Ndo naitumia apa nna mi max 2
Ndo naitumia apa nna mi max 2
Kwa iyo function ni ilele tu, bali wanabadili majina?utofauti wake ni series tu...kuna series za Mi ambapo kuna Mi 1 mpka saiv kuna Mi 6...kuna series za redmi pia ambapo kuna redmi 1 , redmi note, pia kuna series ya Mi Mix
saiv kuna series ya Mi A
Unatumia xiaomi toleo gan ?
redmi 3x...32gb 3gb ramUnatumia xiaomi toleo gan ?
Ok mi npo umuredmi 3x...32gb 3gb ram
imesimamaOk mi npo umu
Pw pw 2jpe hongera tuu kwa kutumia hiz deviceimesimama
Naipakuaje hebu nipeni link m Kuna moja nimeidownload imefanana Sana na hio ila n trial na imedumu kwa dakika tano tu wananiambia kubuy mpya nisaidie plz
ingia kwnye app ya theme katika simu yako, then search Small town NY utaipata...ni free kabisaNaipakuaje hebu nipeni link m Kuna moja nimeidownload imefanana Sana na hio ila n trial na imedumu kwa dakika tano tu wananiambia kubuy mpya nisaidie plz
ingia kwnye app ya theme katika simu yako, then search Small town NY utaipata...ni free kabisa
ingia kwnye app ya theme katika simu yako, then search Small town NY utaipata...ni free kabisa
Hapo kwenyea apps ya theme kiukweli umeniacha tupia screen shot plzingia kwnye app ya theme katika simu yako, then search Small town NY utaipata...ni free kabisa
Hapo kwenyea apps ya theme kiukweli umeniacha tupia screen shot plz
Hizo bei gani msauziaKama ni mtumiaji wa simu za Xiaomi na hauna earphone za kueleweka ebu tafuta hizi....Xiaomi MI IV Hybrid Dual Drivers Earphone.