Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Wadau amani iwe kwenu.
Hapo zamani za kale kuna mwanasayansi nguli alikuja na uchunguzi wa ajabu kuhusu maisha ya mwanadamu na viumbe hai kwa ujumla.
Charles Darwin kwenye uchunguzi wake alisema viumbe hai huwa vina evolve from natural selection, kwamba kuna kipindi the unfit huwa wanaondolewa (face extinction) kwenye uso wa dunia na the fit husarvive to the next generation ili kuunda kizazi kilicho imara zaidi.
Nature ndiyo huandaa hayo mazingira ili viumbe dhaifu vife vyote na kuachwa viumbe ambavyo viko imara zaidi!.
Ni Charles Darwin kupitia theory yake hii ndiyo alisema zamani kulikuwa na twiga wenye shingo fupi ila kutokana na mazingira iliwabidi warefushe shingo zao na walioshindwa walikufa wote kwa kukosa mahitaji muhimu.
Ukiangalia leo huu ugonjwa corona unavyoshambulia watu unaweza kusadiki theory ya Charles Darwin, virusi vya
Corona vinashambulia sana wazee, wagonjwa na wenye upungufu wa kinga mwilini (the unfit) pia inasemeka white people inachukua siku 14 tu hadi kuonyesha dalili zote za corona wakati black people inachukua hadi siku 30 kuonyesha dalili!
Virusi vya corona mpaka sasa vimethibitika havishambulii sana watoto na watu wenye strong body immunity (the fit).
kwa hiyo inaonyesha wazi kama huu ugonjwa utaachwa tu basi utawaondoa wote the unfit kwenye jamii( natural selection)!
Je, baada ya theory of natural selection kupingwa sana kwa miaka mingi sasa imekuja kujithihirishia mbele ya macho yetu kwenye kizazi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo zamani za kale kuna mwanasayansi nguli alikuja na uchunguzi wa ajabu kuhusu maisha ya mwanadamu na viumbe hai kwa ujumla.
Charles Darwin kwenye uchunguzi wake alisema viumbe hai huwa vina evolve from natural selection, kwamba kuna kipindi the unfit huwa wanaondolewa (face extinction) kwenye uso wa dunia na the fit husarvive to the next generation ili kuunda kizazi kilicho imara zaidi.
Nature ndiyo huandaa hayo mazingira ili viumbe dhaifu vife vyote na kuachwa viumbe ambavyo viko imara zaidi!.
Ni Charles Darwin kupitia theory yake hii ndiyo alisema zamani kulikuwa na twiga wenye shingo fupi ila kutokana na mazingira iliwabidi warefushe shingo zao na walioshindwa walikufa wote kwa kukosa mahitaji muhimu.
Ukiangalia leo huu ugonjwa corona unavyoshambulia watu unaweza kusadiki theory ya Charles Darwin, virusi vya
Corona vinashambulia sana wazee, wagonjwa na wenye upungufu wa kinga mwilini (the unfit) pia inasemeka white people inachukua siku 14 tu hadi kuonyesha dalili zote za corona wakati black people inachukua hadi siku 30 kuonyesha dalili!
Virusi vya corona mpaka sasa vimethibitika havishambulii sana watoto na watu wenye strong body immunity (the fit).
kwa hiyo inaonyesha wazi kama huu ugonjwa utaachwa tu basi utawaondoa wote the unfit kwenye jamii( natural selection)!
Je, baada ya theory of natural selection kupingwa sana kwa miaka mingi sasa imekuja kujithihirishia mbele ya macho yetu kwenye kizazi hiki?
Sent using Jamii Forums mobile app