Xenophobia South Africa, nani wa kulaumiwa?

masupio

Senior Member
Sep 16, 2014
179
201
Ni dhahiri mpaka sasa swala hili la "xenophobia S.Africa" cyo jambo ngeni tena. Hakuna Mwafrika yoyote aliposikia swala hili hakuacha kuwalaani vijana hawa wa Durban na kwingineko bondeni kwa their barbaric actions.

Swali ni Je ni sahihi kuwatupia lawama moja kwa moja vijana hawa wa bondeni? Kwa mtazamo wangu jibu ni hapana. Wakulaaniwa katika hili ni viongozi wa nchi zetu za kiafrika husuani SADC. Wameshindwa kusuluhisha nchini mwao changamoto za ajira,elimu afya, kiuchumi hii ni kwa uchache tu.

Hii imesababisha vijana wasaka maendeleo kwa nguvu kukimbilia nchi yenye asali na maziwa kusaka chochote kitu. Reaction ya vijana wa Durban et el is very expected reaction.

Nikama kumbananisha paka kwenye kona utegemee anywee/awe mpolee tuu..you will be very wrong my friend. Vijana hawa wamenyimwa fursa nchini mwao na waliyoyafanya hata vijana watanzania na nchi yoyote ambayo inaendelea kama S.Africa nisingeshangaa kama yangetokea haya haya yalio tokea bondeni.

Kuwarudisha raia katika nchi walizotoka SIYO suluhisho pekee hili…sababu to begin with hawakupelekwa na serikali zao huko S.Africa.

Suluhisho pekee na lamuda mrefu ni kuongeza ajira, kuwa na huduma bora za kiafya ,kijamii, elimu, kuimarisha fedha na kadhalika. Haya ndio mambo ya kushugulikia. Sasa badala ya kuweka pressure kwa viongozi wetu katika haya tunapoteza nguvu kuwalaumu wa South Africa kwa kukosa ubinadamu.. wapi na wapi…ni kukosa upeo wa mtazamo kina katika mambo.

Sisemi vijana wa bondeni wasilaumiwe lakini lawama kubwa ni kwa Serikali zetu za kiafrika.

After all they are all the same.
 
Vijana wa huko (wasouth) ndo wakulaumiwa na serikali yao kwa ujumla kwa kuendeza upumbavu. Yaani serikali yao na wananchi hawajui kama kuna ndugu zao na makampuni yao mengi yanafanya kazi nje ya south afrika???? Wapumbavu sana
 
Walengwa wakuu ni mtu yeyote mweusi hata Black Americans wanashambuliwa. Tatizo kubwa ni inferiority complex waliyonayo kuanzia na hilo lifalme lao la kizulu. Wanahitaji psychological healing ya hali ya juu ili kuwaondoa katika mental depression ya kutisha waliyo nayo.

Kwa akili zao wanawaona watu weupe kama miungu watu hasa kutokana na historia yao na wanaamini ni weupe tu ndio "wanaoweza". Shida inakuja pale wanapoona weusi kutoka nje wanashindana na weupe huku wao wakikalia ngono na ulevi basi inakuwa chuki ya ajabu.
 
Ni dhahiri mpaka sasa swala hili la “xenophobia S.Africa” cyo jambo ngeni tena. Hakuna Mwafrika yoyote aliposikia swala hili hakuacha kuwalaani vijana hawa wa Durban na kwingineko bondeni kwa their barbaric actions. Swali ni Je ni sahihi kuwatupia lawama moja kwa moja vijana hawa wa bondeni? Kwa mtazamo wangu jibu ni hapana. Wakulaaniwa katika hili ni viongozi wa nchi zetu za kiafrika husuani SADC. Wameshindwa kusuluhisha nchini mwao changamoto za ajira,elimu afya, kiuchumi hii ni kwa uchache tu….

Hii imesababisha vijana wasaka maendeleo kwa nguvu kukimbilia nchi yenye asali na maziwa kusaka chochote kitu. Reaction ya vijana wa Durban et el is very expected reaction. Nikama kumbananisha paka kwenye kona utegemee anywee/awe mpolee tuu..you will be very wrong my friend. Vijana hawa wamenyimwa fursa nchini mwao na waliyoyafanya hata vijana watanzania na nchi yoyote ambayo inaendelea kama S.Africa nisingeshangaa kama yangetokea haya haya yalio tokea bondeni.

Kuwarudisha raia katika nchi walizotoka SIYO suluhisho pekee hili…sababu to begin with hawakupelekwa na serikali zao huko S.Africa.
Suluhisho pekee na lamuda mrefu ni kuongeza ajira, kuwa na huduma bora za kiafya ,kijamii, elimu, kuimarisha fedha na kadhalika. Haya ndio mambo ya kushugulikia. Sasa badala ya kuweka pressure kwa viongozi wetu katika haya tunapoteza nguvu kuwalaumu wa South Africa kwa kukosa ubinadamu.. wapi na wapi…ni kukosa upeo wa mtazamo kina katika mambo.

Sisemi vijana wa bondeni wasilaumiwe lakini lawama kubwa ni kwa Serikali zetu za kiafrika.

After all they are all the same……….


naunga mkono
 
Back
Top Bottom