Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,267
- 4,715
Wajameni, ktk pitapita yangu ktkt ya vijana wa chuo kikuu nimenusa debate juu ya mbunge mteule wa jimbo la bumbuli, waziri mtarajiwa na mgombea uraisi mtarajiwa (2015 elections) vs facebook. Vijana hawa walikuwa wakijadili kuwa januar alikuwa na fb friend wa kike mumarekani, walipotofautiana january aka mu - abuse na kumtolea maneno ya vitisho. Msichana akamlipoti kwenye vyombo vya usalama vya marekani: hivyo januari makamba amezuiliwa kuingia katika nchi hiyo. Wana jf nawasilisha, najua januari ni memba wa janvini tena kwa majina mengi naomba atueleze ukweli. Natamani joka kuu asiache kuchangia.