Ya EWURA ni tofauti na ya NIMRI?

Kigodoro

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
1,660
1,676
Tuliambiwa yule mama mchapa kazi wa NIMRI alitumbuliwa kwasababu hakufuata utaratibu katika kutangaza utafiti wa zika. Mojawapo ya utaratibu ambao hakuufuata ni kumtaarifu bosi wake waziri wa afya.

Sasa vipi kuhusu hayu bosi wa EWURA? Alimtaarifu Waziri wa Nishati na Madini? Kama alimtaarifu mbona wanapingana hadharani? Kama hakumtaarifu kwanini bosi huyu wa NIMRI naye asitumbuliwe?

Bosi wa EWURA asipotumbuliwa watanzania tutakuwa tumepata majibu ya maswali mengi tuliojiuliza kuhusu kutumbuliwa kwa mama wa NIMRI.
 
Tuliambiwa yule mama mchapa kazi wa NIMRI alitumbuliwa kwasabb hakufuata utaratibu ktk kutangaza utafiti wa zika. Mojawapo ya utaratibu ambao hakuufuata ni kumtaarifu bosi wake waziri wa afya.

Sasa vp kuhusu hayu bosi wa EWURA? Alimtaarifu waziri wa Nishati Na Madini? Kama alimtaarifu mbona wanapingana hadharani? Kama hakumtaarifu kwann bosi huyu wa NIMRI naye asitumbuliwe?

Bosi wa EWURA asipotumbuliwa watz tutakuwa tumepata majibu ya maswali mengi tuliojiuliza kuhusu kutumbuliwa kwa mama wa NIMRI.
Good reasoning, na kweli tutapata majibu kwa kiasi fulani by 99%, ingawa anaweza kutwambia severity ya impact of breaking the news ina differ! But this will not change the predicted 99% confidence interval
 
kwann usizungumzie kwa mlenga mtu wa kati wa mchezo ambaye ni wazir husika,tanesco na ewura vyote vipo chini ya wizara yake ina maana alijua kila kitu so kwann hakuzuia mwanzo mpaka angoje ewura watoe tamko ndipo yy apinge?au anataka kumpa boss wake umaalufu kuwa katupigania?
 
Tuliambiwa yule mama mchapa kazi wa NIMRI alitumbuliwa kwasabb hakufuata utaratibu ktk kutangaza utafiti wa zika. Mojawapo ya utaratibu ambao hakuufuata ni kumtaarifu bosi wake waziri wa afya.

Sasa vp kuhusu hayu bosi wa EWURA? Alimtaarifu waziri wa Nishati Na Madini? Kama alimtaarifu mbona wanapingana hadharani? Kama hakumtaarifu kwann bosi huyu wa NIMRI naye asitumbuliwe?

Bosi wa EWURA asipotumbuliwa watz tutakuwa tumepata majibu ya maswali mengi tuliojiuliza kuhusu kutumbuliwa kwa mama wa NIMRI.
Hoja mfu kwa ajili ya wafu
 
anayekumbuka Butiku alisemaje atukumbushe

anayekumbuka Kingunge alisema nini pia atukumbushe

anayekumbuka Mzee wa ruksa alisemaje naye aje atukumbushe

anayekumbuka Ulimwengu alisemaje atukumbushe

na wengine waliosema neno watukumbushe

ni vizuri kukumbushana ili kuweka mambo sawa, hii itatusaidia kujua tulikotoka, tulipo na tuendako,
 
Mkuu Kimbauz,
Hata NIMRI iko chini ya wizara ya afya, na walimpa wazir ripoti ya utafiti miezi 4 kabla ya kutangaza (kwa mujibu wa uzi fulani humu humu jf), kwann dr mwele atumbuliwe?
 
T
Tuliambiwa yule mama mchapa kazi wa NIMRI alitumbuliwa kwasababu hakufuata utaratibu katika kutangaza utafiti wa zika. Mojawapo ya utaratibu ambao hakuufuata ni kumtaarifu bosi wake waziri wa afya.

Sasa vipi kuhusu hayu bosi wa EWURA? Alimtaarifu Waziri wa Nishati na Madini? Kama alimtaarifu mbona wanapingana hadharani? Kama hakumtaarifu kwanini bosi huyu wa NIMRI naye asitumbuliwe?

