Kingo
JF-Expert Member
- May 12, 2009
- 855
- 390
Kutoka Deutche Welle Swahili. Rais wa Nigeria Jonathan atawasilisa rasimu ya marekebisho ya sheria kutaka muda wa uongozi wa urais na magavana nchini humo upunguzwe kutoka mihula miwili hadi mmoja huku muda wa huo muhula ukiongezwa kutoka miaka 4 ya sasa. Sababu: Kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wa viongozi, kwani wanatumia muda mwingi kuhangaikia kuchaguliwa tena uchaguzi unaofuata na pia kupunguza gharama ya uchaguzi wa kila mara. My take: Mimi hii natamani hata hapa Tz sheria itungwe tuwe na muhula 1 kwa uongozi, kwa rais, mawaziri, hata na wabunge na wk wa mikoa. Hamna mwenye hatimiliki ya jimbo au uongozi. We do not want recycled inefficient leaders and autocratic