Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 315
- 413
habari zenu wakuu
naomba kuuliza kwa wajuzi wa online martkets
ninataka kuagiza xiaomi mi 11 ultra (133$) kupitia AliExpress hivo unaomba kufahamishwa ubora wa bidhaa zao pamoja na uaminifu na accuracy ya uwasilishaji wa bidhaa zao hapa Tanzania
karibuni wakuu kwa msaada
picha
naomba kuuliza kwa wajuzi wa online martkets
ninataka kuagiza xiaomi mi 11 ultra (133$) kupitia AliExpress hivo unaomba kufahamishwa ubora wa bidhaa zao pamoja na uaminifu na accuracy ya uwasilishaji wa bidhaa zao hapa Tanzania
karibuni wakuu kwa msaada
picha