kakuruvi JF-Expert Member Sep 2, 2009 770 256 Feb 25, 2010 #1 Wana jf hata maisha ndivyo yalivyo kama ulifaidika jana tegemea mabadiliko ya aina yoyote aidha mazuri kuliko jana au mabaya. check hii attachment.
Wana jf hata maisha ndivyo yalivyo kama ulifaidika jana tegemea mabadiliko ya aina yoyote aidha mazuri kuliko jana au mabaya. check hii attachment.
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Feb 25, 2010 #3 Duh... Lazima aliwe huyo... Nimeshaona Manyowa... Na waswahili husema... UKIONA MANYOYA UJUWE KALIWA!!!
Duh... Lazima aliwe huyo... Nimeshaona Manyowa... Na waswahili husema... UKIONA MANYOYA UJUWE KALIWA!!!
Brooklyn JF-Expert Member Mar 17, 2009 1,459 284 Feb 25, 2010 #5 Hii ya siku ya pili lazima a loose 10 kilos, kuliwa tigo sio mchezo!!
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 18,652 13,470 Feb 25, 2010 #6 kwa staili hii kama akisalimika, nadhani jamaa atakuwa tayari kuongezeka hata kilo 100 na hapo hatarudi tena!!
kwa staili hii kama akisalimika, nadhani jamaa atakuwa tayari kuongezeka hata kilo 100 na hapo hatarudi tena!!
kakuruvi JF-Expert Member Sep 2, 2009 770 256 Feb 25, 2010 Thread starter #8 FirstLady1 said: heh! Click to expand... Usishangae 1stlady si umeona jamaa siku ya pili limepanga makochi kumzuia mtoto kumbe anajipangia yeye mwenyewe. Atajikaanga na mafuta yake.
FirstLady1 said: heh! Click to expand... Usishangae 1stlady si umeona jamaa siku ya pili limepanga makochi kumzuia mtoto kumbe anajipangia yeye mwenyewe. Atajikaanga na mafuta yake.
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Feb 25, 2010 #9 Brooklyn said: Hii ya siku ya pili lazima a loose 10 kilos, kuliwa tigo sio mchezo!! Click to expand... ..Tena na jamaa lenyewe manyoya kila kona!!! Mh!
Brooklyn said: Hii ya siku ya pili lazima a loose 10 kilos, kuliwa tigo sio mchezo!! Click to expand... ..Tena na jamaa lenyewe manyoya kila kona!!! Mh!
TzPride JF-Expert Member Nov 2, 2006 2,616 1,167 Feb 25, 2010 #10 Hiyo niliiona kwenye Comedy ya Futuhi....wale wa rock city. Hata hivyo inatimiza maandiko "Ole wao walao, maana nao wataliwa"
Hiyo niliiona kwenye Comedy ya Futuhi....wale wa rock city. Hata hivyo inatimiza maandiko "Ole wao walao, maana nao wataliwa"
kakuruvi JF-Expert Member Sep 2, 2009 770 256 Feb 25, 2010 Thread starter #11 TzPride said: Hiyo niliiona kwenye Comedy ya Futuhi....wale wa rock city. Hata hivyo inatimiza maandiko "Ole wao walao, maana nao wataliwa" Click to expand... TZPRIDE, Au ile ya muosha huoshwa.
TzPride said: Hiyo niliiona kwenye Comedy ya Futuhi....wale wa rock city. Hata hivyo inatimiza maandiko "Ole wao walao, maana nao wataliwa" Click to expand... TZPRIDE, Au ile ya muosha huoshwa.
TzPride JF-Expert Member Nov 2, 2006 2,616 1,167 Feb 26, 2010 #13 Kakuruvi na Bulesi mko sawa kabisa. Mkijua hivyo mtakuwa salaama...maana hutataka cha mtu ati.
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Feb 27, 2010 #14 Hah haaaaa haaaaah hh duh!!!!! sina mbavu.....lol.....???????