Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,629
Mm nakushauri uchukue redmi 5 Plus. 3gb ram 32gb rom haizidi 420kAhsanteh Chief-Mkwawa ko A1 inaweza rate kiasi gani mkuu nijipime tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nakushauri uchukue redmi 5 Plus. 3gb ram 32gb rom haizidi 420kAhsanteh Chief-Mkwawa ko A1 inaweza rate kiasi gani mkuu nijipime tena?
Hii ina kipi ambacho inaendana na hivo vigezo nilivoweka mkuu?Mm nakushauri uchukue redmi 5 Plus. 3gb ram 32gb rom haizidi 420k
Kwa hiyo redmi 5 plus camera yake ni very good quality, but kwa upande wa slo-mo inabidi utumie third party apps.Vipi camera yake slow motion inachukua na low light vipi?
Kwa upande wa camera ni advanced kuliko redmi note 4x, battery kubwa 4000 mAh, screen kubwa 5.99", full screen display, ultra slim 9mm.Hii ina kipi ambacho inaendana na hivo vigezo nilivoweka mkuu?
ili iweje ndg?niwekee number yako.ya simu, au text or call me though 0735921418
Anhaa kweli iko poa ila kwenye camera naona hapa A1 youtube nimecheck anamzidi 5 plus kidogo sana hili unalizngumziake mkuuKwa upande wa camera ni advanced kuliko redmi note 4x, battery kubwa 40000 mAh, screen kubwa 5.99", full screen display, ultra slim 9mm.
Yeah, A1 ina dual camera.Anhaa kweli iko poa ila kwenye camera naona hapa A1 youtube nimecheck anamzidi 5 plus kidogo sana hili unalizngumziake mkuu
Namimi ugonjwa wangu ni blurred camera aisee naona hii A1 inapiga bila matata na hata low light inagonga ila kwenye muonnekano hii 5 plus iko vizuriYeah, A1 ina dual camera.
Choose Mi A1Namimi ugonjwa wangu ni blurred camera aisee naona hii A1 inapiga bila matata na hata low light inagonga ila kwenye muonnekano hii 5 plus iko vizuri
Mmhh tatizo online unaweza pigwa any timeHizi kwa bongo zipo kwa hawa jamaa wa Giants Electronics, hata kuna mtu amenambia Arusha zipo, ila bei yake imechangamkaa, si chini ya 550k yenye 16gb rom & 3gb ram. Wakati online unaipata chini ya 350k.
Mmhh tatizo online unaweza pigwa any timeHizi kwa bongo zipo kwa hawa jamaa wa Giants Electronics, hata kuna mtu amenambia Arusha zipo, ila bei yake imechangamkaa, si chini ya 550k yenye 16gb rom & 3gb ram. Wakati online unaipata chini ya 350k.
Me nataka simu vipi sim hunaaKwa yeyote anayehitaji case, charger, au protector za Xiaomi original na accessories nyingine ambazo hazipatikani nchini tuwasiliane kwa ani DM au 0759110633 WhatsApp/CALL/SMS.
Tuna mpatia wapiiiMcheki Mwl RTC
unapigwa tu mkuu. hio soc inapitwa uwezo na hadi snapdragon 615 ambayo ipo kwenye simu za 2015 kama j7 ambazo zinauzwa around 400,000 sasa hivi.hii simu nimeikuta dukani maeneo ya kisii kenya inauzwa ksh32000 sawa na 650000 tsh, je hiyo bei iko poa au napigwa. simu inaitwa oppo f3
Yupo humu humu mkuuTuna mpatia wapiii