Elections 2010 ya lacairo haya hapa aibuuuuuuu

Wewe ni mgeni humu jf ee?

komagi
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-online.png
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateMon Nov 2010Posts42Thanks0Thanked 4 Times in 4 Posts
 
kuna mzushi alikuwa ananizingua ikabid nimchape nayo....huyo anajiita geniuos brain
 
Kaka kwa ufupi ni kwamba hii ilishabanmdikwa hapa zamani kabla ya kuanza uchaguzi!
 
Siyo vibaya kuipost mara ya pili; hii itasaidia wale waliokuwa wanaelekeza shutuma kwa Dr, Slaa, wazielekeze kwa mwenzao aliyetoboa siri
 
kuna mzushi alikuwa ananizingua ikabid nimchape nayo....huyo anajiita geniuos brain

Hii tulishaona ages nyuma!!!

Jifunze kupitia mambo ya humu mkuu!!!

PJ, amepata sheria za jamvi huyu? He/she seems very new!!
 
bado tunataka kipi zaidi


Inasikitisha lakini sina mbavu kwa kicheko! Walichokuwa wakikibisha ni nini? Tena imeandikwa na mtu ASIYEJUA kutumia vizuri MS Word! Yaani imekaa shaghalabhaghala! Kawaida yao! Hii ni authentic kabisa! LOL
 
Back
Top Bottom