Ya mapalala ndio haya ya Hamad Rashidi, atabaki historia ktk siasa za Tanzania

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Baada ya kuunda chama chake cha kisiasa, sasa ni wazi Hamad Rashid atabaki nje ya bunge. atabaki kuhonga medai ili sauti yake itoke
Sijui Jimbo gani anaweza akasimama na kushinda.

Jimbo la wawi. Hapa sijui ajiunge na Chama gani hata akubalike tena
jimbo la kinondoni. Hapa ndio kabisa, Mpemba hawezi kupewa Jimbo.
Unguja Mjini. Huku hata arudi CCM. kura za maoni tu amwagwa.
Atabaki kukusha kwenye vyumba vya media ili sauti yake isikilikane
yuko wapi mapalala?
 
Baada ya kuunda chama chake cha kisiasa, sasa ni wazi Hamad Rashid atabaki nje ya bunge. atabaki kuhonga medai ili sauti yake itoke
Sijui Jimbo gani anaweza akasimama na kushinda.

Jimbo la wawi. Hapa sijui ajiunge na Chama gani hata akubalike tena
jimbo la kinondoni. Hapa ndio kabisa, Mpemba hawezi kupewa Jimbo.
Unguja Mjini. Huku hata arudi CCM. kura za maoni tu amwagwa.
Atabaki kukusha kwenye vyumba vya media ili sauti yake isikilikane
yuko wapi mapalala?

Mkuu afadhali hata Hamad Rashid tunamuelewa kwa matamshi yake.
CUF sikio la kufa, haijulikani inasimamia nini zaidi ya ubaguzi wa kidini , wa rangi hata jinsia.
Mara mia Hamad Rashid kuliko CUF ya Maalim Seif.
 
Afadhali wewe umeliona hilo,Kunguru Mweusi mpaka leo hajui waTanganyika wameshamstukia Maalimu na siasa zake za ukaburu.

Mkuu afadhali hata Hamad Rashid tunamuelewa kwa matamshi yake.
CUF sikio la kufa, haijulikani inasimamia nini zaidi ya ubaguzi wa kidini , wa rangi hata jinsia.
Mara mia Hamad Rashid kuliko CUF ya Maalim Seif.
 
Ni kweli anayo kazi kubwa na siyo yeye tu ni kwa wale wote wanaoanzisha chama/vyama ktk mazingira kama haya ya kisiasa. Ukiangalia hivi vilivyosajiliwa ni CHADEMA tu ambayo inaonekana ikikua na kupanuka na wengi wa wanachama wake wakiwa ni vijana.
 
Baada ya kuunda chama chake cha kisiasa, sasa ni wazi Hamad Rashid atabaki nje ya bunge. atabaki kuhonga medai ili sauti yake itoke
Sijui Jimbo gani anaweza akasimama na kushinda.

Jimbo la wawi. Hapa sijui ajiunge na Chama gani hata akubalike tena
jimbo la kinondoni. Hapa ndio kabisa, Mpemba hawezi kupewa Jimbo.
Unguja Mjini. Huku hata arudi CCM. kura za maoni tu amwagwa.
Atabaki kukusha kwenye vyumba vya media ili sauti yake isikilikane
yuko wapi mapalala?

Unaruhusiwa kuota japo sina hakika kama makunguru huwa yanaotaga. Kwanza elewa kwamba hamad rashid ni mbunge wa cuf jimbo la wawi na kesi atashinda, pili pemba hii sio ile unayoifikiria wewe kwamba ni cuf cuf cuf, zama zishapita zile hasa baada ya mungu mtu sultani kuvuliwa nguo hadharani na HR, hakuna siri tena, wenye utimamu wao washameguka na soon ADC ikipewa usajili ndio utajua mbivu na mbichi.
Kwa coment yako nawe unaonyesha unavimelea vya kibaguzi, na mwisho wakti ukifika basi nina hakika HR atang'atuka CUF (sio kufukuzwa) na kurudi bungeni kama mbunge wa wawi kwa tiketi y ADChange...:ballchain:
 
Unaruhusiwa kuota japo sina hakika kama makunguru huwa yanaotaga. Kwanza elewa kwamba hamad rashid ni mbunge wa cuf jimbo la wawi na kesi atashinda, pili pemba hii sio ile unayoifikiria wewe kwamba ni cuf cuf cuf, zama zishapita zile hasa baada ya mungu mtu sultani kuvuliwa nguo hadharani na HR, hakuna siri tena, wenye utimamu wao washameguka na soon ADC ikipewa usajili ndio utajua mbivu na mbichi.
Kwa coment yako nawe unaonyesha unavimelea vya kibaguzi, na mwisho wakti ukifika basi nina hakika HR atang'atuka CUF (sio kufukuzwa) na kurudi bungeni kama mbunge wa wawi kwa tiketi y ADChange...:ballchain:

Usikurupuke kuandika mitandaoni usichokielewa njoo huku Pemba ufanye utafiti wa ulichokiandika hapa kama kina ukweli au la! Je una habari kama Jaji Agustine Shangwa juzi aliingia mitini!!?
 
Back
Top Bottom