Ya january makamba na facebøøk.

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,267
4,715
Wajameni, ktk pitapita yangu ktkt ya vijana wa chuo kikuu nimenusa debate juu ya mbunge mteule wa jimbo la bumbuli, waziri mtarajiwa na mgombea uraisi mtarajiwa (2015 elections) vs facebook. Vijana hawa walikuwa wakijadili kuwa januar alikuwa na fb friend wa kike mumarekani, walipotofautiana january aka mu - abuse na kumtolea maneno ya vitisho. Msichana akamlipoti kwenye vyombo vya usalama vya marekani: hivyo januari makamba amezuiliwa kuingia katika nchi hiyo. Wana jf nawasilisha, najua januari ni memba wa janvini tena kwa majina mengi naomba atueleze ukweli. Natamani joka kuu asiache kuchangia.
 
gama ....nenda katafute thread yenye key word Lisa Rockerfella utakutana na maelezo yanayojitosheleza.

ila kweli watanzania washabiki .......ishakuwa karipotiwa kwa vyombo vya usalama! kazi ipo
 
Mi nakwambia hivi vipaji tungevitumia katika uandishi wa riwaya labda kina Elvis Musiba wangekuwapo wengi tu.

Kila kitu siasa siku hizi, na kila kitu game.

Tacky. Just tacky. Unresearched misinformation is just so tacky.

If you want to misinform us at least give us some researched misinformation that borders on the truth so we can get a challenge to figure out, not this weak fluff.

This is insulting people's intelligence. But perhaps we have some genuine arachnids and molluscs up in here, so excuse some of these invertebrates for their slowness.
 
Mi nakwambia hivi vipaji tungevitumia katika uandishi wa riwaya labda kina Elvis Musiba wangekuwapo wengi tu.

Kila kitu siasa siku hizi, na kila kitu game.

Tacky. Just tacky. Unresearched misinformation is just so tacky.

If you want to misinform us at least give us some researched misinformation that borders on the truth so we can get a challenge to figure out, not this weak fluff.

yaani watanzania wengi ukiwapa pure facts hawawezi hata kukuelewa, lazima uwajazie na chumvi na pilipili.

na hapo akisha ambiwa na yeye aongeze lake kidogo kisha ndo asambaze. hakuna anaefanya uhakiki wa taarifa, wala kuhakikisha kuwa hajaongeza lake.

ndio maana magazeti ya udaku yanauza kuliko magazeti yanayoandika taarifa bila ya kuziremba kwa uongo mwingi.
 
Mi nakwambia hivi vipaji tungevitumia katika uandishi wa riwaya labda kina Elvis Musiba wangekuwapo wengi tu.

Kila kitu siasa siku hizi, na kila kitu game.

Tacky. Just tacky. Unresearched misinformation is just so tacky.

If you want to misinform us at least give us some researched misinformation that borders on the truth so we can get a challenge to figure out, not this weak fluff.

This is insulting people's intelligence. But perhaps we have some genuine arachnids and molluscs up in here, so excuse some of these invertebrates for their slowness.

ukimaliza kutukana tupe ukweli, ican see it in your eyes that you have the trueth, thread inasema wanajanvi wajulishwe ukweli. Nakupongeza kuwa wanajanvi umewajulisha ukweli kuwa wewe hujapelekwa jando ndo maana matusi kwako ndo mchango ktk debate
 
ukimaliza kutukana tupe ukweli, ican see it in your eyes that you have the trueth, thread inasema wanajanvi wajulishwe ukweli. Nakupongeza kuwa wanajanvi umewajulisha ukweli kuwa wewe hujapelekwa jando ndo maana matusi kwako ndo mchango ktk debate

Matusi? Matusi si nature yangu, ila kuna weakherts fulani kama wewe hata ukiwaambia "Hello, how are you doing?" watamaka mbona yule kanisalimia kwa mkazo sana, ananibeza nini.

Kuwaita slopokes slopokes si matusi, ni kusema ukweli tu.
 
yaani watanzania wengi ukiwapa pure facts hawawezi hata kukuelewa, lazima uwajazie na chumvi na pilipili.

na hapo akisha ambiwa na yeye aongeze lake kidogo kisha ndo asambaze. hakuna anaefanya uhakiki wa taarifa, wala kuhakikisha kuwa hajaongeza lake.

ndio maana magazeti ya udaku yanauza kuliko magazeti yanayoandika taarifa bila ya kuziremba kwa uongo mwingi.

so wewe unaona kuwa habari imerembwa na kuongezwa chumvi na pilipili. Ondoa urembo,chumvi na plpl kwenye hii habari kisha wape wanahabari ukweli, maana kupata ukweli ni haki yao.
 
so wewe unaona kuwa habari imerembwa na kuongezwa chumvi na pilipili. Ondoa urembo,chumvi na plpl kwenye hii habari kisha wape wanahabari ukweli, maana kupata ukweli ni haki yao.

nimeshakwambia kuwa ina thread yake hapa yenye kichwa cha habari kinachojumiisha maneno Lisa Rockerfella .......sasa unataka nini tena zaidi ya hapo?
 
