Seawhale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,162
- 1,165
Bando lazima uwe nalo la kutosha, GB 16 si zinakata ndani ya siku tu kama ukianza ku-streem kuanzia asubuhi hadi jioni. Ndio maana ni muhimu uwe na unlimited data.Vipi kuhusu matumizi ya bandle maana kuna mtu aliniambia kwa mwezi itakulazimu uwe na Gb zaidi 16 ili uangalie kila siku
sent from HUAWEI