mkuu ungetoa details zaid ingekuwa poa manake kukataa keys inategemea mambo mengi ikiwemo kukosewa kwa keys, au keys zisizo zake na wakati mwingine hata aina ya installation unayofanya mfano: kuna wakati ukiwa unaupgrade/downgrade au ukiwa una repair window keys huwa zinagoma hata kama ni zake mpaka ufanye new installation!
ok kama ni wakat una install hii nadhan unafanya repair ok jaribu hz
JD3T2-QH36R-X7W2W-7R3XT-DVRPQ. I hope ztakubal na kukuruhusu na kuendelea ku install. Lakn apo itakuwa haiko genuine umm ukirud hku ntakuelekeza jinsi ya kuactivate n make it genuine. Feed back is much apprichiated!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.