Ya G. Jonathan Nigeria na muongo mmoja wa uongozi

Kingo

JF-Expert Member
May 12, 2009
855
390
Kutoka Deutche Welle Swahili. Rais wa Nigeria Jonathan atawasilisa rasimu ya marekebisho ya sheria kutaka muda wa uongozi wa urais na magavana nchini humo upunguzwe kutoka mihula miwili hadi mmoja huku muda wa huo muhula ukiongezwa kutoka miaka 4 ya sasa. Sababu: Kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wa viongozi, kwani wanatumia muda mwingi kuhangaikia kuchaguliwa tena uchaguzi unaofuata na pia kupunguza gharama ya uchaguzi wa kila mara. My take: Mimi hii natamani hata hapa Tz sheria itungwe tuwe na muhula 1 kwa uongozi, kwa rais, mawaziri, hata na wabunge na wk wa mikoa. Hamna mwenye hatimiliki ya jimbo au uongozi. We do not want recycled inefficient leaders and autocratic
 
Heshima kwako.
Nillisikia hii jana kwenye NPR. Nilishtushwasana na pendekezo hilo maana nimelitafsiri kama vile Bwana Goodluck Jonathan anataka kuleta aina ya kukaa madarakani kwa muda mrefu amabayo itawaharibia wananchi nafasi ya kuchagua mtu mwingine kama wanaona yeye hafai ( au raisi aliye madarakani hafai) Je kama anavurunda anataka aendelee kuvurunda mpaka lini? Yaani yeye ni nani anataka kubadili katiba ya nchi ambayo imefanya kazi miaka yote hiyo? Hii kazi ya kutoa ushauri si iachiwe kwa Wanaigeria wenyewe badala ya rais kuamua?
 
Heshima kwako.
Nillisikia hii jana kwenye NPR. Nilishtushwasana na pendekezo hilo maana nimelitafsiri kama vile Bwana Goodluck Jonathan anataka kuleta aina ya kukaa madarakani kwa muda mrefu amabayo itawaharibia wananchi nafasi ya kuchagua mtu mwingine kama wanaona yeye hafai ( au raisi aliye madarakani hafai) Je kama anavurunda anataka aendelee kuvurunda mpaka lini? Yaani yeye ni nani anataka kubadili katiba ya nchi ambayo imefanya kazi miaka yote hiyo? Hii kazi ya kutoa ushauri si iachiwe kwa Wanaigeria wenyewe badala ya rais kuamua?
Soma tena vizuri tamshi la Goodluck. Hilo ni pendekezo lake na kama raia namba moja nchini anayo haki ya kulitoa. Yeye amesema haya mambo ya mihula yanaingilia tija kwa sababu badala ya kushughulikia matatizo ya nchi unaanza kujiandaa kushughulikia uchaguzi ujao. Huu utaratibu umefanya kazi vizuri tu katika jimbo la Virginia, USA. Gavana anachaguliwa kwa kipindi kimoja tu cha miaka minne akimaliza uchaguzi unafanyika anaingia mwingine. Hii imempa gavana muda wa kumulika vision yake na kujaribu kuikamilisha katika hiyo miaka minne. Kwa kifupi it is a good idea. Unaweza kupewa kipindi cha kuongoza miaka 5 au sita ikimalizika anaingia mwingine.
 
Heshima kwako.
Nillisikia hii jana kwenye NPR. Nilishtushwasana na pendekezo hilo maana nimelitafsiri kama vile Bwana Goodluck Jonathan anataka kuleta aina ya kukaa madarakani kwa muda mrefu amabayo itawaharibia wananchi nafasi ya kuchagua mtu mwingine kama wanaona yeye hafai ( au raisi aliye madarakani hafai) Je kama anavurunda anataka aendelee kuvurunda mpaka lini? Yaani yeye ni nani anataka kubadili katiba ya nchi ambayo imefanya kazi miaka yote hiyo? Hii kazi ya kutoa ushauri si iachiwe kwa Wanaigeria wenyewe badala ya rais kuamua?

Alisema mabadiliko kama yatakubaliwa yataanza baada ya muhula wake 2015.
 
Mimi sioni tofautoi akiingia kichwa mbuzi ambaye anajua afanye mema asifanye hachaguliwi sasasi ndo ataiiba kiroho mbaya? Awamu za pili na za mwisho kwa viongozi wengi waafrika zimekuwa mbaya saana, kwani kumekuwa na wizi wa ajabu na utawala mbaya saana usiofuata hata sheria.
 
Back
Top Bottom