Matusi? Matusi si nature yangu, ila kuna weakherts fulani kama wewe hata ukiwaambia "Hello, how are you doing?" watamaka mbona yule kanisalimia kwa mkazo sana, ananibeza nini.

Kuwaita slopokes slopokes si matusi, ni kusema ukweli tu.

so kiranga plz do us a fever tell us the trueth: that Sir JM was defriended by an fb friend and resorted to abuse her?!
 
nimeshakwambia kuwa ina thread yake hapa yenye kichwa cha habari kinachojumiisha maneno Lisa Rockerfella .......sasa unataka nini tena zaidi ya hapo?

merci d'avance
 
so kiranga plz do us a fever tell us the trueth: that Sir JM was defriended by an fb friend and resorted to abuse her?!

I don't do gossip, I don't know what does "do us a fever" mean, and trueth sounds like from bad olde Shakesperean Englishe I won't care for.
 
Wajameni, ktk pitapita yangu ktkt ya vijana wa chuo kikuu nimenusa debate juu ya mbunge mteule wa jimbo la bumbuli, waziri mtarajiwa na mgombea uraisi mtarajiwa (2015 elections) vs facebook. Vijana hawa walikuwa wakijadili kuwa januar alikuwa na fb friend wa kike mumarekani, walipotofautiana january aka mu - abuse na kumtolea maneno ya vitisho. Msichana akamlipoti kwenye vyombo vya usalama vya marekani: hivyo januari makamba amezuiliwa kuingia katika nchi hiyo. Wana jf nawasilisha, najua januari ni memba wa janvini tena kwa majina mengi naomba atueleze ukweli. Natamani joka kuu asiache kuchangia.

Aiseh, yaani hapo kwenye red kama ni kweli basi sisi CHADEMA ndio furaha yetu manake tutashinda urais kwa ulaiiiiiini. Hayo mengine achana nayo, habari za Lisa na JM tulishazijadili hapa.
 
Mi nakwambia hivi vipaji tungevitumia katika uandishi wa riwaya labda kina Elvis Musiba wangekuwapo wengi tu.

Kila kitu siasa siku hizi, na kila kitu game.

Tacky. Just tacky. Unresearched misinformation is just so tacky.

If you want to misinform us at least give us some researched misinformation that borders on the truth so we can get a challenge to figure out, not this weak fluff.

This is insulting people's intelligence. But perhaps we have some genuine arachnids and molluscs up in here, so excuse some of these invertebrates for their slowness.

Hahahaha U re very right dude some ppl cant aasume the role of great thinker even for few seconds before they do their postings

Otherwise I like the way u can play arround with this english language.though sometime i need to make friendhship with a dictionary
 
I don't do gossip, I don't know what does "do us a fever" mean, and trueth sounds like from bad olde Shakesperean Englishe I won't care for.

of kz yes, u care 4 english english and not for englishe
 
Na huyo mwezi mosi atakua alishauria na babaake kumtishia huyo mdada wa kizungu, manaake mzee ma k alivo na mdomo jamani basi tu hashindwi, LIKE FATHER LIKE SON.
 
Na huyo mwezi mosi atakua alishauria na babaake kumtishia huyo mdada wa kizungu, manaake mzee ma k alivo na mdomo jamani basi tu hashindwi, LIKE FATHER LIKE SON.

hivi umehukumu kwa kutumia source hiyo ya Gama au kuna sehemu nyengine umepata maelezo yako?
 
Mi nakwambia hivi vipaji tungevitumia katika uandishi wa riwaya labda kina Elvis Musiba wangekuwapo wengi tu.

Kila kitu siasa siku hizi, na kila kitu game.

Tacky. Just tacky. Unresearched misinformation is just so tacky.

If you want to misinform us at least give us some researched misinformation that borders on the truth so we can get a challenge to figure out, not this weak fluff.

This is insulting people's intelligence. But perhaps we have some genuine arachnids and molluscs up in here, so excuse some of these invertebrates for their slowness.
no more to add
 
hivi umehukumu kwa kutumia source hiyo ya Gama au kuna sehemu nyengine umepata maelezo yako?

.GREAT THINKERS should never take any thing from forum members(like gama) but from gaigin et al
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom