, Mpemba hawezi kupewa Jimbo.
Unguja Mjini. Huku hata arudi CCM. kura za maoni tu amwagwa.
Atabaki kukusha kwenye vyumba vya media ili sauti yake isikilikane
yuko wapi mapalala?
Sijui Jimbo gani anaweza akasimama na kushinda.
Jimbo la wawi. Hapa sijui ajiunge na Chama gani hata akubalike tena
jimbo la kinondoni. Hapa ndio kabisa, Mpemba hawezi kupewa Jimbo.
Unguja Mjini. Huku hata arudi CCM. kura za maoni tu amwagwa.
Atabaki kukusha kwenye vyumba vya media ili sauti yake isikilikane
yuko wapi mapalala?