Bosi wa EWURA asipotumbuliwa watanzania tutakuwa tumepata majibu ya maswali mengi tuliojiuliza kuhusu kutumbuliwa kwa mama wa NIMRI.
Tuanzie kwa MD wa Tanesco, alipoandaa ombi la kupandisha bei ya umeme alimtaarifu boss wake yaani Waziri kabla ya kupeleka ombi hilo Ewura? Hapa kuna tatizo kubwa. Wa kutumbuliwa ni wengi akiwepo Waziri mwenyewe
 
Mkuu Retired usijibizane na lumumba, ni juzi tu haraka haraka alikwa ana waasa waache matusi lkn hawasikii. ni mila na hulka yao kutukana
 
MFU NI WEWE ASIYEWEZA KUONA MANTIKI KUBWA YA POST HIYO, HAKIKA UMEKUFA UBONGO WA KUFIKIRI
Ewe mfu, hoja hizi mbili wala hazina uwiano wowote hata ukipima impact yake. Shughulisheni bongo zenu.
 
Wewe Nyenyere mwenye uelewa mdogo kama nyenyere, impact ya kuongezeka kwa bei ya umeme ni tishio kwa tanzania ya viwanda. ni zaidi ya zika
 
Despite matumizi ya gesi kufua umeme ambayo tulitangaziw a na viongozi wa ngazi zote kuwa yatashusha gharama za umeme kwa 65% kama kumbukumbu zangu ziko sawa yet leo gharama tunapandishiwa!
 
Wewe Nyenyere mwenye uelewa mdogo kama nyenyere, impact ya kuongezeka kwa bei ya umeme ni tishio kwa tanzania ya viwanda. ni zaidi ya zika
Ewe mfu, pima impact ya kile alichotangaza Malechela na hiki cha juzi? Hivi akili yako haioni ni kipi kiliteka jumuiya za kimataifa ghafla? Kama huoni hilo basi mie sina jinsi ya kukusaidia.
 
Tuliambiwa yule mama mchapa kazi wa NIMRI alitumbuliwa kwasababu hakufuata utaratibu katika kutangaza utafiti wa zika. Mojawapo ya utaratibu ambao hakuufuata ni kumtaarifu bosi wake waziri wa afya.

Sasa vipi kuhusu hayu bosi wa EWURA? Alimtaarifu Waziri wa Nishati na Madini? Kama alimtaarifu mbona wanapingana hadharani? Kama hakumtaarifu kwanini bosi huyu wa NIMRI naye asitumbuliwe?

Bosi wa EWURA asipotumbuliwa watanzania tutakuwa tumepata majibu ya maswali mengi tuliojiuliza kuhusu kutumbuliwa kwa mama wa NIMRI.

Nikusahihishe kidogo; uharibifu unapofanywa kwa mpango ukawa consistent na ukatabirika kwa mwelekeo unaotambulika basi waharibifu hao wana uwezo mkubwa wa kufikiri katika shughuli zao. Ila unapoona uharibifu usio na mpango, vipimo sahihi, mwelekeo, consistence na usiotabirika ujuwe hata hao waharibifu hawajui wanachokusudia katika uharibifu wao. Matokeo yake ni woga, kutojiamini, kusingiziana na kuchogeana ili mradi tu the rule of the jungle ina kuwa fulfilled.
 
Tuliambiwa yule mama mchapa kazi wa NIMRI alitumbuliwa kwasababu hakufuata utaratibu katika kutangaza utafiti wa zika. Mojawapo ya utaratibu ambao hakuufuata ni kumtaarifu bosi wake waziri wa afya.<br /><br />Sasa vipi kuhusu hayu bosi wa EWURA? Alimtaarifu Waziri wa Nishati na Madini? Kama alimtaarifu mbona wanapingana hadharani? Kama hakumtaarifu kwanini bosi huyu wa EWURA naye asitumbuliwe?<br /><br />Bosi wa EWURA asipotumbuliwa watanzania tutakuwa tumepata majibu ya maswali mengi tuliojiuliza kuhusu kutumbuliwa kwa mama wa NIMRI.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom