show yenye dj wakali ni ipi sasa?..Uhuru fm show?mnajua nini wadau??
Binafsi yangu show Kali ya Town
Lazima iwe na sifa hii
Kinyume na hapo bhas Hamna kitu.
1.DJs wakali.
Kwa hiyo kile kipindi cha michezo cha saa 1 mpaka saa 2 kimepelekwa muda gani!? Sijasikiliza redio muda!!Saa 1 jioni hadi saa 2:59 usiku, j3 mpaka Ijumaa
Ku_copy kawaida tu mbona. Ni kama miundo ya magari, Nissan na Toyota wote wanafanana tu. Hata hao Clouds walikopi kisha wakaboresha.Aisee xxl bado n kipindi Bora Cha burudani, Tz, achana na hao copy n paste
Walikopy kwa NaniKu_copy kawaida tu mbona. Ni kama miundo ya magari, Nissan na Toyota wote wanafanana tu. Hata hao Clouds walikopi kisha wakaboresha.
NakaziaXxl bado iko juu
Wali_copy kwa Radio One "Dj Show" wao wakaja na Dr. Beat ambayo imepitia maboresho mbalimbali ikiwemo kubadilishwa jina ambalo linatumika hivi sasa.Walikopy kwa Nani
Cha msingi ni entertainment..je wasikilizaji wanakiwa entertained.Kiingereza au kiswa-englishi na industry ya entertainment vinaenda pamojaMbona vyote ni vipindi vya kijinga tu, ubishoo mwingi usio na sababu. Watu wanajilazimisha kuongea broken english ili waonekane black americans wakati wasikilizaji wao ni 100% waswahili, wapuuzi wote.
KimefutwaKwa hiyo kile kipindi cha michezo cha saa 1 mpaka saa 2 kimepelekwa muda gani!? Sijasikiliza redio muda!!
Mbona vyote ni vipindi vya kijinga tu, ubishoo mwingi usio na sababu. Watu wanajilazimisha kuongea broken english ili waonekane black americans wakati wasikilizaji wao ni 100% waswahili, wapuuzi wote.
Si ukweli ule ni utoto na ushamba......utaongeaje Kiingereza kwa mtu asiyeelewa? Fikiria hili, unakwenda kuonana na babu yako kijijini unamsalimia kwa Kiingereza wakati haelewi, inakuja kichwani mwako kweli? Wewe unataka tu kushikishwa ukuta, si bure.Cha msingi ni entertainment..je wasikilizaji wanakiwa entertained.Kiingereza au kiswa-englishi na industry ya entertainment vinaenda pamoja