Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
nawewe huoni picha hizo, ama unatumia window 97, pole.
...si amekurupushwa tu jamani, baadhi ya wanawake wakiondoa "make-up" zao sijui angel face, mascara, lipstick nk utashangaa what is behind the 'mask!'
...si amekurupushwa tu jamani, baadhi ya wanawake wakiondoa "make-up" zao sijui angel face, mascara, lipstick nk utashangaa what is behind the 'mask!'
...si amekurupushwa tu jamani, baadhi ya wanawake wakiondoa "make-up" zao sijui angel face, mascara, lipstick nk utashangaa what is behind the 'mask!'
Hao waliolala na huyu manzi wanahitajika wapimwe akili! Unalalaje na jitu la hivi mvuto ziro? Hata nilewe vipi sijafungua zipu hapo? Mtu anayeweza kulala na huyu anaweza akalala hata na beberu la fisi!
Jamani tuweni makini. Huyu anatoa ujumbe kwa kina kaka wawe makini na waaminifu kwa wake (waliooa) zao na wapenzi (wenye stable relationships) na wasioonao- kuabstine or kucheza salama.
nyie wote mmesahau watu hawaangalii reception hiyo kama huyo ana mgongo na shepu la kufa mtu kaua wengi,hiyo sura naona mwake tu sema mapowda kazidisha,lakini mtu ukutane nae mitaa ya club night kali na kafungasha zigo nyuma kigurunyembe mitaa ya tampere na baridi hilo utamuacha?thubutuu ukizingatia huku ngoma hizi black unakula kama embe la mdondo mara mojamoja....si amekurupushwa tu jamani, baadhi ya wanawake wakiondoa "make-up" zao sijui angel face, mascara, lipstick nk utashangaa what is behind the 'mask!'
jamani mnanifanya nicheke katikati ya masikitiko lol.ukiwa umepombeka kwakweli huyu mbona unamuona mrembo kuliko Kreopatra......kweli nakwambia
Mtu anakulaje mtu mwenye reception kama hii? da! Jicho ka mwizi?